Hotuba ya Dk Shein yakuna wanaharakati
WANAHARAKATI wanaopambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia Zanzibar wameipongeza hotuba ya Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ya kuvitaka vyombo vya sheria kupambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 May
Hotuba ya JK yakuna wengi
KAULI nzito na thabiti ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete katika hotuba yake ya ufunguzi wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho, juzi imewagusa wengi na kusifu huku wakisema imejaa busara, hekima na ukomavu wa hali ya juu wa kioungozi.
11 years ago
Habarileo07 Aug
Wanaharakati wamuomba Dk Shein atete na wanaCUF
WANAHARAKATI wamemuomba Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, kwa nafasi yake ya Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa, kuzungumza na wajumbe wa Bunge hilo ambao ni wabunge na wawakilishi kutoka CUF, kurudi katika vikao vya bunge hilo vinavyoendelea Dodoma.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uFaMLR2rPes/VLPfcdW0O7I/AAAAAAAAPDg/VzvItL9UAz0/s72-c/IMG_8764.jpg)
Hotuba ya Rais, Dk Shein kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-uFaMLR2rPes/VLPfcdW0O7I/AAAAAAAAPDg/VzvItL9UAz0/s640/IMG_8764.jpg)
Mheshimiwa Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Dk. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar;
Mheshimiwa Balozi...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-GHuJ49ThJlg/VaJz7oKCJHI/AAAAAAAAI48/Z3j9Q4tX-4Y/s72-c/Dr%2BShein%2Buchaguzi.png)
Hotuba Ya Dr Ali Mohamed Shein kukubali kuwa mgombea wa CCM 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-GHuJ49ThJlg/VaJz7oKCJHI/AAAAAAAAI48/Z3j9Q4tX-4Y/s640/Dr%2BShein%2Buchaguzi.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Op05Qh2R9EA/VMAJDe3au1I/AAAAAAACyLE/ra-DbxDu7TU/s72-c/5.jpg)
UVCCM ZANZIBAR WAFANYA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO KUUNGA MKONO HOTUBA YA DKT.SHEIN
![](http://2.bp.blogspot.com/-Op05Qh2R9EA/VMAJDe3au1I/AAAAAAACyLE/ra-DbxDu7TU/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O5WqITaaS1Q/VMAJfVqqUeI/AAAAAAACyLM/pinim0hcC1o/s1600/2.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mjini...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/137.jpg)
UVCCM ZANZIBAR WAFANYA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO KUUNGA MKONO HOTUBA YA DR.SHEIN
10 years ago
Vijimambo22 Jan
Vijana wa CCM Zanzibar Waunga mkono hotuba ya Rais wa Zanzibar Dk Shein
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/137.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/410.jpg)
11 years ago
Mwananchi07 May
Kamati Kuu CCM yakuna kichwa kuikabili Ukawa