Idara ya Magonjwa ya Dharura Muhimbili Yafanya Mazoezi ya Kujiandaa na Majanga
![](http://1.bp.blogspot.com/-gnHcPihZkYM/Vkd1_GccXGI/AAAAAAAIF3A/zTb4QrgIpUs/s72-c/4e086296-3d91-4d36-9ad4-ea3fc5c1c355.jpg)
Idara ya Magonjwa ya Dharura na Ajali (EMD) Imefanya mazoezi kwa ajili ya kupambana na majanga ya dharura mara yanapotokea katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Mazoezi hayo yamefanyika katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) chini ya Kitengo cha Magonjwa ya Dharura na Ajali na kuwahusisha madaktari, wauguzi wa hospitali hiyo na wataalamu kutoka hospitali nyingine. Akizungumza katika zoezi hilo, Mkuu wa Idara hiyo ambaye pia ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Dharura na Ajali, Dk Juma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vkvt66ebQDk/XqBsJK1wFII/AAAAAAALn1s/JwZUNUerXSg8uvwx-x0fWgVOK2DLgKACwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-40.jpg)
Hospitali ya Wilaya Chamwino yatakiwa kujiandaa kwa dharura ya Korona
![](https://1.bp.blogspot.com/-vkvt66ebQDk/XqBsJK1wFII/AAAAAAALn1s/JwZUNUerXSg8uvwx-x0fWgVOK2DLgKACwCLcBGAsYHQ/s640/1-40.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-29.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3-20.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/4-14.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/5-11.jpg)
****************************Nteghenjwa Hosseah, MlowoWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kukamilisha mahitajimuhimu ya Hospitali ya Wilaya hiyo ambayo iko katika hatua za ukamilishaji wa ujenzi kwa tahadhari ya kupokea wagonjwa wa Korona endapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YF6XQNVTj3Y/Xui49gnYPgI/AAAAAAALuCM/Xh-3ykA1G5IopgOzxpij1HTA1cnjb3_BACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B3.17.25%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
TIMU YA KARATE YAANZA MAZOEZI YAKE KUJIANDAA NA MASHINDANO YA DUNIA 2021
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate imeanza mazoezi yake kwa ajili ya maandalizi ya kushiriki mashindano ya Dunia ya Karate huko Japani Mwaka ujao.
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi Oktoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na tahadhari ya Virusi vya Corona.
Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome...
5 years ago
MichuziTimu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate yaanza mazoezi kujiandaa na mashindano ya dunia Japan
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi octoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na Tahadhari ya Virusi vya Corona. Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama.. Tumezungumza Jerome...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Taifa-Stars-1.jpg)
TAIFA STARS YAFANYA MAZOEZI YA MWISHO SAUZ
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cZkzFin8OAk/XnEb8b2V-gI/AAAAAAALkL0/_c9pVKegApgo1dBOSCmaWjKfzrLhH0sVgCLcBGAsYHQ/s72-c/P1.1.jpg)
TIMUZA DHARURA ZA KUKABILI MAGONJWA AMBUKIZI YA MLIPUKO ZATAKIWA KUTUMIA DHANA YAAFYA MOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cZkzFin8OAk/XnEb8b2V-gI/AAAAAAALkL0/_c9pVKegApgo1dBOSCmaWjKfzrLhH0sVgCLcBGAsYHQ/s640/P1.1.jpg)
Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali Jimmy Matamwe akisisitiza umuhimu wa kutumia Dhana ya Afya moja ambayo hujikita katika kujumuisha sekta zote za Afya katika kujiandaa, kufuatilia na kukabili magonjwa yanayomuathiri binadamu wakati wa mafunzo kwa timu za dharura za kukabili magonjwa ambukizi ya mlipuko leo, Jijini Dodoma, tarehe 17 Machi, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/P2-2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GPrTmQu40Bk/VVCrzhpXEfI/AAAAAAAHWoo/qVSVaJFcFyE/s72-c/viewer.png)
TAARIFA YA DHARURA KWA UMMA KUHUSU KUCHANGIA DAMU HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI
![](http://3.bp.blogspot.com/-GPrTmQu40Bk/VVCrzhpXEfI/AAAAAAAHWoo/qVSVaJFcFyE/s640/viewer.png)
Matumizi ya Damu:Damu inatumika sana kwa wagonjwa wa dharura, akina mama wajawazito, wagonjwa waliofanyiwa upasuaji, watoto pamoja na wagonjwa wa saratani.
Upasuaji wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q6LmFLdsovM/Xp6KLIt_oFI/AAAAAAALnrM/bPKF7BILqhQWVukhT9vn3TMnKUfxAIMQgCLcBGAsYHQ/s72-c/407d6141-7f20-4717-ad26-76900a5a03ec.jpg)
MUHIMBILI YASAMBAZA VAZI LA PPE KWA KAMATI ZA DHARURA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-q6LmFLdsovM/Xp6KLIt_oFI/AAAAAAALnrM/bPKF7BILqhQWVukhT9vn3TMnKUfxAIMQgCLcBGAsYHQ/s640/407d6141-7f20-4717-ad26-76900a5a03ec.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GTWn9yTwgiY/Xp6KLEIN5WI/AAAAAAALnrQ/3J7eBPHnzNI-3EjUa7Kj0nblQX04c7GjgCLcBGAsYHQ/s640/26936c25-538f-4f84-b1f9-2afe3855d089.jpg)
Hospitali ya Taifa Muhimbili imeanza kusambaza mavazi maalumu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N66x89Pqpx0/Uwown3kqKxI/AAAAAAAFPKA/Vw34TxVVi8c/s72-c/p6.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI