Humud amtega Logarusic
Kiungo mkabaji wa Simba, Abdullahim Humud amesema kuwa ipo siku ataaminika na kukubalika na kupewa nafasi kwenye kikosi cha kwanza Mcroatia, Zdravko Logarusic.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhcA044nBTvvNtqfk7gOM*2MbyzdHLv26c0R8fTY*MwIpbbmlyHUk9zPY8gnFEcPmaIoVImoBxL00huUbu3K5NF1/pluijm1.jpg?width=650)
Hans Pluijm amtaka Humud Yanga
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Sweetbert Lukonge Dar es Salaam KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amedaiwa kulipendekeza jina na kiungo wa Coastal Union ya Tanga, Abdulhalim Humud katika orodha ya wachezaji anaohitaji kuwasajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Pluijm anamhitaji mchezaji huyo ili aweze kuimarisha safu yake ya kiungo ambayo bado haijakaa sawa kama yeye anavyohitaji iwe. Kpah Sherman...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Maalim Seif amtega JK
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wanaweza kurudi bungeni iwapo Rais Jakaya Kikwete atawahakikishia kuwa...
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Kocha Yanga amtega Kamara
Dar es Salaam. Kiungo mpya wa Yanga, Msierra Leone Lansana Kamara amepewa mtihani mwingine na kocha Hans Pluijm akitakiwa kuhakikisha anajua kupiga mashuti ili kusajiliwa.
11 years ago
TheCitizen14 Mar
Logarusic speaks out on departure
Simba SC head coach Zdravko Logarusic has confirmed that he will not extend his stay at the Msimbazi Street giants at the end of the Vodacom Premier League season.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Logarusic ampumzisha Mapunda
Kocha wa Simba, Zdravco Logarusic amesisitiza kwamba Ivo Mapunda bado ni chaguo lake la kwanza, ila aliamua tu kumpumzisha katika mechi ya Ligi Kuu bara dhidi ya Mbeya City.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xEh6B1KdSWSyni*XgmxgOuy*BOg7Z7dYc6xBVyXcozVtntfjTYlFC4YrpIvsEsbLgHEOu0vfGC*5tFGCyD9wI-axWWuzDGqZ/loga.jpg)
Logarusic aja na mabao...
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Wilbert Molandi
KATIKA kuhakikisha timu yake inafunga mabao mengi katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amekuja na mbinu mpya kwenye kikosi chake.Kocha huyo ambaye raia wa Croatia, alianza kutoa mbinu hizo juzi Alhamisi kwenye mazoezi yake yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Ununio, Boko jijini Dar es Salaam. Kwenye mazoezi hayo, kocha huyo aliwapa...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Rage amtetea Logarusic
Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amesema kocha wa timu hiyo, Zdravko Logarusic aliwasaidia wachezaji wake kupata mabao mawili ingawa hayakusaidia kuepuka kipigo cha mabao 3-2 kutoka kwa JKT Ruvu katika mechi iliyochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0YkijisTCADN9MNGzPuUlVmLnGZ-GL82yDRNLvtp7DT8vHo39ZSBUVG-3S1GQ9nmGqguQZ5cf63MfUYVnMq2RdoJ/tff.jpg?width=650)
TFF yamshtaki Logarusic
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Sweetbert Lukonge
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeiagiza Bodi ya Ligi Kuu Bara kumshughulikia Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic kutokana na tabia yake ya kukataa kuzungumza na waandishi wa habari mara baada ya mechi za timu yake. Katika siku za hivi karibuni, Logarusic amekuwa akikataa kuingia katika chumba maalum cha mahojiano na waandishi wa habari kama ambavyo taratibu...
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Kibadeni amfunika Logarusic
Kocha Mkuu wa Simba, Zdavko Logarusic ‘Loga’ ametimiza mechi 10 za Ligi Kuu Bara akiwa amekusanya pointi 12 lakini amezidiwa na Abdalah Kibadeni, ambaye aliinoa na timu hiyo kwenye mzunguko wa kwanza kwani alikusanya pointi 20 katika idadi hiyo ya mechi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania