Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hotuba ya Dk Shein yakuna wanaharakati

WANAHARAKATI wanaopambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia Zanzibar wameipongeza hotuba ya Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ya kuvitaka vyombo vya sheria kupambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Hotuba ya JK yakuna wengi

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza mkutano wa chama hicho mjini Dodoma.KAULI nzito na thabiti ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete katika hotuba yake ya ufunguzi wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho, juzi imewagusa wengi na kusifu huku wakisema imejaa busara, hekima na ukomavu wa hali ya juu wa kioungozi.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaharakati wamuomba Dk Shein atete na wanaCUF

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed SheinWANAHARAKATI wamemuomba Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, kwa nafasi yake ya Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa, kuzungumza na wajumbe wa Bunge hilo ambao ni wabunge na wawakilishi kutoka CUF, kurudi katika vikao vya bunge hilo vinavyoendelea Dodoma.

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba ya Rais, Dk Shein kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi

Viongozi wa juu wa kitaifa wakiongozwa na Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein, wakishuhudia gwaride likipita mbele ya jukwaa kuu
Mheshimiwa Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;

Mheshimiwa Dk. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;

Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;

Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar;

Mheshimiwa Balozi...

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Dr Ali Mohamed Shein kukubali kuwa mgombea wa CCM 2015

Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe Dk Ali Mohamed Shein akihutubia wajumbe wa mkutano mkuu wa ccm 2015 huko Dodoma wakati akikubali ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015

 

10 years ago

Michuzi

UVCCM ZANZIBAR WAFANYA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO KUUNGA MKONO HOTUBA YA DKT.SHEIN

Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka akiwahutubia mamia ya vijana baada ya kupokea matembezi ya mshikamano na kufanya mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya Magogoni Kwa Mabata mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kupongeza hotuba ya Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibr Dr. Ali Mohamed Shein aliyoitoa tarehe 12/1/2015 katika viwanja vya Amani mjini Zanzibar.

 Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mjini...

 

10 years ago

GPL

UVCCM ZANZIBAR WAFANYA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO KUUNGA MKONO HOTUBA YA DR.SHEIN‏

Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka akiwahutubia mamia ya vijana baada ya kupokea matembezi ya mshikamano na kufanya mkutano wa hadhara kwenye vianja vya Magogoni Kwa Mabata mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kupongeza hotuba ya Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibr Dr. Ali Mohamed Shein aliyoitoa tarehe 12/1/2015 katika viwanja vya Amani mjini Zanzibar.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

Vijana wa CCM Zanzibar Waunga mkono hotuba ya Rais wa Zanzibar Dk Shein

Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka akiwahutubia mamia ya vijana baada ya kupokea matembezi ya mshikamano na kufanya mkutano wa hadhara kwenye vianja vya Magogoni Kwa Mabata mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kupongeza hotuba ya Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibr Dr. Ali Mohamed Shein aliyoitoa tarehe 12/1/2015 katika viwanja vya Amani mjini Zanzibar.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-ZANZIBAR) Umati wa vijana ukiwa kwenye mkutano huo uliofanyika kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati Kuu CCM yakuna kichwa kuikabili Ukawa

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakina haja wala mpango wa kuzungumza na wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), waliosusia Bunge la Katiba, badala yake watashughulika nao mitaani kwa kujibu mapigo yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani