Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HOSPITALI MAARUFU DAR YAFILISIKA NA KUOMBA HIFADHI MAHAKAMANI

Dar es Salaam. A South African Company operating AMI Hospital or Trauma Centre at Msasani area in Dar es Salaam, African Medical Investment Tanzania Public Limited, is bankrupt and has surrendered to the High Court to be wound-up.
In a petition filed last week before the High Court's Main Registry, the company alleges that it has been incurring losses in terms of billions to the extent of having several outstanding liabilities and debts which are now exceeding its ability to pay to different...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JUST IN: TAARIFA KUHUSU RAIA WA BURUNDI WALIOINGIA NCHINI KUOMBA HIFADHI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inapenda kutoa taarifa kuwa hadi jana tarehe 03 Mei, 2015 raia wa Burundi waliongia nchini kuomba hifadhi walikuwa 1,852.  Raia hawa wa Burundi waliingia nchini kupitia vijiji mbalimbali vya mkoa wa Kigoma. Vijiji hivyo ni pamoja na kijiji cha Kigaye, Sekeoya na Kakonko.  Vingine ni Kosovo, Kagunga na Kibuye, huku wengine wakiwa wamepitia katika Kituo cha Uhamiaji cha Manyovu kilichopo mkoani...

 

11 years ago

GPL

VIONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WATINGA MAHAKAMANI

Washtakiwa wakiwa katika gari la polisi Washtakiwa wakisubiri kuingia mahakamani.…

 

10 years ago

Habarileo

TTCL yafilisika

Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Dk Kamugisha KazauraKAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imetangazwa kufilisika, kutokana na kutokuwa na mtaji baada ya mwekezaji, Kampuni ya simu za mkononi ya Bharti Airtel, kushindwa kuwekeza kwa miaka 14.

 

11 years ago

Michuzi

BREAKING NYUUUZZZZZ: VIONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WATINGA MAHAKAMANI, DPP AWAONDOLEA MASHTAKA

Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP), aliwapandisha kizimbani vigogo wanne wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba (IMTU) na baadaye kuwaondolea mashitaka kupitia hati ya Nole ya kuwaondolea mashtaka ya kushindwa kufukia viungo vya binadamu na kupeleka hati ya kufukia viungo vilivyotumika kufundishia kwa Kampuni Coroner.  Vigogo hao ni, Venkat Subbaian (57), Appm Shankar (64), Prabhakar Rao (59) na Dinesh Kumar (27) ambao walisomewa mashtaka yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni,...

 

10 years ago

Vijimambo

SUGE KNIGHT AKIMBIZWA HOSPITALI BAADA YA KUSHIKWA NA MAUMIVU YA KIFUA AKIWA MAHAKAMANI WAGA HUO

Suge Knight akiwa ndani nguo za magereza akiwa mahamani kwa kesi ya mauaji ya kumua rafiki yake na kesi nyingine ya kugonga na kuua mtu mwingine kwa gari na kukimbia. Na ikumbukwe pia ni huyu huyu ndiyo kuhusichwa na kifo cha 2Pac mwaka 96 walivyokuwa pamoja kwenye kampuni ya Death Row Records. Suge Knight anashikiliwa kunzia ijumaa kwenye magereza ya Central huko Los Angeles, baada ya yeye mwenyewe kujisalimisha  West Hollywood Sheriff's Station na amekana mashitaka yanayomkabili.Suge...

 

11 years ago

GPL

MC MAARUFU DAR APIGWA RISASI 9

Stori: Haruni Sanchawa na Issa Mnally
Masikitiko yameigubika familia ya Jafari na wakazi wa Yombo-Kilakala, Temeke jijini Dar kufuatia tukio la mshereheshaji (MC) maarufu, Kelvin Jafari ‘Kalembo’ (42) kupigwa risasi tisa na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi. MC Kelvin Jafari ‘Kalembo’ enzi za uhai wake. Tukio hilo lilijiri saa moja usiku wa Jumamosi iliyopita huko Yombo ambapo kwa mujibu wa mashuhuda,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kashfa tawi maarufu la Simba Dar

WAKATI Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, ikitoa onyo kali kwa watu wanaojihusisha kutoa kadi na risiti za kughushi, habari za uhakika zinaeleza kuwa tawi moja maarufu la jijini...

 

11 years ago

Habarileo

Hoteli maarufu Dar yakamatwa kodi

Naibu Kamishna wa Idara ya Kodi za Ndani, Generosa BateyungaMGAHAWA maarufu jijini Dar es Salaam unaozunguka juu ya jengo la Golden Jubilee lenye zaidi ya ghorofa 20, umekamatwa kwa kukwepa kodi baada ya kuacha kutumia Mashine ya Kodi ya Kielektroniki (EFDs) licha ya kuwa nayo.

 

10 years ago

GPL

MCHINJAJI MAARUFU DUNIANI ALIVYOKAMATWA DAR

NA MWANDISHI WETU
JINA Jihadi John ‘Mohammed Emwazi’  (26) ni maarufu kwa sasa baada ya kijana huyo kubainika kwamba ndiye muuaji mwenye kiu isiyokatika kutoka Kundi la Islamic State ‘IS’ ambalo linaendesha vita dhidi ya Dola za Kiislam. Jihadi John ‘Mohammed Emwazi’  (26). Kwa wale wasiomfahamu sawasawa muuaji huyo, anaonekana mara kwa mara katika runinga akiwachinja bila huruma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani