MAREKANI YAZIDI KUONGOZA KWA WAGONJWA WENGI WA CORONA DUNIANI
Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionWaombolezaji katika mazishi mjini New York huku visa vya virusi vya corona katika mji huo vikiongezeka kwa siku ya tatu mfululizo.
New York state sasa ina visa vingi vya virusi vya corona zaidi ya taifa lolote duniani , kulingana na takwimu mpya.Serikali imethibitisha kwamba idadi ya visa vya ugonjwa huo imeongezeka kutoka 10,000 siku ya Alhamisi hadi 159, 937 na kuiweka mbele ya Uhispania ilio na visa 153,000 na Itali ilio na visa 143,000.China ambapo...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Viruis vya Corona: New York yarekodi wagonjwa wengi zaidi duniani
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya Corona: Trump asema Marekani kuwa na wagonjwa wengi ni heshima
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Kuganda kwa damu, tatizo linalowakumba wagonjwa wengi walio katika hali mahututi lazua hofu
5 years ago
CCM BlogIDADI YA WAGONJWA WA CORONA YAZIDI KUPUNGUA NCHINI, YASISITIZWA TAHADHARI IENDELEE KUCHUKULIWA
DODOMA, Tanzania
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema idadi ya wagonjwa wa Corona imeendelea kupungua huku baadhi ya vituo vikiwa havina wagonjwa na kwamba kwa mujibu wa takwimu za leo asubuhi Dar es Salaam kuna wagonjwa 11, Kibaha 16 na Dodoma kituo cha Mkonze wagonjwa ni watatu.
Akizungumza mara baada ya sala ya Idd El Fitr katika...
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yaipiku Italia kwa idadi ya vifo duniani
5 years ago
CCM Blog20 May
TRUMP ASEMA MAREKANI KUWA NA WAGONJWA WENGI NI HESHIMA
![Trump at a cabinet meeting](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/10209/production/_112375066_gettyimages-1225867223.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-f-Fu57YkwR8/XqhAdTkIYxI/AAAAAAABMB8/c-MGQc3IZiEC74HoEQT_LmTC2JXxeGANACLcBGAsYHQ/s72-c/_111602722_a0e8fa16-954a-4b3f-8530-a5b62f3db17c.jpg)
ZIJUE NCHI 15 DUNIANI ZISIZOKUWA NA WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-f-Fu57YkwR8/XqhAdTkIYxI/AAAAAAABMB8/c-MGQc3IZiEC74HoEQT_LmTC2JXxeGANACLcBGAsYHQ/s400/_111602722_a0e8fa16-954a-4b3f-8530-a5b62f3db17c.jpg)
Katika maeneo mbalimbali ya dunia wakaanza kuongezeka.
Kufikia sasa zaidi ya watu zaidi ya milioni 2.9 wamethibitishwa...
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Jinsi msako wa watu waliokaribiana na wagonjwa unavyofanyika duniani
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Muuguzi wa Kenya asimulia alivyotengwa kwa kuwahudumia wagonjwa wa corona