HUAWEI WANOGESHA BONANZA LA WAFANYAKAZI WA MABENKI MKOANI MBEYA
Meneja Masoko wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Lydia Wangari akizungumza na waandishi wa habari jana katika Viwanja vya Chuo Kikuu cha TEKU mara baada ya kuzindua bonanza la wafanyakazi wa mabenki lililoandaliwa na Real Brand Solutions Ltd na kudhaminiwa na Huawei. Baadhi ya wafanyakazi wa mabenki mkoani Mbeya wakipata huduma katika vibanda vya Huawei.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA MABENKI MKOANI KILIMANJARO WATOANA JASHO KATIKA BONANZA LA BANKERS DAY 2014.
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Taswira ya Bonanza la wafanyakazi wa kiwanda cha Tumbaku mkoani Morogoro
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Nahreel, Haika wanogesha bonanza la uzazi wa mpango
NA MSHAMU NGOJWIKE
WASANII wa kizazi kipya hapa nchini wanaounda kundi la Navy Kenzo, Nahreel na Haika, juzi walipagawisha mashabiki katika bonanza la kuhamasisha upatikanaji wa huduma za uzazi wa mpango Wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam.
Mbali na wasanii hao, wasanii wengine ambao walikuwa kivutio kwa mashabiki ni pamoja na Mwasiti, Barnaba na kundi la vichekesho la ‘Vituko Show’ ambapo bonanza hilo lilifanyika kwenye viwanja vya Mwembe Yanga, Temeke, likisimamiwa na ‘Marie Stopes...
10 years ago
MichuziEngen Tanzania yawakutanisha wafanyakazi wake pamoja katika Bonanza la Kumaliza Mwaka
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S8c2yYzKR48/U_rrjYM-Y5I/AAAAAAACK2c/qdoAXnmQFgA/s72-c/NAZI.jpg)
TOYOTA YAFANYA BONANZA MAALUMU LA KUWAPONGEZA WAFANYAKAZI WAKE, WANAUME WACHUANA KUKUNA NAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-S8c2yYzKR48/U_rrjYM-Y5I/AAAAAAACK2c/qdoAXnmQFgA/s1600/NAZI.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wkaD7ji_LgE/U_rroXeuzJI/AAAAAAACK2k/rPVb8OXNYx4/s1600/NAZI2.jpg)
11 years ago
GPLBONANZA LA MICHEZO LA VIJANA LAFANYIKA JIJINI MBEYA
5 years ago
MichuziKAMANDA WA POLISI MKOANI MBEYA AFANYA UKAGUZI WA KUSHTUKIZA STENDI KUU YA MABASI MBEYA.
Katika ukaguzi huo alikuta Mabasi matatu ya abiria yenye namba za...
10 years ago
Michuzi25 Aug
MBEYA YETU BLOG WAANZA KUTEMBELEA NA KUTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII MKOANI MBEYA , WAKIANZIA NA KIJUNGU
Safari hiyo ambayo moja kwa moja ilianzia Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Rungwe-Tukuyu kwenda kujionea...
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Mbeya yetu Blog waanza kutembelea na kutangaza vivutio vya kitalii mkoani Mbeya, wakianzia na Kijungu
Baada ya kuona kuwa kuna maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii muhimu na ambavyo vimesahaulika kwa njia moja au nyengine na pengine hakuna pa kuvitangaza ili watanzania na Dunia kwa ujumla wapate kuvifahamu kwa ukaribu , Tone Multimedia Group kupitia mtandao wake wa Mbeya yetu Blog wameamua kuanza rasmi kuvitembelea na kutangaza kwa Jamii kwa ujumla wapate kuvifahamu ili nao waje kuvitembelea.
Safari hiyo ambayo moja kwa moja ilianzia Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Rungwe-Tukuyu kwenda...