Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanachama wadanganyifu Teffa kukiona

Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (Taffa), kimetangaza kiama kwa wanachama wanaofanya udanganyifu wa kuwaibia wateja na Serikali kuwa mwisho wao umefika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali kukabiliana na watumishi wadanganyifu

SERIKALI imesema haitasita kuwachukulia hatua watumishi wa halmashauri wanaofanya manunuzi kinyume cha bei zilizoko sokoni, hatua ambayo inachangia serikali kupata hasara. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi,...

 

5 years ago

CCM Blog

KILIMANJARO MARATHON YAWAONYA WADANGANYIFU

 Wakazi wa Dar es Salaam wakichukua namba za kukimbilia kwa ajili yam bio za KM 42 za Kilimanjaro Premium Lager na Km 21 za Tigo na kujiandikisha kwa mbio za Km 5 za Grand Malt katika viwanja vya Mlimani City mwishoni mwa wiki. Zoezi hilo litahamia Arusha kesho Jumanne na Jumatano.





 Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2020 wametoa onyo kalikwa washiriki wanaopanga kutumia njia za udanganyifu kushiriki mbio hizo kwa lengo la kujipatia medali na zawadi nyingine.

Taarifa...

 

9 years ago

BBCSwahili

IAAF ilipanga njama kuficha wanariadha wadanganyifu

IAAF ilipanga kuchelewesha kutoboa majina ya wanariadhu wa Urusi waliokuwa wanatumia madawa ya kuongeza nguvu kabla ya mashindano ya riadha ya 2013

 

10 years ago

Vijimambo

Wanachama wa Vikoba Wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kongamano la Wanachama wa Vikoba Arusha.

Maafisa kutoka Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya (NHIF)wakifuatilia kwa makini Kongamano la Vikoba lililofanyika katika ukumbi wa Olasiti garden na kudhaminiwa Mfukohuo.Kauli mbiu ya Kongamano hilo ni "Vikoba Chachu ya Maendeleo ya Kweli"Wanachama wa VIKOBA mkoa wa Arusha wakifuatilia kwa makini Kongamano la Vikoba lililofanyika katika ukumbi wa Olasiti garden na kudhaminiwa Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya (NHIF).Kauli mbiu ya Kongamano hilo ni "Vikoba Chachu ya Maendeleo ya Kweli".(Picha na...

 

9 years ago

Habarileo

Wanaozidisha uzito kukiona

WIZARA ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano inakusudia kuongeza adhabu ya tozo kwa magari yanayokamatwa yamezidisha mizigo na kusababisha barabara kuharibika. Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Edwin Ngonyani alisema hayo juzi wakati wa ziara yake kukagua miradi ya miundombinu ya barabara ya Magole –Turiani, wilayani Mvomero yenye urefu wa kilometa 48.6 pamoja na ujenzi wa mizani inayotembea katika barabara kuu eneo la Mikese , wilaya ya Morogoro.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK: Atakayechezea Muungano kukiona

RAIS Jakaya Kikwete ameonya kuwa mtu atakayechezea Muungano atakiona cha mtema kuni. Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana wakati akilihutubia taifa kwenye hafla ya kuwapongeza vijana wa Umoja wa Chama...

 

9 years ago

Habarileo

Wanaomchafua Zitto kukiona

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeliomba Jeshi la Polisi na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kufuatilia na kumchukulia hatua mtu aliyesambaza ujumbe katika mitandao ya kijamii, kuuchafua uislamu na kiongozi mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wezi wa maji kukiona

SERIKALI imeimarisha mapambano dhidi ya watu wanaotumia maji bila kufuata taratibu na sheria na kusababisha upungufu kwa watumiaji wengine na hasara kubwa ya mapato. Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya Wizara...

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe waongo kukiona

>Rasimu ya Kanuni za Uendeshaji wa Bunge la Katiba, zinawabana wajumbe wa bunge hilo na sasa atakayebainika kusema uongo anaweza kupewa adhabu ya kutokuhudhuria vikao visivyozidi vitatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani