Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ijue T.P.Ok. Jazz ilikoanzia (2)

ILIPOTIMU mwaka 1975, Franco alifyatua nyimbo kali za hali ya juu ya Bomba Bomba Mabe. Katikati ya miaka ya 1970, Franco alikuwa mmoja wa Wakongomani matajiri, akiwa amewekeza kwa kiasi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

COPY & PASTE YA TP OK JAZZ YA KILWA JAZZ ENZI HIZO

Ukimaliza wimbo huu sikiliza wa hapo chini....

 

11 years ago

Mwananchi

Ilikoanzia michuano ya Kombe la Chalenji

Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati, (CECAFA) linaelezwa kuwa ni kati ya mMabaraza makongwe barani Afrika katika soka.

 

10 years ago

TheCitizen

A mix of everything at jazz festival

>The only constant in life is change, and this is true of jazz as well.Though generally considered a genre of music, jazz is hard to define because of its many styles.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ijue Ijumaa Kuu

Agias_Triados_frescos_cross

Ijumaa Kuu ni siku ya mwaka ambayo wafuasi wengi wa Yesu Kristo wanaadhimisha kifo chake msalabani ambacho kilitokea nje ya kuta za mji wa Yerusalemu siku ya Ijumaa.

Kadiri ya Mtume Yohane kesho yake ilikuwa Sabato na pia Pasaka, jambo lisilotokea kwa kawaida. Kwa sababu hiyo wataalamu mbalimbali wanakadiria ilikuwa tarehe 7 Aprili 30.

Ijumaa kuu ni sehemu ya Juma Kuu linaloanza kwa adhimisho la Yesu kuingia mji huo akishangiliwa kama mfalme wa Wayahudi (yaaniMasiya au Kristo). Adhimisho...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

BBC

VIDEO: The godfather of Ethiopian jazz

Mulatu Astatke, the godfather of Ethiopian jazz music, speaks to the BBC's Sophie Ikenye about his musical journey.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto na muziki wa Jazz, Kenya

Watoto katika kitongoji kimoja Nairobi Kenya, wamekuwa wakifunzwa na kucheza muziki wa Jazz kama njia ya kuepukana na maovu.

 

10 years ago

Michuzi

IJUE SAYANSI YA NGUVU ZA KIUME


Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ?Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifuHATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUMEIli  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili ...

 

9 years ago

Michuzi

IJUE BIASHARA YA UWAKALA KISHERIA.

NA  BASHIR  YAKUB -WAPO mawakala  na  wapo  wanaohitaji  kuwa  mawakala, Kwa  sasa biashara  ya  uwakala  ni  kubwa mno, wapo mawakala   mitandao  ya  simu kama tigo, Airtel, voda n.k, mawakala makampuni  ya  usafirishaji  kama mabasi,  malori n.k , na  makampuni  mengine  mengi. Mtindo  wa  biashara  ya  uwakala  umekua  sana  katika  siku  za  hivi  karibuni. 
Ni  kutokana  na  ongezeko  la  makampuni  na   kukua  kwa  biashara, Upo  umuhimu  mkubwa  wa  kuijua  biashara  ya  uwakala  kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani