Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUU MOTO WA 93.7 EFM NI AKINA NANI WALIOKO JIKONI?

 DENNIS SSEBO NA  ADELLA TILLYA. 1.     12:00 HADI SAA 3:00 KAMILI ASUBUHI UNAPATA
" JOTO LA ASUBUHI" ILI KUKUANZISHIA SIKU
DENNIS SSEBO  NI NANI?

Ssebo  ni moto ama baruti ya kipekee katika masuala ya Radio, akiwa ni muhitimu wa mambo ya sheria na ana  shahada ya udhamiri katika mambo ya mawasiliano ya Umma lakini akiwa na ufahamu  na mapenzi zaidi  upande wa Radio na TV.

Ssebo amekuwa kwenye Tasnia hii kwa muda mrefu akiwa na uzoefu wa kufanya kazi Zaidi  Radio na Tv kwa muda wa miaka 15,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Nani na nani kuibuka mshindi wa tuzo za Watu usiku huu leo Mei 22!!

TUZO-ZA-WATU-Logo-black-background

Baada ya wiki kadhaa za mpambano mkali wa kura za tuzo za watu, leo ndio fainali.

Majina matatu yanashindania tuzo kwenye vipengele 13 vya mwaka huu. Majina hayo yameingia baada ya kuvuka michujo miwili migumu. Ni kura za mashabiki peke yake ndio ziliwaingiza kwenye fainali hiyo na mshindi atapatikana kwa kura za wananchi, hakuna kingine.

Washereheshaji kwenye fainali hizo ni Vj Penny na mchekeshaji Dogo Pepe huku muimbaji wa kike anayechipukia kwa kasi Ruby akitarajiwa kutumbuiza.

“Watu...

 

10 years ago

Mwananchi

Ni nani aonyeshe uzalendo huu wa Dk Njoroge

Waswahili husema, baniani mbaya, kiatu chake dawa. Usemi huu unafaa kutumika kuzungumzia watu wawili ambao wote ni viongozi waandamizi wa sekta tofauti nchini Kenya

 

9 years ago

Michuzi

EFM NA BENKI YA DTB KUFANYA USAFI DESEMA 9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM

 Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa Efm Radio, Denis Ssebo akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya wasanii zaidi ya 50 wa Bongo Movie akiwamo Steve Nyerere, Wema Sepetu na Vicent Kigosi (Rey) wataungana na kituo cha redio cha EFM na Benki ya DTB kufanya usafi Desema 9 mwaka huu. Usafi huo utaanzia katika barabara ya Morocco hadi Magomeni, mkutano huo umefanyika leo jijini Dar es Salaam, kushoto ni Mkuu wa Bidhaa na Masoko wa benki ya Diamond Trust Bank (DTB), Sylvester...

 

11 years ago

Mwananchi

Nani atazima moto wa Lowassa CCM

>Nguvu ya makundi ya watu wanaotajwa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinaendelea kukitikisa chama hicho huku makada wake wakitoa angalizo wakiutaka uongozi wa juu wa kuchukua hatua haraka  za kinidhamu kwa wahusika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je, ungependa nani atunukiwe tuzo ya Nobel mwaka huu?

Mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel mwaka huu anatarajiwa kutajwa siku ya Ijumaa asubuhi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ni kina nani walio katika hatari ya kupaya ugonjwa huu?

Kwa sasa kukisiwa kwamba uwezekano wa Coronavirus kusababisha kifo ni asilimia sio kwa kila mmoja

 

5 years ago

BBCSwahili

Cristiano Ronaldo na Lionel Messi: Ni nani atakayewarithi nyota wa mchezo wa kandanda duniani muongo huu?

Huku tukielekea katika muongo mpya, BBC Sport anauliza ni nani atakayechukua mahal pao Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kama viongozi wa soka duniani?

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA UHURU PARTY -DECEMBER 6 -WASHINGTON DC-DINNER & LIVE SHOW-JE NANI KUWASHA MOTO??-TEGA SIKIO

Party ya Uhuru Ya Aina Yake, Red Carpet,Live Show Kutoka Kwa Msanii # 1 Africa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani