Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Idara ya Magonjwa ya Dharura Muhimbili Yafanya Mazoezi ya Kujiandaa na Majanga

Idara ya Magonjwa ya Dharura na Ajali (EMD) Imefanya mazoezi kwa ajili ya kupambana na majanga ya dharura mara yanapotokea katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Mazoezi hayo yamefanyika katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) chini ya Kitengo cha Magonjwa ya Dharura na Ajali na kuwahusisha madaktari, wauguzi wa hospitali hiyo na wataalamu kutoka hospitali nyingine.  Akizungumza katika zoezi hilo, Mkuu wa Idara hiyo ambaye pia ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Dharura na Ajali, Dk Juma...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Hospitali ya Wilaya Chamwino yatakiwa kujiandaa kwa dharura ya Korona



****************************Nteghenjwa Hosseah, MlowoWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kukamilisha mahitajimuhimu ya Hospitali ya Wilaya hiyo ambayo iko katika hatua za ukamilishaji wa ujenzi kwa tahadhari ya kupokea wagonjwa wa Korona endapo...

 

5 years ago

Michuzi

TIMU YA KARATE YAANZA MAZOEZI YAKE KUJIANDAA NA MASHINDANO YA DUNIA 2021

Na Zainab Nyamka

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate imeanza mazoezi yake kwa ajili ya maandalizi ya kushiriki mashindano ya Dunia ya Karate huko Japani Mwaka ujao.

Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi Oktoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na tahadhari ya Virusi vya Corona.

Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome...

 

5 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate yaanza mazoezi kujiandaa na mashindano ya dunia Japan

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate imeanza Tena mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya kushiriki mashindano ya Dunia ya Karate huko Japani Mwaka ujao.    
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi octoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na Tahadhari ya Virusi vya Corona. Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama..  Tumezungumza Jerome...

 

9 years ago

GPL

TAIFA STARS YAFANYA MAZOEZI YA MWISHO SAUZ

Wachezaji wa Stars wakisikiliza maelekezo kutoka kwa kocha wao, Charles Boniface Mkwasa. Stars wakiendelea kujifua nchini Afrika Kusini leo.…

 

5 years ago

Michuzi

TIMUZA DHARURA ZA KUKABILI MAGONJWA AMBUKIZI YA MLIPUKO ZATAKIWA KUTUMIA DHANA YAAFYA MOJA


Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali Jimmy Matamwe akisisitiza umuhimu wa kutumia Dhana ya Afya moja ambayo hujikita katika kujumuisha sekta zote za Afya katika kujiandaa, kufuatilia na kukabili magonjwa yanayomuathiri binadamu wakati wa mafunzo kwa timu za dharura za kukabili magonjwa ambukizi ya mlipuko leo, Jijini Dodoma, tarehe 17 Machi, 2020.Baadhi ya wataalamu wa sekta za Afya kutoka kwa timu za dharura za kukabili magonjwa...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA DHARURA KWA UMMA KUHUSU KUCHANGIA DAMU HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI

Menejimenti ya Hospitali ya Taifa Muhimbili inawaomba Watanzania, mashirika ya umma, mashirika yasiyo ya kiserikali, mashule, taasisi za kidini, na vyuo mbalimbali kujitokeza kusaidia kuchangia damu Hospitalini hapa ili kuokoa maisha ya wagonjwa. Hospitali inahitaji chupa za damu kwa wastani wa chupa 70 hadi 100 kwa siku.
Matumizi ya Damu:Damu inatumika sana kwa wagonjwa wa dharura, akina mama wajawazito, wagonjwa waliofanyiwa upasuaji, watoto pamoja na wagonjwa wa saratani.
Upasuaji wa...

 

5 years ago

Michuzi

MUHIMBILI YASAMBAZA VAZI LA PPE KWA KAMATI ZA DHARURA JIJINI DAR ES SALAAM

 Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi Hospitali ya Taifa Muhimbili Bi. Zuhura Mawona (kushoto) akimkabidhi Kaimu Mfamasia Mkuu Manispaa ya Kinondoni Bw. Oswen Sanga (Kulia)  mavazi ya kujikinga na Covid 19 yaliyoshonwa MNH. Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi Hospitali ya Taifa Muhimbili Bi. Zuhura Mawona (kushoto) akimkabidhi Mganga Mkuu Manispaa ya Ilala  Dkt. Emily Lihawa (Kulia)  mavazi ya kujikinga na Covid 19 yaliyoshonwa MNH.



Hospitali ya Taifa Muhimbili imeanza kusambaza  mavazi maalumu...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONGOZA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete usiku wa jana, Jumamosi, Februari 22, 2014, aliongoza harambee ya kupatikana kwa zaidi ya sh milioni 600 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kisasa vya matibabu kwa ajili ya Wodi ya Watoto katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili, Dar Es Salaam.  Katika halfa hiyo iliyofanyika kwenye Hoteli ya Golden Tulip, Dar Es Salaam, Rais Kikwete pia ameahidi kuendeleza kuongoza jitihada za kupatikana kwa kiasi cha sh milioni 328...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani