SABABU 18 ZA KUPUNGUZA UZITO
![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04autkQvc*1T4q5YL*XA5F1hE8dGdGp4FDl73UVQniP8DcqVp0yllBcEdbn8wCBTReG7TU9upBxaTp2rQJ-SIXgrv/fat.jpg?width=550)
Na Dk Mandai A Simu 0717961795, 0754391743 Tumeeleza kwa nini unene wa kupita kiasi (Obesity) ni hatari kwa binadamu, tukaeleza mbinu za kupunguza unene na njia ya kuudhibiti. Leo tutaeleza sababu 18 zinazokulazimu upunguze uzito wako na uogope unene na zote ni hizi zifuatazo: 1. Unene unaongeza kiwango cha mafuta mwilini, ambayo huongeza uwezekano wa kupata kansa. 2. Unene unaongeza mafuta mwilini, ambayo hufanya matibabu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SqztsJE2HgI/U6vq6QdRxRI/AAAAAAACkVo/heWupzPoe5I/s72-c/10371413_304027906421299_16605710590550239_n.jpg)
KUPUNGUZA UZITO KWA AFYA YAKO
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqztsJE2HgI/U6vq6QdRxRI/AAAAAAACkVo/heWupzPoe5I/s1600/10371413_304027906421299_16605710590550239_n.jpg)
CLEAN 9 ni nini na ina nini??
Ina mchanganyiko wa bidhaa nne (Alovera Gel chupa 3, Ultra Lite, Bee pollen na Garcinia. Pia ina tape measure pamoja na chupa ya kupimia)
Ina kitabu cha muongozo wa jinsi ya kutumia.CLEAN 9 ni muhimu katika kupunguza mwili kwasababu inafanya kazi ya kusaidia mfumo wako wa mmeng'enyo wa chakula,kuondoa sumu mwilini,kuondoa mafuta yaliyozidi mwilini na kukupa mfumo bora wa ulaji chakula.
Matumizi yake ni rahisi sana. Tumia bidhaa kwa usahihi kisha utahitaji...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Dawa za kupunguza unene, uzito zaweza kusababisha kifo ghafla
11 years ago
MichuziKATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Kupunguza uchumi wa taslimu uwe mkakati wa kupunguza ujambazi
MATUKIO ya majambazi kuwavamia watu na kuwakuta na fedha nyingi ni mengi. Juzi sista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka – Dar es Salaam, alivamiwa na kupigwa risasi na majambazi,...
9 years ago
Habarileo22 Dec
Wanaozidisha uzito kukiona
WIZARA ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano inakusudia kuongeza adhabu ya tozo kwa magari yanayokamatwa yamezidisha mizigo na kusababisha barabara kuharibika. Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Edwin Ngonyani alisema hayo juzi wakati wa ziara yake kukagua miradi ya miundombinu ya barabara ya Magole –Turiani, wilayani Mvomero yenye urefu wa kilometa 48.6 pamoja na ujenzi wa mizani inayotembea katika barabara kuu eneo la Mikese , wilaya ya Morogoro.
10 years ago
GPLCHEKA, MTHAILAND WAPIMWA UZITO
10 years ago
BBCSwahili26 May
Utafiti:Uzito mkubwa ni hatari
10 years ago
Habarileo17 Dec
Kondoa waipa uzito CCM
MATOKEO ya Uchaguzi wa Serikali ya Mitaa katika Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma, yanaonesha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza katika vijiji na vitongoji vingi.