Honeymoon kuongoza filamu Marekani
NA FESTO POLEA
MWONGOZAJI bora wa filamu mwenye tuzo ya ZIFF 2015, Honeymoon Aljabri, yupo mbioni kukamilisha filamu yake ya pili ya ‘Forgotten Hero’ mwishoni mwa mwaka huu.
Mwongozaji huyo Mtanzania anayeishi Houston, Marekani, aliliambia MTANZANIA kwamba ameandika na kuiongoza filamu yake hiyo nchini Marekani, huku akidai kwamba ujumbe katika filamu hiyo unaonyesha uhusiano wa wapendanao ambao mmoja wao aliwahi kushiriki vita.
“Nimeiandika na kuiongoza filamu hii kupitia kampuni yangu ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Muongozaji wa filamu wa Tanzania ashinda tuzo za Marekani na kuwashangaza kwa ubora wa filamu zake
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-v55AW2hZD0g/VLdCUeFSA8I/AAAAAAAG9aU/YVlCiyxELJQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
HASHIM KAMBI KUONGOZA NYOTA BONGO KATIKA FILAMU YA CPU
![](http://4.bp.blogspot.com/-v55AW2hZD0g/VLdCUeFSA8I/AAAAAAAG9aU/YVlCiyxELJQ/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Filamu ya CPU ni moja ya kazi kubwa sana kutengenezwa na watayarishaji wa ndani na kushirikisha wasanii zaidi ya 200 na ni filamu yenye ubora wa kipekee ambayo awali ilionyeshwa katika...
10 years ago
Vijimambo02 Jan
BUSH KUONGOZA MAREKANI TENA KWA MARA YA TATU
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/16/141216162740_jeb_bush_brother_of_george_bush_640x360_afp_nocredit.jpg)
Aliyekuwa Gavana wa Florida kupitia tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani Jeb Bush ameripotiwa kujiuzulu kutoka nyadhfa zake zote za bodi akijiandaa kuwania urais mwaka ujao.Gazeti la The WashingtonPost limenukuu ujumbe wake kutoka kwa msaidizi wake uliodai kwamba bwana Bush pia amejiuzulu katika bodi ya hazina yake ya elimu.Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 61 pia alitangaza mwezi...
5 years ago
CCM Blog10 Apr
MAREKANI YAZIDI KUONGOZA KWA WAGONJWA WENGI WA CORONA DUNIANI
![Waombolezaji katika mazishi mjini New York huku visa vya virusi vya corona katika mji huo vikiongezeka kwa siku ya tatu mfululizo.](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/1B20/production/_111744960_hi061004818.jpg)
Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionWaombolezaji katika mazishi mjini New York huku visa vya virusi vya corona katika mji huo vikiongezeka kwa siku ya tatu mfululizo.
New York state sasa ina visa vingi vya virusi vya corona zaidi ya taifa lolote duniani , kulingana na takwimu mpya.Serikali imethibitisha kwamba idadi ya visa vya ugonjwa huo imeongezeka kutoka 10,000 siku ya Alhamisi hadi 159, 937 na kuiweka mbele ya Uhispania ilio na visa 153,000 na Itali ilio na visa 143,000.China ambapo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1J3ekpyUxOI/VEU1m9ZqKJI/AAAAAAAGsDs/0YwnjquELZI/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
FILAMU YA DOGO MASAI YASHINDA TUZO MAREKANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1J3ekpyUxOI/VEU1m9ZqKJI/AAAAAAAGsDs/0YwnjquELZI/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
FILAMU ya kitanzania ya Dogo Masai iliyotengenezwa na kuongozwa na muongozaji Timoth Conrad ‘Tico’ imeibuka kidedea baada ya kushinda katika tuzo za Silcon Valley African Film Festival (SVAFF) kama Filamu Bora kutengenezwa Afrika (The best African Production Movie ) tuzo hizi zimetolewa California Marekani.
Mtayarishaji wa filamu hiyo Timoth kupitia kampuni yake ya Timamu African Media amesema ushindi huo ni wa Tanzania ndio maana hata kama hakupewa Support na taasisi...
9 years ago
Bongo528 Oct
Muongozaji wa filamu wa Tanzania atajwa kuwania tuzo za Marekani
9 years ago
Bongo507 Dec
Filamu ya Tanzania ‘Dogo Masai’ yaibuka kidedea tuzo za Marekani
![1388978_981417838583880_2039616900_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1388978_981417838583880_2039616900_n-300x194.jpg)
Wakati ambapo kiwanda cha filamu Tanzania kinaendelea kudoda, kuna habari njema kutoka wa filamu ya ‘Dogo Masai.’ Filamu hiyo ya Kitanzania imeshinda tuzo tatu.
Hii ni taarifa zaidi:
Ninaitwa Timoth Conrad Kachumia Director, Producer na Writer wa filamu Tanzania. Ninayofuraha kuwajulisha watanzania kuwa nimefanikiwa kushinda California Viewers Choice Awards 2015, tuzo 2 ikiwa ni Best Feature Film pamoja na Best Director kupitia filamu ya DOGO MASAI, vile vile kutoka katika filamu hiyo hiyo...
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.