Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAREKANI YAZIDI KUONGOZA KWA WAGONJWA WENGI WA CORONA DUNIANI

Waombolezaji katika mazishi mjini New York huku visa vya virusi vya corona katika mji huo vikiongezeka kwa siku ya tatu mfululizo.
Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionWaombolezaji katika mazishi mjini New York huku visa vya virusi vya corona katika mji huo vikiongezeka kwa siku ya tatu mfululizo.
New York state sasa ina visa vingi vya virusi vya corona zaidi ya taifa lolote duniani , kulingana na takwimu mpya.Serikali imethibitisha kwamba idadi ya visa vya ugonjwa huo imeongezeka kutoka 10,000 siku ya Alhamisi hadi 159, 937 na kuiweka mbele ya Uhispania ilio na visa 153,000 na Itali ilio na visa 143,000.China ambapo...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Viruis vya Corona: New York yarekodi wagonjwa wengi zaidi duniani

Picha za mazishi ya pamoja ya wagonjwa waliofariki kutokana na virusi vya corona zaonekana katika mji mkuu wa New York

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Trump asema Marekani kuwa na wagonjwa wengi ni heshima

Mpaka sasa Marekani imethibitisha watu milioni 1.5 walioathiriwa na virusi vya corona na karibu vifo 92,000.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kuganda kwa damu, tatizo linalowakumba wagonjwa wengi walio katika hali mahututi lazua hofu

Wongonjwa wengi ambao wamekuwa na tatizo la damu kuganda katika mishipa wamekuwa wakitumia dawa za kujaribu kuyeyusha damu hiyo na kufanya tatizo hilo lisilo la kawaida kuwa la kipekee.

 

5 years ago

CCM Blog

IDADI YA WAGONJWA WA CORONA YAZIDI KUPUNGUA NCHINI, YASISITIZWA TAHADHARI IENDELEE KUCHUKULIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia baada ya Swala ya Eid el Fitr, katika Msikiti wa Gaddaff, Jijini Dodoma, leo Mei 24, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

DODOMA, Tanzania
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema idadi ya wagonjwa wa Corona imeendelea kupungua huku baadhi ya vituo vikiwa havina wagonjwa na kwamba kwa mujibu wa takwimu za leo asubuhi Dar es Salaam kuna wagonjwa 11, Kibaha 16 na Dodoma kituo cha Mkonze wagonjwa ni watatu.
Akizungumza mara baada ya sala ya Idd El Fitr katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yaipiku Italia kwa idadi ya vifo duniani

Watu zaidi ya 20,000 wameshakufa Marekani huku maambukizi yakipita zaidi watu nusu milioni.

 

5 years ago

CCM Blog

TRUMP ASEMA MAREKANI KUWA NA WAGONJWA WENGI NI HESHIMA

Trump at a cabinet meetingHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESRais Donald Trump amesema ni '' ni heshima '' kuwa Marekani ina idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya corona duniani.''Ninalitazama suala hili kama heshima fulani, kama jambo zuri kwasababu inamaanisha kuwa vipimo vyetu viko vizuri,'' alieleza akiwa Ikulu ya Marekani.Marekani ina watu milioni 1.5 walioathiriwa na virusi vya corona na karibu vifo 92,000, kwa mujibu wa takwimu zinazokusanywa na Chuo Kikuu cha Johns Hopkins. Nchi inayoshika nafasi ya pili ni...

 

5 years ago

CCM Blog

ZIJUE NCHI 15 DUNIANI ZISIZOKUWA NA WAGONJWA WA CORONA

Tarehe 12 Januari chini ya miezi minne iliyopita - virusi vya corona vilikua ndani ya Uchina pekee. Hapakuwa na mgonjwa hata mmoja aliyekuwa amepatikana nje ya nchi hiyo ambayo virusi hivyo vilianzia. Siku moja mbele yaani Januari 13, virusi hivyo vikaanza kuwa tatizo la dunia. Mgonjwa wa kwanza alirekodiwa Thailand kisha Japani, Korea Kusini zikafuatia haraka.
Katika maeneo mbalimbali ya dunia wakaanza kuongezeka.
Kufikia sasa zaidi ya watu zaidi ya milioni 2.9 wamethibitishwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi msako wa watu waliokaribiana na wagonjwa unavyofanyika duniani

Mamilioni ya watu Uingereza hivi karibuni watahitajika kupakua programu ya kusaidia kupunguza usambaaji wa virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Muuguzi wa Kenya asimulia alivyotengwa kwa kuwahudumia wagonjwa wa corona

Kumekuwa na unyanyapaa dhidi ya wahudumu wa afya wanaoshughulikia wanaougua corona na wale waliopona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani