Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Kazi za jopo langu zinaendelea vizuri

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameeleza maendeleo ya kazi ya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani, linaloangalia jinsi dunia inavyoweza kujiandaa vizuri zaidi kukabiliana na magonjwa ya mlipuko katika siku zijazo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wakubwa waunga mkono kazi ya Jopo la Rais Kikwete

Jakaya-Kikwete1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa Linalopendekeza Jinsi Dunia inavyoweza kukabiliana na majanga yajayo ya magonjwa ya milipuko, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Jumatano, Julai 15, 2015, ameongoza vikao vya Jopo hilo ambalo kazi yake imeungwa mkono na nchi 21 ambazo zilichangia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ebola.

Miongoni mwa mikutano ambayo Rais Kikwete ameiongoza katika Makao ya Umoja wa Mataifa (UN) mjini Geneva ni pamoja na yeye na wanajopo...

 

9 years ago

Vijimambo

JK KUELEZEA UMOJA WA MATAIFA MAENDELEO YA KAZI YA JOPO ANALOLIONGOZA

Na  Mwandishi Maalum, New York
Rais Jakaya Mrisho Kikwete,  ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Ngazi ya  Juu kuhusu  Mwitikio wa Kimataifa wa   Majanga ya Kiafya, anatarajiwa Ijumaa wiki hii, kueleza mbele ya  wajumbe wa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa kuhusu maendeleo ya kazi  ya jopo  hilo tangu kuundwa kwake.
Jopo la Ngazi ya juu kuhusu mwitiko wa Kimataifa wa majanga ya kiafya  liliundwa mwezi wa  nne mwaka huu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,  Ban Ki  Moon, ambapo  Rais Kikwete...

 

9 years ago

Michuzi

Jopo la UN linaloongozwa na JK lakamilisha kazi yake New York, Jijini New York, Marekani

Jopo la Watu Mashuhuri la Umoja wa Mataifa la Kupendekeza Namna Bora ya Dunia Kukabiliana na Majanga ya Afya limekamilisha kazi yake wiki iliyopita jijini New York. Jopo hilo linaloongozwa na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete lilikabidhiwa jukumu hilo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki moon tarehe 2 Aprili, 2015 na kupewa muda wa kuanzia Mei hadi Desemba 2015 kukamilisha kazi yake.
Jopo limefanya mikutano minne na kukutana na wadau mbalimbali wa afya zikiwemo taasisi za Umoja wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Usingizi wa Kutosha ni nguvu ya kufanya kazi vizuri mchana

Kila inapofika usiku, watu wengi huuchukulia ni wakati wa kupumzika. Siyo kupumzika tu kwa kukaa bali kulala usingizi hadi alfajiri ama asubuhi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kura zinaendelea kuhesabiwa Malawi

Hasira miongoni mwa wananchi na ghasia zilizozuka zilisababisha kutofanyika uchaguzi katika baadhi ya vituo vya kura nchini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Sherehe zinaendelea fukwe za Copacabana

Fainali za Kombe la Dunia 2014 zilizoanza Juni 12 na kushirikisha timu 32 hivi sasa zimefikia patamu kwani baadhi ya timu zimesonga mbele hatua ya 16 bora huku nyingine zikiaga fainali hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani