Hizi si zama za zidumu fikra za mtu mmoja
KWA masuala ya mapenzi au imani, kila mtu huwa na haki ya kupenda akitakacho na kuamini lile analolipenda na hata kuliabudu. Ukiachilia wengi wanaoabudu Mungu, wapo wanaoabudu sanamu, watu, wanyama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ujinga wa zama zilizopita, si lazima uwe ujinga wa zama hizi
“Kila taifa lina ujinga wake,†haya ni maneno yaliyotolewa na Profesa Palamagamba Kabudi alipokuwa akitoa mada kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hivi karibuni.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOLcovB955qbjiL3DC6XAhFpDvFsNdxUb7Jer0yPe2vc*TKWi0U4d*oA98GufamlV8UyNSaYGT0LqRzdFSihbwzV/5mahaba.jpg?width=650)
ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-3
KAMA hutajitambua na kujithamini, hatatokea mtu wa kukujulisha kuwa wewe ni mwenye thamani. Maisha yako ni muhimu, afya yako pia ni muhimu sana. Kila kitu chako kina umuhimu wake, lakini usitegemee mtu akueleze, anza wewe! Marafiki zangu tunaangalia namna ya kugundua penzi la kweli na kusimamia katika uhusiano ulio sahihi. Nilieleza katika matoleo yaliyopita kuwa, ni vizuri kuwa kwenye uhusiano wenye malengo. Kwamba kudumu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCghypDFLJuEj2k5NzxXBWLeUPQjrf5hxx88RPprAk1sfDh8n7XD8zItFQkTgovreFxbujBDxSY0JZ4bwGteL-aW/MAHABA.jpg?width=650)
ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!
KUNA wakati unafikiria kufanya kitu fulani muhimu kwa ajili ya yule uliyemteua kuwa mwenzi wa maisha yako? Je, huwa unafikiria kama upo katika uhusiano sahihi au unakwenda tu mradi siku zinakwenda?
Wapo watu ambao wako tu kwenye uhusiano kabla ya uchumba lakini matukio kibao yametokea. Wameshafumaniana, wameshapigana, wameshatoleana maneno machafu, wameshadhalilishana nk. Je, ni sahihi kuendelea katika uhusiano huo? Jibu ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--bwqD1rPxgWQv2raP9uRzte6Ke4*zhljpp4-WHq0IW3mhQs7NK5IbqXu*oFDji40mSA6aIzVJRPDMrBWHWnPHa/mahaba.jpg?width=650)
ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-2
KUDUMU katika uhusiano kwa muda mrefu bila ndoa si kigezo kwamba mwenzi wako anakupenda. Tulia kwa muda, anza mwaka ukiwa na fikra mpya. Hebu jiulize, uko kwenye uhusiano na mwenzi wako kwa muda gani sasa? Kuna dalili za kuingia kwenye ndoa? Marafiki, wanaotakiwa kujivunia kudumu kwenye uhusiano ni wanandoa. Ni halali kabisa kwa mtu aliye kwenye ndoa kutamba kwamba anafurahi kwamba yupo na mwenzake muda mrefu kwa sababu tayari...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZdHLSsMCsJqLKdg*9dohXiaN0hm8HconBcqdOCQL3hJZanmn67w8l7Xk87l26pHu8kf57y*9fU0H30nvQiN5DAO/MAHABA.jpg?width=650)
ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-5
NILIANZA mada hii wiki ya kwanza ya mwaka huu mpya na leo nahitimisha katika juma la mwisho la mwezi huu. Naam! Lengo lilikuwa ni kuwafumbua macho na kutambua penzi la dhati ili tuwe na fikra mpya. Marafiki zangu, mapenzi si mateso ya moyo. Hatupaswi kuwa kwenye uhusiano wa kimazoea tu. Lazima tuangalie, tupo kwenye mstari sahihi? Baada ya utambuzi huo, sasa tunaweza kuamua kuendelea au lah! Wiki jana nilimalizia pale nilipoanza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vFrhOHBMvXE/Xtj2JPPH9dI/AAAAAAALsoY/9MX4lQk1ONIMjPoJ_uhDDF3vd_iLtZPtwCLcBGAsYHQ/s72-c/b52d1324-d326-4b35-bd3b-4a7d82bc1cc0.jpg)
UVUTAJI WA TUMBAKU UNA ATHARI KIUCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA ANAYETUMIA
Na WAMJW-Dodoma
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako hatarini kuyumba kiuchumi na kupata magonjwa yasiyoambukizwa kama tahadhari hazitachukuliwa mapema.
Waziri Ummy amesema hayo leo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa matumizi ya tumbaku kwa watu wazima wa mwaka 2018 nchini uliofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Takwimu jijini Dodoma.
Waziri Ummy amesema utafiti huo umeonesha...
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Mtu mmoja amechinjwa Ufaransa
Mtu mmoja amechinjwa na mwengine akajeruhiwa vibaya baada ya shambulizi la kiislamu katika mji wa Lyon Ufaransa.
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mtu mmoja awaua wanajeshi 4 wa Marekani
Mtu mwenye silaha amewaua askari wanne wa jeshi la wanamaji wa Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo mawili ya jeshi hilo katika mji wa Chattanooga, Tennessee.
10 years ago
BBCSwahili21 May
Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura
Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania