Hoteli Double Tree, Slip Way kiama
Wakati operesheni ya kuweka alama ya X kwenye nyumba zilizojengwa mabondeni, maeneo ya wazi na kinyume na taratibu ikiendelea, Hoteli za Double Tree na Slip Way nazo zimekumbwa na pigo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Jumba la Mama Rwakatare, Hoteli za Double Tree na Slip Way Kubomolewa
![1](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/1.jpg)
![3](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/3.jpg)
10 years ago
VijimamboHOTEL ZA DOUBLE TREE BY HILTON TANZANIA WADHAMINI SIKU YA CHAKULA
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Hotel ya Double Tree By Hilton Tanzania wadhamini siku ya chakula iliyofanyika kwenye viwanja vya International School Tanganyika
Hotel ya Double Tree By Hilton Tanzania Tarehe 18.10.2014 walidhamini Siku ya maonesho ya chakula Iliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya International Schools Tanganyika. Akielezea madhumuni ya kuandaa siku hiyo Mkurugenzi wa Mauzo wa Hotel za Double Tree By Hilton Tanzania Bwana Florenso Kirambata alisema kuwa nia yao kubwa ni kuweza kuyapa fursa makampuni mbali mbali na wajasiriamali wadogo wadogo kuweza kuonyesha uwezo wao na bidhaa wanazotengeneza.
Bw. Florenso akaongeza kuwa zaidi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s72-c/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
RC ARUSHA MRISHO GAMGO ASEMA HOTELI ALIYOPATIKANA MGONJWA WA CORONA IMEIFUNGA, WALIOPO HOTELI WOTE HAKUNA KUTOKA WALA KUINGIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s400/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
MKUU wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.
Akizungumza leo Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo...
5 years ago
Engadget16 Mar
NASA warns Moon base plans might slip by a year
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Keissy wa CCM atoa ‘salary slip’ mkutano wa ACT-Wazalendo
5 years ago
FXStreet23 Mar
Australian stocks slip to 8-year low as S&P 500 futures hit limit down
9 years ago
Vijimambo15 Sep
ARRIVAL TREE
![](https://fbcdn-photos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfl1/v/t1.0-0/s480x480/11998837_652902318180567_6243063648058551440_n.jpg?oh=7c7d90e6914ad6bf49714b208f8bdefc&oe=56677DA8&__gda__=1449777845_ede4073120cca54b7e2797be914b3901)
Hapa ni kwenye uwanja wa ndege wa Kismayo nchini Somalia. Badala ya chumba maalum cha wageni wanaowasili, uwanja huu una mti ambao wageni waliowasili wanapumzika kabla ya kwenda makwao au hotelini. Unaitwa "mti wa wanaowasili" --"Arrival tree".
10 years ago
IPPmedia21 Dec
Christmas not quite complete without the tree, but...
IPPmedia
There is nothing like Merry Christmas without green grace. It is three days down the line to reach Christmas Day. Nearly everywhere: at churches, shopping malls, restaurants, hotels, telecommunication companies, bars, school receptions people get busy ...