Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kashfa tawi maarufu la Simba Dar

WAKATI Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, ikitoa onyo kali kwa watu wanaojihusisha kutoa kadi na risiti za kughushi, habari za uhakika zinaeleza kuwa tawi moja maarufu la jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kashfa nzito Simba

UONGOZI wa Simba unaomaliza muda wake, unadaiwa kuchukua kitita cha sh milioni 100 zilizotakiwa kutolewa msimu ujao kutoka Azam Media kwa madai ya kwenda kujenga uwanja wao Bunju, Dar es...

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyemuua simba maarufu Zimbabwe asakwa

Msako mkali unaendelea nchini Zimbabwe dhidi ya mwindaji haramu aliyemuua mmoja kati ya simba maarufu nchini humo .

 

11 years ago

GPL

MC MAARUFU DAR APIGWA RISASI 9

Stori: Haruni Sanchawa na Issa Mnally
Masikitiko yameigubika familia ya Jafari na wakazi wa Yombo-Kilakala, Temeke jijini Dar kufuatia tukio la mshereheshaji (MC) maarufu, Kelvin Jafari ‘Kalembo’ (42) kupigwa risasi tisa na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi. MC Kelvin Jafari ‘Kalembo’ enzi za uhai wake. Tukio hilo lilijiri saa moja usiku wa Jumamosi iliyopita huko Yombo ambapo kwa mujibu wa mashuhuda,...

 

10 years ago

GPL

MCHINJAJI MAARUFU DUNIANI ALIVYOKAMATWA DAR

NA MWANDISHI WETU
JINA Jihadi John ‘Mohammed Emwazi’  (26) ni maarufu kwa sasa baada ya kijana huyo kubainika kwamba ndiye muuaji mwenye kiu isiyokatika kutoka Kundi la Islamic State ‘IS’ ambalo linaendesha vita dhidi ya Dola za Kiislam. Jihadi John ‘Mohammed Emwazi’  (26). Kwa wale wasiomfahamu sawasawa muuaji huyo, anaonekana mara kwa mara katika runinga akiwachinja bila huruma...

 

11 years ago

Habarileo

Hoteli maarufu Dar yakamatwa kodi

Naibu Kamishna wa Idara ya Kodi za Ndani, Generosa BateyungaMGAHAWA maarufu jijini Dar es Salaam unaozunguka juu ya jengo la Golden Jubilee lenye zaidi ya ghorofa 20, umekamatwa kwa kukwepa kodi baada ya kuacha kutumia Mashine ya Kodi ya Kielektroniki (EFDs) licha ya kuwa nayo.

 

10 years ago

Vijimambo

HOSPITALI MAARUFU DAR YAFILISIKA NA KUOMBA HIFADHI MAHAKAMANI

Dar es Salaam. A South African Company operating AMI Hospital or Trauma Centre at Msasani area in Dar es Salaam, African Medical Investment Tanzania Public Limited, is bankrupt and has surrendered to the High Court to be wound-up.
In a petition filed last week before the High Court's Main Registry, the company alleges that it has been incurring losses in terms of billions to the extent of having several outstanding liabilities and debts which are now exceeding its ability to pay to different...

 

11 years ago

Michuzi

FNB Yafunguwa tawi jipya la Kariakoo,jijini Dar

Mkurugenzi mkuu wa benki ya FNB Tanzania Bw. Dave Aitken akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa tawi jipya la Benki hiyo,lililopo Kariakoo jijini Dar es salaam.kushoto ni Msimamizi wa Masuala ya Athari na Tahadhari wa benki ya FNB Tanzania, Bw. Silvest Arumasi, na kulia ni Afisa Msimamizi Mkuu wa fedha wa benki hiyo, Bw. Luke Woodford.
Katika kukuza na kusaidia wafanya biashara wadogo na wakati benki ya FNB Tanzania imefungua tawi jipya la kariakoo, ambalo...

 

10 years ago

Vijimambo

TPB wazinduwa Tawi jipya Kimara Mwisho Dar es Salaam

Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya hafla ya uzinduzi wa tawi dogo la Benki hiyo lililopo Kimara Mwisho jijini Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya hafla ya uzinduzi wa tawi dogo la Benki hiyo lililopo Kimara Mwisho jijini Dar es Salaam.Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Posta Tanzania (TPB), Profesa Lettice Rutashobya (kulia) akimkabidhi kadi ya TPB mteja wa kwanza kuhudumiwa katika tawi jipya dogo la Benki hiyo lililopo Kimara Mwisho jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Posta Tanzania (TPB), Profesa Lettice Rutashobya (kulia) akimkabidhi kadi ya TPB mteja wa kwanza kuhudumiwa katika tawi jipya dogo la Benki hiyo lililopo Kimara Mwisho jijini Dar es Salaam.Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi (kulia) akimpongeza mteja wa kwanza kuhudumiwa katika tawi jipya dogo la Benki hiyo lililopo Kimara Mwisho jijini Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB),...

 

11 years ago

GPL

MPIGA GITAA MAARUFU WA SKYLIGHT BAND CHIRI CHALLA AZIKWA JIJINI DAR

Waombolezaji wakiwa msibani Jana kushoto mwenye tisheti nyeusi ni Mratibu wa Skylight Band William Malecela akijadili jambo na Mkurugenzi wa Skylight band Justine Ndege ili kuweka mambo sawa kabla ya Mwili wa marehemu kuwasili.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani