CHADEMA majanga
NA HAMIS SHIMYE
BAADA ya kujaribu kuficha migogoro nyuma ya kichaka cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), hatimaye bundi wa migogoro ameibuka tena ndani ya CHADEMA.
Kwa muda mrefu sasa, kumekuwemo mvutano kutokana na kile kinachodaiwa ukiukwaji wa Katiba na matumizi mabaya ya madaraka na fedha za chama.
Hatua hiyo ilisababisha baadhi ya viongozi wakiwemo wa ngazi za juu kuvuliwa uanachama na wengine kutimuliwa.
Baadhi waliovuliwa uongozi ni aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*WUJbVBLw3dkCamaGAXqKf992JNvXVQbniyMuK*70ixX2aoQG4s8WrIBNN4GZxzr*9awu6EVl5YNY-zAYmlGbvr/majanga2.jpg?width=650)
MAJANGA!
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Majanga bungeni
MAWAZIRI Profesa Jumanne Maghembe (Maji) na Dk. Shukuru Kawambwa (Elimu na Mafunzo ya Ufundi), wanadaiwa kuwahonga makundi ya wafugaji, wavuvi na wawakilishi wa elimu ya juu ili washikilie msimamo wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2I-ABxGZyKWY0jBkT2Y-wVdFtRddRGH0-kVzdYQbd3PIM-bS*4ApOewa140TBipxHl*1j9iPMDrWYzKORHZliPV/KASEJA.jpg?width=500)
Kaseja majanga...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhbnrE6Otd9mBdel2HNkMddagcYFgbOitWx5fer9P2zW945QLxSDf0-LHBIsc*ccGLRRrROcAQjicYGtn3G9Nho/wolper.jpg?width=650)
WOLPER MAJANGA!
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Stars mpya majanga
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilitibua furaha ya sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, baada ya kuchapwa mabao 3-0 na Burundi katika mechi ya kirafiki iliyopigwa...
10 years ago
Habarileo18 Jul
Jopo la majanga lateta na WHO
JOPO la watu mashuhuri linaloangalia jinsi dunia inavyoweza kujikinga na kukabiliana na majanga ya magonjwa ya milipuko, chini ya Rais Jakaya Kikwete, limeendelea na kazi yake kwa kukutana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Margaret Chan.
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Liverpool, Arsenal ‘majanga’
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Uzee Tanzania ni ‘majanga’
WAHENGA walisema ”ujana ni maji ya moto”mimi ninaamini usemi huu una ukweli, kwani kipindi cha ujana huwa kinapita kama maji ya moto yanavyopoa na kurudi kuwa baridi ambayo ndio asili...
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Ngoma, Tambwe majanga