Nani atazima moto wa Lowassa CCM
>Nguvu ya makundi ya watu wanaotajwa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinaendelea kukitikisa chama hicho huku makada wake wakitoa angalizo wakiutaka uongozi wa juu wa kuchukua hatua haraka za kinidhamu kwa wahusika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Ni nani msaliti wa CCM kati ya waasisi wa CCJ na Lowassa
MALUMBANO hayajengi. Fitna na siasa chafu dahari ni sumu katika utendaji ndani ya serikali na chama chochote kinachoongoza dola. Fitna na malumbano ni sawa na kichaa anayemcheka na kumdhihaki kichaa...
10 years ago
Vijimambo25 Mar
Moto wa Lowassa sasa watikisa CCM. Nape aibuka, ataka asikaribishe makundi kumshawishi urais.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-25March2015.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari waliopo katika msafara wa Katibu Mkuu wa CCM waliotaka ufafanuzi kuhusu hali hiyo, Katibu wa Halmashauri Kuu (Nec), Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema matendo yanayoendelea kufanywa na Lowassa, ambaye ni Mbunge wa Monduli ni...
10 years ago
Mwananchi21 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XGhEvNNDF5A/VVGX4ZkiB6I/AAAAAAAHWyM/1HSEWLlNTAY/s72-c/dd.jpg)
HUU MOTO WA 93.7 EFM NI AKINA NANI WALIOKO JIKONI?
![](http://3.bp.blogspot.com/-XGhEvNNDF5A/VVGX4ZkiB6I/AAAAAAAHWyM/1HSEWLlNTAY/s640/dd.jpg)
" JOTO LA ASUBUHI" ILI KUKUANZISHIA SIKU
DENNIS SSEBO NI NANI?Ssebo ni moto ama baruti ya kipekee katika masuala ya Radio, akiwa ni muhitimu wa mambo ya sheria na ana shahada ya udhamiri katika mambo ya mawasiliano ya Umma lakini akiwa na ufahamu na mapenzi zaidi upande wa Radio na TV. Ssebo amekuwa kwenye Tasnia hii kwa muda mrefu akiwa na uzoefu wa kufanya kazi Zaidi Radio na Tv kwa muda wa miaka 15,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiI9X3*RMNbmXOCCe5spK6-mfxcfSQdnf1KRX46MpBD3j*d5bogydkXsaA8ZWxkNw4pyGoQEbLGd14SQ-Midx53j/frontpage.gif?width=650)
LOWASSA VS MEMBE NANI MBABE?
Na Erick Evarist
Zikiwa zimebaki siku 218 kufikia Oktoba 20, siku ya uchaguzi mkuu wa Rais na Wabunge ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), mgombea wa urais kupitia chama hicho bado ni kitendawili. Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Ngoyai Lowassa. Kitendo cha CCM kuchelewesha kupiga kipyenga cha kuanza kwa mbio hizo, kimepandisha homa kali ya uchaguzi miongoni wa Watanania, huku kambi za waonesha nia mbalimbali zikiendelea...
10 years ago
Dewji Blog20 Jan
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg21gQY5rdKpJEFKcSO3OEJMXi7XIOUv8HzlGiv1aZF8FMm-KrsgUkLikm2GYZGjIBEpnrzLvSfkaWl0SriJhOs*/1UCHAGUZI.jpg?width=650)
NANI NI NANI CCM (2)
WIKI iliyopita tulizungumzia kuhusu namna mambo yanavyokwenda ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) hasa wakati huu nchi inapojiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani hapo mwakani. Hii ni sehemu ya pili na ya mwisho ya makala mafupi juu ya kinachoonekana kuendelea ndani ya chama hicho tawala. Niliongelea kuhusu ukosefu wa nidhamu ndani ya chama, kwamba kila mwenye kupata nafasi ya kusema, anazungumza...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Magufuli, Lowassa nani atatufaa kwa siasa za nje?
“Msifanye mabadiliko kwa pupa kama watu wa Libya. Walimuondoa madarakani rais Saddam, hapana rais Gaddafi maana Saddam alikuwa rais wa Kuwait!!â€.Sikuamini masikio yangu kwamba haya ni maneno yaliyotoka kinywani mwa mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania