Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WOLPER MAJANGA!

Jacqueline Wolper Massawe. Stori:  Gladness Mallya
SEXY lady katika tasnia ya filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amepata majanga baada ya gari lake kugonga gari lingine na vitu kibao kwenye siku ya ‘bethidei’ yake. Pichani (chini kushoto) ni…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!

"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini  na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.

Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...

 

11 years ago

GPL

MAJANGA!

Chande Abdallah na Deogratius Mongela MAJANGA! Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers inayodili ya maeneo korofi kwa uovu, imewanasa vijana wa kike na kiume wakifanya vitendo vichafu vichochoroni, maeneo ya Mbagala-Zakheem, Dar. Vijana wa kike na wa kiume walionaswa wakifanya vitendo viovu uchochoroni.
Awali, OFM ilipokea malalamiko kutoka kwa wakazi wa maeneo hayo juu ya vijana hao kufanya ngono...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

CHADEMA majanga


NA HAMIS SHIMYE
BAADA ya kujaribu kuficha migogoro nyuma ya kichaka cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), hatimaye bundi wa migogoro ameibuka tena ndani ya CHADEMA.
Kwa muda mrefu sasa, kumekuwemo mvutano kutokana na kile kinachodaiwa ukiukwaji wa Katiba na matumizi mabaya ya madaraka na fedha za chama.
Hatua hiyo ilisababisha baadhi ya viongozi wakiwemo wa ngazi za juu kuvuliwa uanachama na wengine kutimuliwa. 
Baadhi waliovuliwa uongozi ni aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na...

 

11 years ago

GPL

Kaseja majanga...

Kipa wa Yanga, Juma Kaseja. Na Phillip Nkini
KIPA wa Yanga, Juma Kaseja, amesema yeye ni mzima wa afya na kukosekana kwake kwenye mechi dhidi ya Ashanti siyo ishu kubwa, lakini kocha wake amesisitiza aliamua kumfanya chaguo la tatu kutokana na kiwango. Kaseja alijiunga na Yanga baada ya kumaliza mkataba wake na Simba na kukaa nje nusu msimu bila kucheza, lakini juzi ukiwa ndiyo mchezo wa kwanza wa mzunguko wa pili wa ligi kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majanga bungeni

MAWAZIRI Profesa Jumanne Maghembe (Maji) na Dk. Shukuru Kawambwa (Elimu na Mafunzo ya Ufundi), wanadaiwa kuwahonga makundi ya wafugaji, wavuvi na wawakilishi wa elimu ya juu ili washikilie msimamo wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Majanga matupu TFF

Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara imelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kulipa deni la zaidi ya Sh 141 milioni linalodaiwa na Kampuni ya Punchlines Tanzania Limited ndani ya siku 14 vinginevyo basi lake litakamatwa na kuuzwa.

 

11 years ago

GPL

Majanga Domayo majeruhi!

Frank Domayo amesajiliwa rasmi na Azam FC akitokea Yanga. Na  Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya kujulikana kuwa Frank Domayo amesajiliwa rasmi na Azam FC akitokea Yanga, imebainika kuwa kiungo huyo mkabaji ni majeruhi na kama akitoneshwa anaweza kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu. Domayo ambaye kwa sasa yupo na Taifa Stars jijini Mbeya, amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya paja kwa muda mrefu na ikitokea akatoneshwa au...

 

11 years ago

GPL

SNURA AANDAMWA NA MAJANGA

BAADA ya hivi karibuni kufungiwa video ya wimbo wake, staa wa muziki na filamu Bongo, Snura Mushi amesema ameendelea kuandamwa na majanga ambapo hivi karibuni alipata msiba wa babu yake huku mdogo wake akipata ajali. Akizungumza kwa huzuni, Snura alisema mwaka huu umekuwa wa majanga kwake kwani babu yake huyo alimlea na kushika nafasi ya baba yake tangu alipozaliwa hadi kufikia utu uzima. “Ukweli nimeumia sana na mwaka huu...

 

11 years ago

Mwananchi

Liverpool, Arsenal ‘majanga’

Vinara wa Ligi Kuu England, Arsenal leo wanaanza kuruka viuzi vizito vya Februari wakati wakapokuwa ugeniniAnfield kucheza mechi yake ya kwanza kati ya mbili dhidi ya Liverpool katika wiki hii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani