Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IJUE BIASHARA YA UWAKALA KISHERIA.

NA  BASHIR  YAKUB -WAPO mawakala  na  wapo  wanaohitaji  kuwa  mawakala, Kwa  sasa biashara  ya  uwakala  ni  kubwa mno, wapo mawakala   mitandao  ya  simu kama tigo, Airtel, voda n.k, mawakala makampuni  ya  usafirishaji  kama mabasi,  malori n.k , na  makampuni  mengine  mengi. Mtindo  wa  biashara  ya  uwakala  umekua  sana  katika  siku  za  hivi  karibuni. 
Ni  kutokana  na  ongezeko  la  makampuni  na   kukua  kwa  biashara, Upo  umuhimu  mkubwa  wa  kuijua  biashara  ya  uwakala  kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kampuni 51 zapata uwakala wa ajira

Wizara ya Kazi na Ajira imepokea maombi ya kampuni ya wakala wa huduma za ajira 87 kati ya hizo 51 zimepata usajili kwa kipindi cha mwaka mmoja.

 

9 years ago

Habarileo

Uwakala Miss Tanzania mil 1/-

KAMATI ya Miss Tanzania imesema kuwa wakala anayetaka kuandaa shindano hilo la urembo katika mkoa wake, anatakiwa kulipa Sh milioni 1 ikiwa ni ada ya uanachama.

 

10 years ago

Mwananchi

UWAKALA : Madalali watibua usajili Bongo

Yanga ipo kwenye mzozo na Kimondo FC baada ya kumsajili Geofrey Mwashiuya, huku Simba inavutana na mshambuliaji wake Ramadhani Singano ‘Messi’ na vurugu za aina hii zimekuwa ni kawaida hapa nchini kila wakati wa usajili.

 

9 years ago

Vijimambo

MISS TANZANIA YAFUNGUA PAZIA LA WANAOTAKA UWAKALA 2016

post-feature-imageKamati ya Miss Tanzania inapenda kuwatangazia wadau wote wanaotaka kuandaa Mashindano ya urembo ya Miss Tanzania kwa mwaka 2016 kutuma maombi yao ya uwakala kuanzia sasa hadi tarehe 30 Novemba 2015 ndio mwisho wa kupokea maombi ha yo.
Mashindano yatakayo fanyika ni ya mikoa tu, hakutakuwa na mashindano katika ngazi ya kitongoji, wilaya wala Kanda.
Sifa za kuwa Wakala wa Miss Tanzania ni pamoja na
1) Uwe na Kampuni iliyosajiliwa na Mamlaka husika ya Serikali.
2) Uwe na mtaji wa...

 

11 years ago

Michuzi

Kampuni ya Uwakala wa ajira ya Erolink yawazawadia wazee wa Yombo Kilakala, Dar es salaam

 Mfanyakazi wa  Kampuni ya Uwakala wa ajira ya Erolink, Zabida Kibiki akimvisha shuka baada ya kumkabidhi msaada huo John Shitundu ambaye ni miongoni mwa wazee waliopo chini ya kituo chaTushikamane Pamoja Foundation wakati  wafanyakazi wa kampuni hiyo walipokwenda kutoa misaada mbalimbali kwa wazee hao wanaoishi katika kituo hicho kilichopo Yombo Kilakala jijini Dar es Salaam. Jumla ya vitu mbalimbali vilitolewa  ikiwemo mashuka ,blanketi , mchele na mafuta ya kupikia chakula vyenye...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zanzibar, India zatiliana saini mkataba wa uwakala wa utangazaji Utalii wa ZNZ nchini India

01

Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JIHIL ENTERPRISES ya India Nd. Jilesh H. Babla wakitiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzishwa kwa ofisi ya uwakala wa Utangazaji Utalii wa Zanzibar Nchini India. (Picha na Makame Mshenga Maelezo-Zanzibar).

                                                 Na Abdulla Ali Maelezo-Zanzibar                                                         

Wizara ya...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

Ijue Ijumaa Kuu

Agias_Triados_frescos_cross

Ijumaa Kuu ni siku ya mwaka ambayo wafuasi wengi wa Yesu Kristo wanaadhimisha kifo chake msalabani ambacho kilitokea nje ya kuta za mji wa Yerusalemu siku ya Ijumaa.

Kadiri ya Mtume Yohane kesho yake ilikuwa Sabato na pia Pasaka, jambo lisilotokea kwa kawaida. Kwa sababu hiyo wataalamu mbalimbali wanakadiria ilikuwa tarehe 7 Aprili 30.

Ijumaa kuu ni sehemu ya Juma Kuu linaloanza kwa adhimisho la Yesu kuingia mji huo akishangiliwa kama mfalme wa Wayahudi (yaaniMasiya au Kristo). Adhimisho...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ijue T.P.Ok. Jazz ilikoanzia (2)

ILIPOTIMU mwaka 1975, Franco alifyatua nyimbo kali za hali ya juu ya Bomba Bomba Mabe. Katikati ya miaka ya 1970, Franco alikuwa mmoja wa Wakongomani matajiri, akiwa amewekeza kwa kiasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani