Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachonganishi Loliondo kukiona

Lazaro Nyalandu.SERIKALI imesema haitasita kuwafukuza wawekezaji, taasisi au mashirika yasiyo ya kiserikali, yanayofanya uchonganishi katika maeneo ya hifadhi na uwindaji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wachonganishi Loliondo kukiona-Nyalandu

Lazaro Nyalandu.SERIKALI imesema haitasita kuwafukuza wawekezaji, taasisi au mashirika yasiyo ya kiserikali, yanayofanya uchonganishi katika maeneo ya hifadhi na uwindaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapigano Loliondo yaua 11

MAPIGANO ya kuwindana yanayotokana na mgogoro wa ardhi unaohusisha makabila ya Sonjo na Maasai katika tarafa za Sale na Loliondo, wilayani Ngorongoro, Arusha hadi sasa yameshaua wananchi 11. Akizungumza katika...

 

10 years ago

Daily News

Loliondo conflict escalates


Loliondo conflict escalates
Daily News
A TOTAL of 12 human rights defending groups and organizations have just released a joint report on their recent observations regarding the conflicts in the Loliondo division of Ngorongoro district. The groups have called for dialogue to address the issue.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji Loliondo waondolewa hofu

SERIKALI imewatoa hofu jamii ya wafugaji wa kimasai waishio Tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro juu kuwepo kwa taarifa za kuwaondoa katika eneo wanaloishi na kuligawa kwa mwekezaji kutoka Falme za...

 

11 years ago

Daily News

Loliondo still awash with illegal firearms


Loliondo still awash with illegal firearms
Daily News
LOLIONDO, an area notorious for tribal conflicts and armed banditry in Ngorongoro District, is still awash with illegal weapons left behind by Somali bandits who terrorized the division in the late 1990s as well as new guns being brought in by criminal gangs.
Gunmen ambush vehicle, kill two in LoliondoIPPmedia
Gunmen in Northern Tanzania ambushCoastweek

all 3

 

11 years ago

GPL

DUDE APATA AJALI LOLIONDO

Stori: Gladness Mallya
STAA wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amepata ajali ya gari wakati akielekea Loliondo, Arusha kupata dawa ya kikombe inayotolewa na mchungaji mstaafu, Ambilikile Mwaisapila. Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ Dude ameiambia Bongowood kuwa, hivi karibuni walikuwa na gari aina ya Toyota Prado wakimpeleka mama yake kupata tiba ya ganzi mwilini ndipo tairi...

 

10 years ago

Mwananchi

Nini suluhu ya migogoro Loliondo?

Kwa zaidi ya miaka 30 kuna migogoro ya ardhi wilayani Ngorongoro, mkoani Arusha.

 

11 years ago

Habarileo

DC azungumzia ‘dhahabu’ ya Kwa Babu Loliondo

MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Lali amesema haijathibitishwa kama madini, yanayodaiwa kugundulika Kijiji cha Mgongo huko Samunge kuwa ni dhahabu au la. Amesisitiza kuwa idadi ya watu wanaofika wilayani hapo kusaka dhahabu ni ndogo, ikilinganishwa na iliyojitokeza enzi za `Kikombe cha Babu wa Loliondo’, Mchungaji Ambilikile Mwaisapile.

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 20 mgogoro wa ardhi Loliondo imetosha

Ni zaidi ya miaka 20 sasa imepita bila mgogoro wa ardhi katika eneo la Pori Tengefu la Loliondo Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani