Hospitali Serikali majanga matupu
Hakufai. Pengine ni neno linaloweza kuwakilisha uhalisi wa hali ilivyo katika baadhi ya hospitali kadhaa za Serikali nchini, ambako mamia ya wagonjwa wanateseka kutokana na uhaba wa dawa, vitendanishi na vifaa tiba ambao umeendelea kuzikumba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Majanga matupu TFF
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Tambwe amfunika Okwi, Yanga majanga matupu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7Lt90AnTkqZu93yJwmTB21GnVxDhS03fQJjIMeSLvJOFuayMWlzt*2*zHN-K7UeamF1SEoobrsg2qDMslUf0oZxc/BACK.jpg)
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2014 MBONA MAJANGA
9 years ago
StarTV26 Nov
Serikali yathamini mchango wa wafanyabiashara kwa Kusaidia Waliopata Majanga
Mkuu wa Wilaya ya Songea Benson Mpesya amewataka wafanyabiashara kutambua kuwa Serikali inathamini mchango wao hasa pale wanapoungana na Serikali kuwasaidia wananchi wanapopatwa na majanga.
Mpesya amesema hayo alipokuwa akipokea mabati 112 na misumari ya bati kutoka kwa wafanyabiashara wa manispaa ya Songea kwa lengo la kuwasaidia wananchi walioezuliwa nyumba zao na upepo mkali ulioambatana na mvua na kuziacha familia 15 bila kuwa na mahali pa kuishi.
Mkuu wa Wilaya ya Songea Benson Mpesya...
9 years ago
StarTV11 Nov
Serikali yashauriwa kuweka mikakati ya kupunguza athari zitokanazo na majanga hasili.
Serikali imeshauriwa kuweka mikakati mahsusi ya kuwekeza kwenye Sayansi ili kupunguza kasi ya ongezeko la majanga ya asili duniani yakiwemo mafuriko, ukame na vimbunga yanayoweza kuleta athari kubwa kwa nchi zinazoendelea.
Maadhimisho ya siku ya sayansi duniani yanayofanyika Novemba 10 kila mwaka, yanakwenda sanjari na uzinduzi wa toleo jipya lenye dhana muhimu ya Sayansi Duniani kwa amani na maendeleo, likiwa na maana ya kuonyesha mwelekeo wa sayansi, teknolojia na maendeleo kwa kila...
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
USULUHISHI BUNGE LA KATIBA MAZINGAOMBWE MATUPU
10 years ago
Habarileo11 Feb
JK: Serikali itaendelea kuboresha hospitali
SERIKALI imesema itaendelea kuboresha sekta ya afya nchini kwa kuboresha zahanati, vituo vya afya, hospitali za wilaya, rufaa na vyuo vinavyotoa taaluma ya uuguzi na udaktari.
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Serikali yashauriwa kuboresha hospitali
SERIKALI imeshauriwa kuboresha huduma za hospitali nchini ili kupunguza vifo vya mama wajawazito na watoto chini ya miaka mitano vinavyotokana na ukosefu wa vifaatiba. Ushauri huo ulitolewa jijini Dar es...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Serikali yaifunga Hospitali ya IMTU