Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaozidisha uzito kukiona

WIZARA ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano inakusudia kuongeza adhabu ya tozo kwa magari yanayokamatwa yamezidisha mizigo na kusababisha barabara kuharibika. Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Edwin Ngonyani alisema hayo juzi wakati wa ziara yake kukagua miradi ya miundombinu ya barabara ya Magole –Turiani, wilayani Mvomero yenye urefu wa kilometa 48.6 pamoja na ujenzi wa mizani inayotembea katika barabara kuu eneo la Mikese , wilaya ya Morogoro.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mzani wa Wim: Teknolojia ya kuwabana madereva wanaozidisha uzito

Kwa miaka mingi kumekuwa na mvutano mkubwa baina ya serikali na wasafirishaji juu ya matumizi sahihi ya barabara nchini.

 

11 years ago

GPL

SABABU 18 ZA KUPUNGUZA UZITO

Na Dk Mandai A Simu 0717961795, 0754391743 Tumeeleza kwa nini unene wa kupita kiasi (Obesity) ni hatari kwa binadamu, tukaeleza mbinu za kupunguza unene na njia ya kuudhibiti.
Leo tutaeleza sababu 18 zinazokulazimu upunguze uzito wako na uogope unene na zote ni hizi zifuatazo: 1. Unene unaongeza kiwango cha mafuta mwilini, ambayo huongeza uwezekano wa kupata kansa. 2. Unene unaongeza mafuta mwilini, ambayo hufanya matibabu...

 

10 years ago

Habarileo

Kondoa waipa uzito CCM

MATOKEO ya Uchaguzi wa Serikali ya Mitaa katika Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma, yanaonesha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza katika vijiji na vitongoji vingi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Uzito mkubwa ni hatari

Utafiti uliofanyika nchini Sweden umebaini kuwa uzito mkubwa kwa vijana wadogo unaweza kusababisha Saratani ya utumbo hapo baadae

 

10 years ago

GPL

CHEKA, MTHAILAND WAPIMWA UZITO

Promota wa pambano hilo, Kaike Siraju (katikati) akiwatambulisha mabondia hao mbele ya waandishi (hawapo pichani). Bondia Cheka akipima uzito. Mthailand, Kitschai Singwancha akipima uzito.…

 

11 years ago

Michuzi

KUPUNGUZA UZITO KWA AFYA YAKO


CLEAN 9 ni nini na ina nini??
Ina mchanganyiko wa bidhaa nne (Alovera Gel chupa 3, Ultra Lite, Bee pollen na Garcinia. Pia ina tape measure pamoja na chupa ya kupimia)
Ina kitabu cha muongozo wa jinsi ya kutumia.CLEAN 9 ni muhimu katika kupunguza mwili kwasababu inafanya kazi ya kusaidia mfumo wako wa mmeng'enyo wa chakula,kuondoa sumu mwilini,kuondoa mafuta yaliyozidi mwilini na kukupa mfumo bora wa ulaji chakula.
Matumizi yake ni rahisi sana. Tumia bidhaa kwa usahihi kisha utahitaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Mabondia wetu wasipunguze uzito kienyeji

Wiki mbili zilizopita bondia Awadh Fadhil alifariki baada ya kuanguka ghafla akiwa mazoezini Manzese jijini Dar es salaam na kupoteza fahamu kabla ya kufariki siku mbili baadaye.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Uzito uliozidi tatizo kwa vijana’

WAKAZI 2,288 wa Jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kupima afya zao kwenye banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wakati wa Maonyesho ya Wiki ya Utumishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseba, Alibaba kupima uzito leo

MABONDIA Japheth Kaseba wa jijini Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo majira ya saa 4 asubuhi watapima afya na uzito katika Ukumbi wa Hoteli ya Friends Corner...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani