Serikali yathamini mchango wa wafanyabiashara kwa Kusaidia Waliopata Majanga
Mkuu wa Wilaya ya Songea Benson Mpesya amewataka wafanyabiashara kutambua kuwa Serikali inathamini mchango wao hasa pale wanapoungana na Serikali kuwasaidia wananchi wanapopatwa na majanga.
Mpesya amesema hayo alipokuwa akipokea mabati 112 na misumari ya bati kutoka kwa wafanyabiashara wa manispaa ya Songea kwa lengo la kuwasaidia wananchi walioezuliwa nyumba zao na upepo mkali ulioambatana na mvua na kuziacha familia 15 bila kuwa na mahali pa kuishi.
Mkuu wa Wilaya ya Songea Benson Mpesya...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7-aiFlmZF48/XoHdlcVAtRI/AAAAAAABL9o/8C1yFrMpE-IleVXrFF7RnCgp6OlehMvxgCLcBGAsYHQ/s72-c/mm.jpg)
NMB YATOA MCHANGO WA SH. MIL 100 KWA SERIKALI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7-aiFlmZF48/XoHdlcVAtRI/AAAAAAABL9o/8C1yFrMpE-IleVXrFF7RnCgp6OlehMvxgCLcBGAsYHQ/s640/mm.jpg)
11 years ago
Habarileo11 Jan
Waliopata majanga ya moto Pemba wasaidiwa
JUMUIYA ya Muzdalifa yenye makao makuu yake Pemba imetoa misaada wa bidhaa mbalimbali ikiwemo nguo kwa familia na watu ambao nyumba zao zimeteketea kwa moto huko Shumba, mjini Pemba.
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Blog ya Vijimambo yakabidhi mchango wake wa kusaidia kupambana na ujangili kwa Mhe. Lazaro Nyalandu
Baraka Daudi, Mwenyekiti wa Tamasha la Utalii na kukemea ujangili lililoadhimisha miaka 4 ya Blog ya Vijimambo akimkabidhi pesa tasilimu $1,000 kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu kwa ajili ya kupambana na ujangili makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumatatu Sept 15, 2014.
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/t31.0-8/1270840_10152390941687479_778937543945959590_o.jpg)
Mhe. Lazaro Nyalandu, Balozi Leberata Mulamula Afisa Ubalozi Suleiman Saleh (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Vijimambo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dord9D_EcbQ/XtoaXH3mhGI/AAAAAAAEHgY/XIOmMx32irkIHVbdCdaK6Cy-KQ7AxpftQCLcBGAsYHQ/s72-c/a7231e57-79cc-4ccc-a8bb-1d8f2714db5e.jpg)
TMRC yatoa mchango kwa Serikali na jamii kupambana na Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-dord9D_EcbQ/XtoaXH3mhGI/AAAAAAAEHgY/XIOmMx32irkIHVbdCdaK6Cy-KQ7AxpftQCLcBGAsYHQ/s640/a7231e57-79cc-4ccc-a8bb-1d8f2714db5e.jpg)
..............................................
TMRC imetoa msaada huo kwa hospitali ya Serikali ya Amana. Msaada huo ni gallons 50 za lita 5 za vitakasa mikono (sanitizer) ambazo kwa ujumla wake ni lita 250.
Msaada huo ulipokelewa na Mganga...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p-8O132co40/U9Jhrl5yIDI/AAAAAAAF6RU/nNAYE26Giiw/s72-c/unnamed+(26).jpg)
CRDB yatoa mchango wa Mil. 3 kusaidia shule iliyopata janga la moto,wilayani Monduli
![](http://4.bp.blogspot.com/-p-8O132co40/U9Jhrl5yIDI/AAAAAAAF6RU/nNAYE26Giiw/s1600/unnamed+(26).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z12TPdEmmSg/XocOsxOfpdI/AAAAAAALl6s/DLf_w4Ebn-QNybLnZotNuNURFWWxm4F1QCLcBGAsYHQ/s72-c/156fd9c1-3376-44e4-9cb6-526b5ac34e94.jpg)
KAMPUNI YA G1 SECURITY YAMPATIA RC MAKONDA MCHANGO WA GENERATOR KWAAJILI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z12TPdEmmSg/XocOsxOfpdI/AAAAAAALl6s/DLf_w4Ebn-QNybLnZotNuNURFWWxm4F1QCLcBGAsYHQ/s640/156fd9c1-3376-44e4-9cb6-526b5ac34e94.jpg)
Akipokea Mchango huo kwa niaba ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda, Mganga mkuu wa Mkoa huo Dr. Rashid Mfaume ameishukuru Kampuni hiyo kwa kuunga mkono juhudi za serikali ambapo ameeleza licha ya...
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Matumaini kwa wafanyabiashara baada ya Serikali kuahidi kuboresha mazingira
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-anBJxm5odYo/VXx2NYDnRjI/AAAAAAAC6iQ/JxvMUDk-4Lk/s72-c/7.jpg)
KINANA AITAKA SERIKALI KURAHISISHA UTOAJI WA LESENI KWA WAFANYABIASHARA,MADEREVA WA MAGARI NA BODABODA
![](http://3.bp.blogspot.com/-anBJxm5odYo/VXx2NYDnRjI/AAAAAAAC6iQ/JxvMUDk-4Lk/s640/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sbI-B1iVfYE/VXx18I7VJZI/AAAAAAAC6gI/hvmtw1Akl_4/s640/14.jpg)
10 years ago
GPLDIWANI WA KATA YA VIJIBWENI ATOA PIKIPIKI MBILI KWA AJILI YA KUSAIDIA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA