UWAKALA : Madalali watibua usajili Bongo
Yanga ipo kwenye mzozo na Kimondo FC baada ya kumsajili Geofrey Mwashiuya, huku Simba inavutana na mshambuliaji wake Ramadhani Singano ‘Messi’ na vurugu za aina hii zimekuwa ni kawaida hapa nchini kila wakati wa usajili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Sh1.5 bil zatumika usajili Bongo
11 years ago
Michuzi
Viongozi wa the Kop in Tanzania watua anfield kukamilisha usajili wa chama bongo




10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Wanajeshi watibua shambulizi Somalia
11 years ago
Habarileo16 Jul
Wanasiasa watibua ziara ya Makalla
ZIARA ya Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla kukagua miradi ya maji jijini Dar es Salaam, jana iliingia dosari, kutokana na vitendo vya baadhi ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
11 years ago
BBCSwahili16 May
Polisi watibua maandamano Brazil
11 years ago
Mwananchi09 Sep
Kampuni 51 zapata uwakala wa ajira
10 years ago
Habarileo23 Sep
Uwakala Miss Tanzania mil 1/-
KAMATI ya Miss Tanzania imesema kuwa wakala anayetaka kuandaa shindano hilo la urembo katika mkoa wake, anatakiwa kulipa Sh milioni 1 ikiwa ni ada ya uanachama.
9 years ago
Michuzi
IJUE BIASHARA YA UWAKALA KISHERIA.

Ni kutokana na ongezeko la makampuni na kukua kwa biashara, Upo umuhimu mkubwa wa kuijua biashara ya uwakala kwa...
10 years ago
Mtanzania01 Oct
NCCR- Mageuzi watibua njama za kuhujumu Ukawa
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR Mageuzi kimetibua njama za kuuhujumu na kuufarakanisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) zilizolenga pia kusababisha mauaji kwa Mwenyekiti wake, James Mbatia.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia aliyefuatana na viongozi wa juu wa chama hicho, alisema mkakati huo uliwahusisha makamishna wa chama hicho waliohudhuria pia mkutano huo, na uliratibiwa na Makamu mwenyekiti wa chama...