Wanaozidisha uzito kukiona
WIZARA ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano inakusudia kuongeza adhabu ya tozo kwa magari yanayokamatwa yamezidisha mizigo na kusababisha barabara kuharibika. Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Edwin Ngonyani alisema hayo juzi wakati wa ziara yake kukagua miradi ya miundombinu ya barabara ya Magole –Turiani, wilayani Mvomero yenye urefu wa kilometa 48.6 pamoja na ujenzi wa mizani inayotembea katika barabara kuu eneo la Mikese , wilaya ya Morogoro.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Mzani wa Wim: Teknolojia ya kuwabana madereva wanaozidisha uzito
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04autkQvc*1T4q5YL*XA5F1hE8dGdGp4FDl73UVQniP8DcqVp0yllBcEdbn8wCBTReG7TU9upBxaTp2rQJ-SIXgrv/fat.jpg?width=550)
SABABU 18 ZA KUPUNGUZA UZITO
10 years ago
Habarileo17 Dec
Kondoa waipa uzito CCM
MATOKEO ya Uchaguzi wa Serikali ya Mitaa katika Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma, yanaonesha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza katika vijiji na vitongoji vingi.
10 years ago
BBCSwahili26 May
Utafiti:Uzito mkubwa ni hatari
10 years ago
GPLCHEKA, MTHAILAND WAPIMWA UZITO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SqztsJE2HgI/U6vq6QdRxRI/AAAAAAACkVo/heWupzPoe5I/s72-c/10371413_304027906421299_16605710590550239_n.jpg)
KUPUNGUZA UZITO KWA AFYA YAKO
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqztsJE2HgI/U6vq6QdRxRI/AAAAAAACkVo/heWupzPoe5I/s1600/10371413_304027906421299_16605710590550239_n.jpg)
CLEAN 9 ni nini na ina nini??
Ina mchanganyiko wa bidhaa nne (Alovera Gel chupa 3, Ultra Lite, Bee pollen na Garcinia. Pia ina tape measure pamoja na chupa ya kupimia)
Ina kitabu cha muongozo wa jinsi ya kutumia.CLEAN 9 ni muhimu katika kupunguza mwili kwasababu inafanya kazi ya kusaidia mfumo wako wa mmeng'enyo wa chakula,kuondoa sumu mwilini,kuondoa mafuta yaliyozidi mwilini na kukupa mfumo bora wa ulaji chakula.
Matumizi yake ni rahisi sana. Tumia bidhaa kwa usahihi kisha utahitaji...
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Mabondia wetu wasipunguze uzito kienyeji
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
‘Uzito uliozidi tatizo kwa vijana’
WAKAZI 2,288 wa Jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kupima afya zao kwenye banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wakati wa Maonyesho ya Wiki ya Utumishi...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Kaseba, Alibaba kupima uzito leo
MABONDIA Japheth Kaseba wa jijini Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo majira ya saa 4 asubuhi watapima afya na uzito katika Ukumbi wa Hoteli ya Friends Corner...