Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


“Huduma za afya zahanati zimeboreshwa’

SERIKALI imesema imeimarisha huduma za afya hadi ngazi za zahanati, ili kuokoa vifo visivyo vya lazima. Pia imeweka mikakati ya kuhakikisha mtoto, hususani wa kike anapata haki za msingi ikiwemo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Zahanati pasua kichwa Njombe yazinduliwa,yaanza kutoa huduma

Na Amiri kilagalila,Njombe


Wakazi wa mitaa ya Sido na Buguruni halmashauri ya mji wa Njombe wameshindwa kuzuia hisia zao baada ya kukamilika ujenzi na kuzinduliwa kwa zahanati ya mitaa hiyo ambayo ujenzi ujenzi wake umesuasua kwa zaidi ya miaka 9.

Ujenzi huo ulioghalimu zaidi ya Mil 110 umechukua muda mrefu kukamilika kutokana na sababu mbalimbali matumizi mabaya ya fedha za ujenzi huku pia tofauti za kiitikadi zikitajwa kuwa kikwazo kikubwa katika eneo hilo.

Baadhi ya akina mama...

 

9 years ago

StarTV

Sera Ya Afya Kutotungiwa Sheria yasababisha  Wazee nchini wakosa huduma bora za afya

Kukosekana kwa huduma bora katika sekta ya afya inayowatambua wazee kupata matibabu bora na bure kunatokana na sera ya wazee kutotungiwa sheria tangu mwaka 2003 inayotoa muongozo kwa watendaji wa Serikali na taasisi mbalimbali kuwahudumia.

Licha ya sera hiyo kutoa mwongozo kwa kila zahanati, kituo cha afya na hospitali za wilaya na mkoa kuwa na chumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee ikiwemo daktari anayetambua magonjwa yao lakini bado sera hiyo haitekelezwi.

 Naibu Mkurugenzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAZINDUA MUONGOZO WA MPANGO HUDUMA ZA AFYA KATIKA JAMII PAMOJA NA MATUMIZI YA DASHBODI YA VIASHIRIA YA AFYA

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akisoma maelezo baada ya kuzindua Muongozo wa Mpango wa Watoa huduma ya Afya ya Jamii, Dar es Salaam jana. Wizara ya Afya imezindua muongozo huwa ikiwa ni muendelezo wa kuendelea kutoa kipaumbele katika kuimarisha huduma za kinga, ikiwemo elimu ya afya na uhamasishaji, lishe, udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza kama Ukimwi na afya ya mama na mtoto.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ukosefu wa huduma za afya za kisasa na uhakika zadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania kufuata huduma hiyo nje ya nchi

CEOsir PIC01

. Ukosefu wa huduma za afya za uhakika na za kisasa zinadaiwa  kuwa sababu kubwa ya watanzania  wengi kufuata huduma hizo nchi za nje.

Hospitali ya Apollo ilikuwa moja ya hospitali za mwanzo kabisa katika bara la Asia, na duniani kwa ujumla kuleta huduma zote za kiafya chini ya paa moja. Na kwa wakati huu, mpango huo kabambe umeifanya hospitali hiyo kufanikiwa katika Nyanja zote za matibabu.

Dr. Prathap C Reddy, muasisi wa huduma za kiafya za kisasa nchini india, alianzisha hospitali ya...

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AZINDUA KITUO CHA AFYA WILAYA YA KITETO, AWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe.Selemani Jafo akizindua Kituo cha Afya Sunya, kilichopo wilayani Kiteto Mkoani Manyara.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe.Selemani Jafo akipiga makofi baada ya kuzindua Kituo cha Afya Sunya, kilichopo wilayani Kiteto Mkoani Manyara.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe.Selemani Jafo akiongea na watumishi Kituo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Huduma za mifuko ya Afya TZ

Changamoto na mafanikio ya huduma za mifuko ya afya na jinsi gani inaweza kukusaidia kupata huduma bora kwenye eneo lako.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

JK azindua huduma ya afya mtandao


NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
RAIS Jakaya Kikwete  amezindua mradi mpya wa huduma  ya afya kwa njia ya mtandao (Telemedicine) katika kituo cha afya  cha Mwaya, wilayani Ulanga.
Mradi huo ni moja ya utekelezaji wa sera ya afya ya mwaka 2007 na una lengo la kuboresha huduma za afya vijijini ili kupunguza vifo vya watoto wenye umri chini ya imaka mitano na wajawazito.
Rais alisema huduma hizo zitasaidia kutatua matatizo yaliyoshindikana katika zahanati na kwamba watahakikisha huduam zote muhimu...

 

5 years ago

Michuzi

ARUMERU YAIMARISHA HUDUMA ZA AFYA

Na Woinde Shizza ,ARUMERU
Kanisa la Pentecoste Ngulelo linaloongozwa na Mwalimu Onesmo Nnko limekabidhi vifaa vya afya vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 9 kwa Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mahusiano baina ya kanisa na Serikali.
Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo ambavyo vimetolewa kutokona na sadaka za waumini wa kanisa la Pentecoste Arusha Jana , kiongozi wa kanisa hilo mwalimu Onesmo Nnko amesema wao kama kanisa wana kila sababu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani