IAAF ilipanga njama kuficha wanariadha wadanganyifu
IAAF ilipanga kuchelewesha kutoboa majina ya wanariadhu wa Urusi waliokuwa wanatumia madawa ya kuongeza nguvu kabla ya mashindano ya riadha ya 2013
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
IAAF kuwachukulia hatua wanariadha 28
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/KfHg6YGqxZ0/default.jpg)
Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake
Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.
![](https://3.bp.blogspot.com/-CwPhPjmqGpQ/VPQhIv6w8uI/AAAAAAAACDo/o9MyJVrPz6w/s640/kizito2.jpg)
Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.
Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Kumbe CCM ilipanga mapema kuhujumu BMK!
OKTOBA 8 mwaka huu, baada ya kukabidhiwa Katiba mpya inayopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba (BMK) kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, Rais Jakaya Kikwete alifichua siri ya...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Wanachama wadanganyifu Teffa kukiona
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Serikali kukabiliana na watumishi wadanganyifu
SERIKALI imesema haitasita kuwachukulia hatua watumishi wa halmashauri wanaofanya manunuzi kinyume cha bei zilizoko sokoni, hatua ambayo inachangia serikali kupata hasara. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi,...
5 years ago
CCM BlogKILIMANJARO MARATHON YAWAONYA WADANGANYIFU
Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2020 wametoa onyo kalikwa washiriki wanaopanga kutumia njia za udanganyifu kushiriki mbio hizo kwa lengo la kujipatia medali na zawadi nyingine.
Taarifa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiLReFOV2YALf9ab7jvq0EoZPbHjRBu0yDF6nXH1xaDy1ZXZX2FPq3CdNphw-ojWhyOm0r4IRG1NcDXn30jPyjgH/Mastaa.jpg?width=650)
MASTAA HODARI WA KUFICHA MIMBA
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Huu ni ukiritimba wa kuficha taarifa
TAARIFA kwamba kuna Watanzania 175 wanaoshikiliwa katika magereza tofauti China baada ya kukutwa na makosa mbalimbali yakiwamo ya biashara ya dawa za kulevya si nzuri kwa taifa letu. Waziri Mkuu...