Hoteli maarufu Dar yakamatwa kodi
MGAHAWA maarufu jijini Dar es Salaam unaozunguka juu ya jengo la Golden Jubilee lenye zaidi ya ghorofa 20, umekamatwa kwa kukwepa kodi baada ya kuacha kutumia Mashine ya Kodi ya Kielektroniki (EFDs) licha ya kuwa nayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Makontena tisa yakamatwa Dar
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Kahawa iliyoibwa Burundi yakamatwa Dar
SHEHENA ya magunia 300 ya kahawa kutoka Burundi iliyoibwa wakati ikisafrishwa kutoka nchini humo kwenda nje ya nchi kupitia Bandari ya Dar es Salaam, imepatikana. Habari zilizopatikana mwishoni mwa wiki...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Meno 156 ya tembo yakamatwa Dar
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Makontena 31 ya magogo yakamatwa bandarini Dar
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1ucIDuv5sylGl*aEzDq6u3-ioIeFNdLilJcPwMDWfKlw1EPqfuxh2TeyAbGwyLdwudhr7U5sPwbgqJGtlJwD0e/mc.jpg?width=550)
MC MAARUFU DAR APIGWA RISASI 9
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s72-c/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
RC ARUSHA MRISHO GAMGO ASEMA HOTELI ALIYOPATIKANA MGONJWA WA CORONA IMEIFUNGA, WALIOPO HOTELI WOTE HAKUNA KUTOKA WALA KUINGIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s400/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
MKUU wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.
Akizungumza leo Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo...
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Kashfa tawi maarufu la Simba Dar
WAKATI Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, ikitoa onyo kali kwa watu wanaojihusisha kutoa kadi na risiti za kughushi, habari za uhakika zinaeleza kuwa tawi moja maarufu la jijini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLSjnS4S7PGcvmSugLBMhs3rZ325rTBUZQrnUe9plpbh33W39tU-hc1oLrVzrIYS*M47Yth26Dx2bmU6jQzD*EyU/John.jpg?width=650)
MCHINJAJI MAARUFU DUNIANI ALIVYOKAMATWA DAR