I quarrelled with Kanumba: Lulu
A local actress, Ms Elizabeth Michael aka Lulu, yesterday confessed to have quarrelled with star actor Steven Kanumba but she denied to have caused his death.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt61-pyrSXO-ByrzVCj*-oit2TFzwppu1-PQaEcy8p2fNQHw4q73bNfDwkY0DrtE*5wggz-NkQ5FDmvmDvBwXs29Z/lulu.jpg?width=650)
LULU: SITESWI NA KANUMBA
Stori: Mayasa Mariwata ELIZABETH Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kwa sasa hateswi na kumbukumbu ya tukio la marehemu Steven Kanumba kama ilivyokuwa zamani. Elizabeth Michael ‘Lulu’. Alipobanwa kuhusu kusumbuliwa na Kanumba aliyekuwa mpenzi wake, Lulu alisema:
“Imeshapita muda mrefu sasa, kama binadamu namkumbuka lakini siyo kama kipindi kile, ilikuwa picha ikinirudia mara kwa mara, hata hivyo...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Lulu akana kumuua Kanumba
MSANII maarufu wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amekana shitaka linalomkabili la kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Kanumba, aliyefariki dunia alfajiri ya Aprili 7, mwaka 2012. Licha ya kukana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOSIXJvj5H4awSirJbbY9CG9LhpgZkLPnzw0qwli5Kg*vGWu7w6JonV784oPGfYu-R2qxIFkCXlJdJJA-ML9ZkKt/lulu.jpg?width=650)
LULU AMSHANGAZA MAMA KANUMBA
Stori: Hamida Hassan na Imelda Mtema
MSANII wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’, mwanzoni mwa wiki hii alimshangaza (surprise) mama wa mpenzi wake wa zamani, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa wakati alipokuwa akisherehekea miaka 58 tokea alipozaliwa. Kumshangaza huko kumekuja baada ya Lulu kufika nyumbani kwa mama Kanumba, Kimara Temboni jijini Dar akiwa na bonge la keki, jambo ambalo mama huyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJPOROlwXLyzYp0Vd29lce34AVgzbIqNRLVZbllldMLTvSQdyFdosk5bVJy-N9U-vfGMd8Dja3NKDEcO77q7jt9/lulu.jpg?width=650)
LULU KIGUGUMIZI KANUMBA DAY
Na Mayasa Mariwata
STAA wa sinema za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema anapata wakati mgumu sana kufikiria kitu gani spesho atakachokifanya siku ya kumkumbuka aliyekuwa mwandani wake, marehemu Steven Kanumba Aprili 7, mwaka huu katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar. Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ Akipiga stori na paparazi wetu, Lulu alisema siku hiyo ni siku...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkibaidcqclwn0I2pZMATIaubA4iZ6oNAhmm8znFxh0pWEPVWCXY1511bGa-hGjUmS-zvQbEQg8dE2ilGJqaN6Z/Lulu.gif?width=650)
LULU BADO AMTESA MAMA KANUMBA
Gladness Mallya MAMA mzazi wa aliyekuwa staa wa filamu, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa, bado anateswa na Elizabeth Michael kufuatia maandishi yake kwenye mitandao ya kijamii katika siku ambayo ilikuwa ni kumbukumbu ya kifo cha mwanaye. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1JTxcRT
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YluAs88IJpYrCjR4v-wc09vIoQDj3N0qumcmxQU7o1b5*HrjjdjCNOdVmZI*GmMuYa5*MOAddR3aapW8vJpSHzh/lulu.gif?width=650)
LULU, MAMA KANUMBA WAPIGANA VIKUMBO
Mayasa Mariwata MAKUBWA! Mama wa aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa amejikuta kwenye simanzi nzito baada ya kukutana na mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye alikuwa mpenzi wa mwanaye kumpita bila kumsalimia.  ...Soma zaidi====>http://goo.gl/yGWP4w
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9c2LVsFPg1Tre2-yJ177fjMfVUMG17ZwRjvUsQ5aGWjhyZunIT1IVltBgQ4O0H316ZTP9387OmiWtUDUcGECKiK/FRONT.jpg?width=650)
LULU, MAMA KANUMBA WAFIKA PABAYA
WAANDISHI WETU HALI ni mbaya! Staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mama wa aliyekuwa nyota wa fani hiyo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa wamefikia pabaya baada ya mama huyo kumshushia Lulu maneno makali na ya shutuma, Amani lina taarifa. Staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Habari zilizojiri ndani ya chumba cha habari cha gazeti hili zinadai kuwa, mama Kanumba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPx5jvyg8qp681JRtHgXINf7LbPfS1yUK7UmNNICrpzPBfcLmo*dSSmbSBHZGC9-UgESKkD4fAnyyDAgKeHIQZmW/lulu.jpg?width=650)
LULU: KAMA SI KANUMBA YANGENIKUTA MAZITO
Na Waandishi Wetu
SURA ya mauzo katika sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ ametoa ya moyoni kuwa kama siyo kuwekwa nyuma ya nondo za Mahabusu ya Segerea, Dar basi yangemkuta mazito. Lulu alikaa Gereza la Segerea kwa takribani miezi kumi baada ya kutokea kifo cha aliyekuwa mwandani wake, marehemu Steven Kanumba ‘The Great’ aliyefariki dunia Aprili 7, 2012.
Nyota huyo wa Filamu ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5NWu4P4n3xZ*6hoTJE3VTnbOf*aRuu*1fLuVcVnJUjXPjdV089i8hnlSuJBWfAIel0lAXDSSY0*33V4nYn-xzuX/MAMAWEMA.jpg)
MAMA KANUMBA, UNAONAJE UKIACHANA NA LULU?
NImiaka mitatu sasa tangu kufariki kwa Steven Kanumba, mmoja kati ya waigizaji mahiri waliojipatia mamia ya mashabiki kutokana na kazi zake nzuri. Kwa watu wake wa karibu, na pengine mashabiki wote, kifo chake kilikuwa ni cha ghafla na cha kushtua sana. Kwa tuliomfahamu kiasi, huu siyo tena wakati wa kurejea maisha yake, kwa sababu tulijua nini alitaka katika maisha yake ya uigizaji na kwa kiwango kikubwa, alielekea...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania