Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IAAF ilipanga njama kuficha wanariadha wadanganyifu

IAAF ilipanga kuchelewesha kutoboa majina ya wanariadhu wa Urusi waliokuwa wanatumia madawa ya kuongeza nguvu kabla ya mashindano ya riadha ya 2013

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

IAAF kuwachukulia hatua wanariadha 28

Shirikisho la riadha duniani IAAF limesema kuwa linachukua hatua kali dhidi ya wanariadha 28 walioshiriki katika michezo ya dunia ya mwaka 2005 na 2007 baada ya kukagua upya violezo vya mikojo yao na kupata matokeo mabaya.

 

10 years ago

Michuzi

Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake



Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.


Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.

Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kumbe CCM ilipanga mapema kuhujumu BMK!

OKTOBA 8 mwaka huu, baada ya kukabidhiwa Katiba mpya inayopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba (BMK) kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, Rais Jakaya Kikwete alifichua siri ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanachama wadanganyifu Teffa kukiona

Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (Taffa), kimetangaza kiama kwa wanachama wanaofanya udanganyifu wa kuwaibia wateja na Serikali kuwa mwisho wao umefika.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali kukabiliana na watumishi wadanganyifu

SERIKALI imesema haitasita kuwachukulia hatua watumishi wa halmashauri wanaofanya manunuzi kinyume cha bei zilizoko sokoni, hatua ambayo inachangia serikali kupata hasara. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi,...

 

5 years ago

CCM Blog

KILIMANJARO MARATHON YAWAONYA WADANGANYIFU

 Wakazi wa Dar es Salaam wakichukua namba za kukimbilia kwa ajili yam bio za KM 42 za Kilimanjaro Premium Lager na Km 21 za Tigo na kujiandikisha kwa mbio za Km 5 za Grand Malt katika viwanja vya Mlimani City mwishoni mwa wiki. Zoezi hilo litahamia Arusha kesho Jumanne na Jumatano.





 Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2020 wametoa onyo kalikwa washiriki wanaopanga kutumia njia za udanganyifu kushiriki mbio hizo kwa lengo la kujipatia medali na zawadi nyingine.

Taarifa...

 

10 years ago

GPL

MASTAA HODARI WA KUFICHA MIMBA

Hamida hassan
Kupata mimba ni jambo la heri na heshima kwa mwanamke. Mwanamke anaposhika mimba hujiona amekamilika lakini yule ambaye siku zinakwenda lakini kila akitega hanasi, hujisikia vibaya. Jennifer Kyaka 'Odama' akiwa na mwanaye. Hata hivyo, suala la ujauzito limekuwa likipokewa kwa hisia tofauti na mastaa wa Bongo. Wapo ambao wakipata mimba, dunia nzima itajua. Watajipiga picha na kuzitundika mtandaoni huku kila sehemu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Huu ni ukiritimba wa kuficha taarifa

TAARIFA kwamba kuna Watanzania 175 wanaoshikiliwa katika magereza tofauti China baada ya kukutwa na makosa mbalimbali yakiwamo ya biashara ya dawa za kulevya si nzuri kwa taifa letu. Waziri Mkuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani