Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa nini Simba inaingia migogoro na wachezaji wake?

>Kwa nini iwe Simba tu? Hilo ndilo swali ambalo wengi watakuwa wanajiuliza wakati klabu hiyo ikiwa kinara wa migogoro ya kimkataba baina yake na wachezaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Simba kuwalipa wachezaji wake wa zamani?

Klabu ya Simba imetakiwa kuwalipa wachezaji wake wa zamani akiwemo mchezaji wa kulipwa, Amisi Tambwe kwa kuvunja mikataba yao .

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini migogoro haiishi kati ya Machinga, Serikali?

Jiji la Mwanza linakadiriwa kuwa na wafanyabiashara kati ya 2,800 hadi 3,000 wanaojishughulisha na biashara mbalimbali huku likitajwa kuwa jiji la pili kuchangia pato la Taifa .

 

10 years ago

Dewji Blog

Wachezaji Simba wasimamishwa kwa utovu wa nidhamu

SIMBA KIKOSI CASILLASI

Na Mwandishi wetu

Wakati benchi la Ufundi la klabu ya Simba likipewa mechi mbili kubadilisha matokeo ya timu hiyo, wachezaji ambao wamesimamishwa kwa tuhuma za kuhujumu timu na ukosefu wa nidhamu, wanatarajia kukutana na Kamati ya Nidhamu ya klabu hiyo kesho.

Hayo yamesemwa  jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Simba, Stephen Ally, alisema kuwa katika kikao cha Kamati ya Utendaji kilichofanyika juzi, kimeafiki kwamba benchi hilo katika mechi hizo mbili timu inatakiwa ishinde na kucheza...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara

>Mbeya City, Prisons na Stand United ndizo timu pekee ambazo hazina mchezaji yeyote aliyewahi kucheza Yanga au Simba katika vikosi vyao msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Nini suluhu ya migogoro Loliondo?

Kwa zaidi ya miaka 30 kuna migogoro ya ardhi wilayani Ngorongoro, mkoani Arusha.

 

11 years ago

Michuzi

YANGA SC YAINGIA MAKUBALIANO YA KUNUNUA NYUMBA KWA AJILI YA WACHEZAJI WAKE NA NSSF

KLABU ya yanga imeingia makubaliano ya kununua nyumba kwa ajili ya wachezaji wake  na  Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) .
Akizungumza leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa  uendeshaji NSSF , Crecentius Magori amewaambia wachezaji hao kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha
Dege Kigamboni jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga! Kwa nini mpaka Simba ianze?

NI Jumatatu nyingine tulivu kabisa ya mwezi Juni, ulio katikati ya mwaka, mwezi unaoelemewa na baridi karibu sehemu kubwa ya nchi yetu. Ni kati ya miezi ambayo michuano ya Kombe...

 

11 years ago

BBCSwahili

Aelezea kwa nini alikata uume wake

Je unamkumbuka mwanamuziki wa kufoka Andre Johnson ambaye alikata Uume wake mwezi Aprili mjini Los Angeles Marekani?

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Nini kinaikwaza Serikali kutatua migogoro ya ardhi?

>Hii siyo mara ya kwanza kwetu sisi kuihadharisha Serikali kuhusu kukithiri kwa migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji katika maeneo mbalimbali nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani