Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nini suluhu ya migogoro Loliondo?

Kwa zaidi ya miaka 30 kuna migogoro ya ardhi wilayani Ngorongoro, mkoani Arusha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini Simba inaingia migogoro na wachezaji wake?

>Kwa nini iwe Simba tu? Hilo ndilo swali ambalo wengi watakuwa wanajiuliza wakati klabu hiyo ikiwa kinara wa migogoro ya kimkataba baina yake na wachezaji.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Nini kinaikwaza Serikali kutatua migogoro ya ardhi?

>Hii siyo mara ya kwanza kwetu sisi kuihadharisha Serikali kuhusu kukithiri kwa migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji katika maeneo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini migogoro haiishi kati ya Machinga, Serikali?

Jiji la Mwanza linakadiriwa kuwa na wafanyabiashara kati ya 2,800 hadi 3,000 wanaojishughulisha na biashara mbalimbali huku likitajwa kuwa jiji la pili kuchangia pato la Taifa .

 

10 years ago

Daily News

Loliondo conflict escalates


Loliondo conflict escalates
Daily News
A TOTAL of 12 human rights defending groups and organizations have just released a joint report on their recent observations regarding the conflicts in the Loliondo division of Ngorongoro district. The groups have called for dialogue to address the issue.

 

10 years ago

Habarileo

Wachonganishi Loliondo kukiona

Lazaro Nyalandu.SERIKALI imesema haitasita kuwafukuza wawekezaji, taasisi au mashirika yasiyo ya kiserikali, yanayofanya uchonganishi katika maeneo ya hifadhi na uwindaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapigano Loliondo yaua 11

MAPIGANO ya kuwindana yanayotokana na mgogoro wa ardhi unaohusisha makabila ya Sonjo na Maasai katika tarafa za Sale na Loliondo, wilayani Ngorongoro, Arusha hadi sasa yameshaua wananchi 11. Akizungumza katika...

 

11 years ago

Daily News

Loliondo still awash with illegal firearms


Loliondo still awash with illegal firearms
Daily News
LOLIONDO, an area notorious for tribal conflicts and armed banditry in Ngorongoro District, is still awash with illegal weapons left behind by Somali bandits who terrorized the division in the late 1990s as well as new guns being brought in by criminal gangs.
Gunmen ambush vehicle, kill two in LoliondoIPPmedia
Gunmen in Northern Tanzania ambushCoastweek

all 3

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji Loliondo waondolewa hofu

SERIKALI imewatoa hofu jamii ya wafugaji wa kimasai waishio Tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro juu kuwepo kwa taarifa za kuwaondoa katika eneo wanaloishi na kuligawa kwa mwekezaji kutoka Falme za...

 

11 years ago

GPL

DUDE APATA AJALI LOLIONDO

Stori: Gladness Mallya
STAA wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amepata ajali ya gari wakati akielekea Loliondo, Arusha kupata dawa ya kikombe inayotolewa na mchungaji mstaafu, Ambilikile Mwaisapila. Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ Dude ameiambia Bongowood kuwa, hivi karibuni walikuwa na gari aina ya Toyota Prado wakimpeleka mama yake kupata tiba ya ganzi mwilini ndipo tairi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani