JK: Atakayechezea Muungano kukiona
RAIS Jakaya Kikwete ameonya kuwa mtu atakayechezea Muungano atakiona cha mtema kuni. Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana wakati akilihutubia taifa kwenye hafla ya kuwapongeza vijana wa Umoja wa Chama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Wajumbe waongo kukiona
10 years ago
Habarileo08 Dec
Wachonganishi Loliondo kukiona
SERIKALI imesema haitasita kuwafukuza wawekezaji, taasisi au mashirika yasiyo ya kiserikali, yanayofanya uchonganishi katika maeneo ya hifadhi na uwindaji.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Wezi wa maji kukiona
SERIKALI imeimarisha mapambano dhidi ya watu wanaotumia maji bila kufuata taratibu na sheria na kusababisha upungufu kwa watumiaji wengine na hasara kubwa ya mapato. Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya Wizara...
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Wanaowadhalilisha Watoto kukiona UK
9 years ago
Habarileo08 Oct
Wanaomchafua Zitto kukiona
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeliomba Jeshi la Polisi na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kufuatilia na kumchukulia hatua mtu aliyesambaza ujumbe katika mitandao ya kijamii, kuuchafua uislamu na kiongozi mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto.
9 years ago
Habarileo22 Dec
Wanaozidisha uzito kukiona
WIZARA ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano inakusudia kuongeza adhabu ya tozo kwa magari yanayokamatwa yamezidisha mizigo na kusababisha barabara kuharibika. Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Edwin Ngonyani alisema hayo juzi wakati wa ziara yake kukagua miradi ya miundombinu ya barabara ya Magole –Turiani, wilayani Mvomero yenye urefu wa kilometa 48.6 pamoja na ujenzi wa mizani inayotembea katika barabara kuu eneo la Mikese , wilaya ya Morogoro.
10 years ago
Habarileo05 Apr
Wanaotorosha tumbaku kukiona
SERIKALI mkoani Tabora imesema itahakikisha inawadhibiti wakulima wanaotorosha tumbaku na kusababisha vyama vya ushirika vya msingi kuingia kwenye madeni makubwa ambayo hadi sasa yanawasumbua kuyalipa.
11 years ago
Habarileo10 Apr
Majangili Ruaha kukiona
TEMBO wa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha watafungwa kifaa maalumu cha kufuatilia mwenendo wao, hizo zikiwa ni harakati za ziada za serikali na wadau wake, kunusuru wanyama hao dhidi ya majangili wanaosaka meno yao.