Jopo la majanga lateta na WHO
JOPO la watu mashuhuri linaloangalia jinsi dunia inavyoweza kujikinga na kukabiliana na majanga ya magonjwa ya milipuko, chini ya Rais Jakaya Kikwete, limeendelea na kazi yake kwa kukutana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Margaret Chan.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Apr
JK ateuliwa Mwenyekiti jopo la majanga ya afya duniani
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amemteua Rais Jakaya Kikwete kuwa Mwenyekiti wa jopo la ngazi ya juu kuhusu Mwitikio wa Kimataifa wa Majanga ya Afya (High - Level Panel on Global Responses to Health Crises).
"Ni majukumu makubwa na yenye changamoto nyingi lakini dunia inahitaji tuwe na mikakati katika masuala haya ambayo ni muhimu kwa maisha ya binadamu, hivyo hatuna budi kufanya kazi hii kama mchango wetu kwa ajili ya maisha ya...
10 years ago
Michuzi16 Jul
10 years ago
Dewji Blog07 May
10 years ago
Michuzi10 years ago
BBCSwahili30 Mar
Jopo laundwa kuchunguza viongozi Kenya
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
MCT yataja jopo la wajuzi wa habari
BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limetangaza majina saba ya wajumbe wapya wa jopo la wajuzi wa uhuru wa habari wa kujiendeleza. Majina hayo yalitangazwa mjini Dodoma jana na Katibu Mtendaji...
9 years ago
MichuziHAKIELIMU YAZINDUA JOPO LA WASHAURI MABINGWA
10 years ago
Habarileo16 Jul
JK aongoza vikao jopo la magonjwa ya milipuko
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa linalochunguza jinsi dunia inavyoweza kujikinga na majanga ya magonjwa ya milipuko katika miaka ijayo, yuko jijini hapa kuanzia juzi usiku kwa ajili ya kuendesha vikao vya jopo hilo.
9 years ago
Habarileo20 Sep
JK: Kazi za jopo langu zinaendelea vizuri
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameeleza maendeleo ya kazi ya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani, linaloangalia jinsi dunia inavyoweza kujiandaa vizuri zaidi kukabiliana na magonjwa ya mlipuko katika siku zijazo.