Majanga matupu TFF
Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara imelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kulipa deni la zaidi ya Sh 141 milioni linalodaiwa na Kampuni ya Punchlines Tanzania Limited ndani ya siku 14 vinginevyo basi lake litakamatwa na kuuzwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Hospitali Serikali majanga matupu
Hakufai. Pengine ni neno linaloweza kuwakilisha uhalisi wa hali ilivyo katika baadhi ya hospitali kadhaa za Serikali nchini, ambako mamia ya wagonjwa wanateseka kutokana na uhaba wa dawa, vitendanishi na vifaa tiba ambao umeendelea kuzikumba.
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Tambwe amfunika Okwi, Yanga majanga matupu
>Mshambuliaji Amis Tambwe ameitibua sherehe ya utambulisho wa Emmanuel Okwi baada ya kupachika mabao mawili wakati Simba ilipoichakaza Yanga 3-1 katika mchezo wa ‘Nani Mtani Jembe’ jana kwenye Uwanja Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
USULUHISHI BUNGE LA KATIBA MAZINGAOMBWE MATUPU
Mchakato wa Katiba Mpya umeendelea kuzua vioja mjini hapa kufuatia mkutano wa kusuluhisha wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Tanzania Kwanza ili kunusuru Bunge Maalum la Katiba lililogawanyika vipande vipande kushindwa kujitokeza katika ukumbi uliokuwa umepangwa.
Mkutano huo ambao ulipangwa kufanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Dodoma, haukufanyika kutokana na kutojitokeza hata mjumbe mmoja kutoka katika wajumbe wa Ukawa unaounda na vyama vya Chadema, CUF na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s1600/images.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*WUJbVBLw3dkCamaGAXqKf992JNvXVQbniyMuK*70ixX2aoQG4s8WrIBNN4GZxzr*9awu6EVl5YNY-zAYmlGbvr/majanga2.jpg?width=650)
MAJANGA!
Chande Abdallah na Deogratius Mongela MAJANGA! Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers inayodili ya maeneo korofi kwa uovu, imewanasa vijana wa kike na kiume wakifanya vitendo vichafu vichochoroni, maeneo ya Mbagala-Zakheem, Dar. Vijana wa kike na wa kiume walionaswa wakifanya vitendo viovu uchochoroni.
Awali, OFM ilipokea malalamiko kutoka kwa wakazi wa maeneo hayo juu ya vijana hao kufanya ngono...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Majanga bungeni
MAWAZIRI Profesa Jumanne Maghembe (Maji) na Dk. Shukuru Kawambwa (Elimu na Mafunzo ya Ufundi), wanadaiwa kuwahonga makundi ya wafugaji, wavuvi na wawakilishi wa elimu ya juu ili washikilie msimamo wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2I-ABxGZyKWY0jBkT2Y-wVdFtRddRGH0-kVzdYQbd3PIM-bS*4ApOewa140TBipxHl*1j9iPMDrWYzKORHZliPV/KASEJA.jpg?width=500)
Kaseja majanga...
Kipa wa Yanga, Juma Kaseja. Na Phillip Nkini
KIPA wa Yanga, Juma Kaseja, amesema yeye ni mzima wa afya na kukosekana kwake kwenye mechi dhidi ya Ashanti siyo ishu kubwa, lakini kocha wake amesisitiza aliamua kumfanya chaguo la tatu kutokana na kiwango. Kaseja alijiunga na Yanga baada ya kumaliza mkataba wake na Simba na kukaa nje nusu msimu bila kucheza, lakini juzi ukiwa ndiyo mchezo wa kwanza wa mzunguko wa pili wa ligi kwa...
11 years ago
Uhuru Newspaper24 Jun
CHADEMA majanga
NA HAMIS SHIMYE
BAADA ya kujaribu kuficha migogoro nyuma ya kichaka cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), hatimaye bundi wa migogoro ameibuka tena ndani ya CHADEMA.
Kwa muda mrefu sasa, kumekuwemo mvutano kutokana na kile kinachodaiwa ukiukwaji wa Katiba na matumizi mabaya ya madaraka na fedha za chama.
Hatua hiyo ilisababisha baadhi ya viongozi wakiwemo wa ngazi za juu kuvuliwa uanachama na wengine kutimuliwa.
Baadhi waliovuliwa uongozi ni aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhbnrE6Otd9mBdel2HNkMddagcYFgbOitWx5fer9P2zW945QLxSDf0-LHBIsc*ccGLRRrROcAQjicYGtn3G9Nho/wolper.jpg?width=650)
WOLPER MAJANGA!
Jacqueline Wolper Massawe. Stori:Â Gladness Mallya
SEXY lady katika tasnia ya filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amepata majanga baada ya gari lake kugonga gari lingine na vitu kibao kwenye siku ya ‘bethidei’ yake. Pichani (chini kushoto) ni…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania