Ngoma, Tambwe majanga
Wachezaji wa Yanga, Mrundi Amissi Tambwe, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na Oscar Joshua wameshindwa kufanya mazoezi jana kutokana na kusumbuliwa na malaria, wakati Mzimbabwe Donald Ngoma akisumbuliwa na maumivu ya nyonga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Tambwe amfunika Okwi, Yanga majanga matupu
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Kila mwamba ngoma akivutia kwake, mwisho ngoma hupasuka
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/bJubfyXMsOc/default.jpg)
ngoma azipendazo ankal - special request from Ras Makunja wa Ngoma Afrika band, Ujerumani
Simba Wanyika - Halleluja
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kSuuiTgwegk/default.jpg)
NGOMA, NGOMA, NGOMA OYEEEE…
Hizi ni baadhi ya shughuli ambazo mwana Kitoto hufanya ughaibuni. Usiku na mchana. Ninazionea fahari…Miaka mingi wengi wameniuliza watakujaje Majuu. Njia nzuri na rahisi sana ni kufanya mambo ya kwetu. Ngoma ni kitu kinachopendwa na wageni maana ni uhalisia na asili ya Mwafrika.
Juu hapa wanaonekana wanamuziki wawili wa Kitanzania wanaoishi Uingereza. Saidi Kanda na Fab Moses. Fab Moses...
10 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND YAITAKIA MSONDO NGOMA BAND HERI YA MIAKA 50 !
![](http://4.bp.blogspot.com/-ORf9Gn6TFdU/VBIA8eWjFyI/AAAAAAAGjAQ/QMKp6Yj33Lc/s1600/download.jpg)
Kiongozi wa Ngoma Africa band Kamanda Ras Makunja, anaitaja bendi ya Msondo Ngoma ndiyo...
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Sherehe za Miaka 50 ya uhai wa Bendi Msondo Ngoma zafana Jijini DarMsondo Ngoma zafana Jijini Dar
Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea Jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*WUJbVBLw3dkCamaGAXqKf992JNvXVQbniyMuK*70ixX2aoQG4s8WrIBNN4GZxzr*9awu6EVl5YNY-zAYmlGbvr/majanga2.jpg?width=650)
MAJANGA!
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Majanga bungeni
MAWAZIRI Profesa Jumanne Maghembe (Maji) na Dk. Shukuru Kawambwa (Elimu na Mafunzo ya Ufundi), wanadaiwa kuwahonga makundi ya wafugaji, wavuvi na wawakilishi wa elimu ya juu ili washikilie msimamo wa...
11 years ago
Uhuru Newspaper24 Jun
CHADEMA majanga
NA HAMIS SHIMYE
BAADA ya kujaribu kuficha migogoro nyuma ya kichaka cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), hatimaye bundi wa migogoro ameibuka tena ndani ya CHADEMA.
Kwa muda mrefu sasa, kumekuwemo mvutano kutokana na kile kinachodaiwa ukiukwaji wa Katiba na matumizi mabaya ya madaraka na fedha za chama.
Hatua hiyo ilisababisha baadhi ya viongozi wakiwemo wa ngazi za juu kuvuliwa uanachama na wengine kutimuliwa.
Baadhi waliovuliwa uongozi ni aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na...