Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HURUMA MHAPA: BIOGESI IMEONGEZA UPENDO NDANI YA NYUMBA

Mfugaji na mkulima wa kijiji cha Ibumila kata ya Kichiwa wilayani Njombe Huruma Mhapa (kulia) akielezea namna alivyo nufaika na matumizi ya biogesi kwa kutumia samadi alipotembelewa na kamati ya uhamasishaji wa matumizi ya biogesi (NBSC) pamoja wataalum kutoka Programu ya uenezi wa mitambo ya biogesi ngazi ya kaya (TDBP). Maadhimisho biogesi kitaifa yalifanyika katika Kitongoji cha Lunyunyu, Halmashauri ya Mji Njombe mkoani Njombe jana. (Picha na Friday Simbaya)Mratibu wa Program ya Biogesi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UPENDO NKONE AKITOA MATUMAINI NDANI YA UWANJA WA TAIFA

Mwimbaji wa Injili, Upendo Nkone akiwapa matumaini wananchi waliohudhuria Usiku wa Matumaini muda huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar. Upendo Nkone akiwapa burudani wapenzi wa Gospel ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Night Of Hope 2014: Upendo Nkone akitoa matumaini ndani ya uwanja wa Taifa Dar

UPENDONKONE

Mwimbaji wa Injili, Upendo Nkone akiwapa matumaini wananchi waliohudhuria Usiku wa Matumaini muda huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.

Upendo Nkone akiwapa burudani wapenzi wa Gospel ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.

Umati wa watu ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.

Nkone akizidi kufanya yake pamoja na vijana wake.

Baadhi ya wanahabari na wadau wakifuatilia tamasha hilo.

 

10 years ago

Michuzi

MWANAMUZIKI RAPPA MAHIRI KUTOKA NCHINI MAREKANI T.I KUSAMBAZA UPENDO NDANI YA TAMASHA LA FIESTA OKTOBA 18,2014 JIJINI DAR

  Mmoja wa Marappa mahiri kutoka nchini  Marekani atambulikae kwa jina la Clifford Joseph Harris,'T.I' ni mmoja wa wanamuziki watakaoangusha bonge la shoo la kusambaza upendo kwa wakazi wa jiji la Dar na vitongoji vyake,katika onesho la Fiesta 2014 linalotarajiwa kufanyika ndani ya Viwanja vya Leaders Club   jijini Dar es Salaam Oktoba...

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA DODOMA WASAMBAZA UPENDO WA KUTOSHA NDANI YA TAMASHA LA FIESTA MKOANI DODOMA

Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT,Rachael akitumbuiza jukwaani pamoja na mcheza shoo wake mbele ya mashabiki wa tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika ndani ya uwanja wa Jamhuri,mkoani Dodoma usiku wa kumkia leo.
Pichani ni kulia ni Msanii wa bongofleva AbdulKiba akiimba sambamba na kaka yake Alli Kiba ambaye amekuwa akifanya vyema katika anga ya muziki wa kizazi kipya kupitia nyimbo zake mbili alizoziachai hivi karibuni,ikiwemo MwanaDaisalama na Kimasomaso,Mkali mwingine wa muziki wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Serikali ya JK imeongeza umasikini

lowassa-1NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MGOMBEA urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ameanza kuishambulia Serikali ya awamu ya nne kwa kushindwa kuinua uchumi.

Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi waliofurika Makao Makuu ya Chadema, muda mfupi baada ya kutoka kuchukua fomu ya uteuzi katika ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Lowassa alisema Rais Jakaya Kikwete, aliyemuita rafiki yake,...

 

5 years ago

Michuzi

STEPHEN MHAPA NA VENY MUYINGA KUCHULIWA FOMU NA WANANCHI KUGOMBEA JIMBO LA KALENGA

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa Stephen Mhapa akiwa anatekeleza majukumu yake akiwa kwenye baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Iringa ( PICHA KUTOKA MAKTABA) Diwani wa kata ya Maboga Veny Muyinga akiongea waandiahi wa habari kuhusiana na maendeleo y kata hivyo.(PICHA KUTOKA MAKTABA)Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa Stephen Mhapa akifurahia jambo na wananchi wa jimbo la kalenga
Na Fredy Mgunda, IringaWANANCHI wa jimbo la kalenga mkoani Iringa wamewataka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Operesheni Tokomeza Ujangili imeongeza idadi ya walemavu

OPERESHENI Tokomeza Ujangili iliyoendeshwa kinyama, imesababisha ulemavu kwa baadhi ya wananchi. Ilikuwa ikiendeshwa na askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), polisi...

 

11 years ago

GPL

MIPAKA YA HAUSIGELI NDANI YA NYUMBA

TUKO ndani ya kumalizia Sikukuu ya Pasaka,  lakini moyo wangu utakuwa safi kama sikukuu hii itapita huku nikiwa nimetoa la moyoni kuhusu maisha ya wanandoa wa siku hizi. Ninaposema wanandoa namaanisha watu wawili wa jinsi tofauti wanaoishi kama mume na mke ndani ya nyumba moja. Katika miaka ya hivi karibuni, kimjinimjini familia nyingi zinazojiweza zimekuwa zikiajiri wasichana wa kazi (mahausigeli) kwa ajili ya kuwasaidia...

 

11 years ago

GPL

MIPAKA YA HAUSIGELI NDANI YA NYUMBA -2

TUKO ndani ya kumalizia Sikukuu ya Pasaka,  lakini moyo wangu utakuwa safi kama sikukuu hii itapita huku nikiwa nimetoa la moyoni kuhusu maisha ya wanandoa wa siku hizi. Ninaposema wanandoa namaanisha watu wawili wa jinsi tofauti wanaoishi kama mume na mke ndani ya nyumba moja. Katika miaka ya hivi karibuni, kimjinimjini familia nyingi zinazojiweza zimekuwa zikiajiri wasichana wa kazi (mahausigeli) kwa ajili ya kuwasaidia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani