Iddi Simba’s share of ups and downs
Iddi Simba’s share of ups and downs The Citizen Daily
The Citizen Daily
Habari Zinazoendana
9 years ago
AllAfrica.Com23 Sep
Ups and Downs of Tanzania's 10th Parliament
AllAfrica.com
The Tenth Parliament (2010- 2015) will go down in history as one whose debates triggered serious discussions across the country, led by the majority members from Chama Cha Mapinduzi (CCM) and those from Opposition parties. It was the Parliament that ...
11 years ago
TheCitizen05 Jul
COVER: Wedding planning ups and downs
10 years ago
TheCitizen14 Sep
Katiba ups and downs: Now hard work begins
11 years ago
West Sussex Gazette21 May
Teens to walk 100 miles across the South Downs for Tanzania
West Sussex Gazette
West Sussex Gazette
Poppy Maunder, Tara Williams and Megan Speers from Farlington School are walking 100 Miles across the South Downs in just 4 days to raise money for their community service project in Tanzania. The three teenagers will be walking the South Downs Way ...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Wenye sifa wachangamkie nafasi za uongozi SimbaÂ
KLABU ya Simba ipo katika mchakato wa uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Juni 29, kuhitimisha kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage, aliyeingia madarakani Mei 9, 2010....
9 years ago
Bongo505 Dec
Makampuni yanapishana kununua vichekesho vya ‘Mkude Simba’ – Kitale
![Eid_Tabora-14](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Eid_Tabora-14-300x194.jpg)
Kitale na Stan Bakora wanaotengeneza vichekesho vya sauti vya ‘Mkude Simba’ wamesema makampuni mengi yamekuwa yakihitaji vichekesho vyao lakini yameshindwa kuvitumia kutokana na kushindwa kufikia makubaliano.
Kitale ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa kuna kampuni kubwa ambayo wanajipanga kuingia nayo mkataba.
“Mkude Simba tayari ameshatunufaisha sana, kampuni nyingi zinataka kufanya kazi na sisi lakini wakija wakasikiliza masharti yetu hawarudi tena, yaani kampuni kubwa zote zinapishana...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Alichokisema Mr. Blue kuhusu Diamond kutumia jina la Simba…(+Audio)
Hivi karibuni Msanii Diamond Platnumz amekuwa akilitumia jina la Simba kama moja ya a.k.a katika maeneo mbalimbali hasa akiwa kwenye stage, Lakini hapa nakukutanisha na Msanii Mr. Blue akielezea watu wanaotumia jina hilo. Unaweza kubonyeza Play hapa chini na ukapata full stori Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Alichokisema Mr. Blue kuhusu Diamond kutumia jina la Simba…(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo528 Dec
Mr Blue adai jina ‘Simba’ analotumia Diamond sasa alilianzisha yeye!
![10576220_206062963068992_1265041402_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10576220_206062963068992_1265041402_n-300x194.jpg)
Mr Blue anadai chake.. kwa mujibu wa Kabayser, jina ‘Simba’ analotumia Diamond sasa kwenye post zake kwenye mitandao ya kijamii alilianzisha yeye wiki kadhaa zililopita baada ya kupewa na mashabiki wake.
“Naikumbuka hii post niliipost miezi saba iliyopita pale watu waliponiita jina la simba…ila inanishangaza kuona baada ya muda watu wengi wakijiita jina hili …hiii inanionesha kuwa mi ni mbunifu wa hali ya juu..na watu husubiri mimi nifanye ili waige….#mfanowakuigwa$,” Blue ameandika kwenye...
9 years ago
Bongo529 Dec
Afande Sele kumaliza kesi ya neno ‘Simba’ kati ya Diamond na Mr Blue kwa style hii
![Simba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Simba-300x194.jpg)
Mfalme wa Rhymes, Afande Sele ameingilia kati malumbano kati ya Diamond Platnumz na Mr Blue juu ya umiliki halali wa jina ‘Simba.’
Ikumbukwe kuwa Blue ndiye aliyelalamika kuhusu jina hilo lakini Diamond bado hajajibu kitu.
Afande anajipanga kurudia wimbo wake ‘Simba Dume’ ambao anataka awashirikishe Diamond na Mr Blue ili kila mmoja ajieleze yeye ni Simba wa aina gani! Patamu hapo…
Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumanne hii, Afande alisema hatua hiyo itawafanya wasanii...