Ikulu: Kujadili hotuba ya JK kupoteza muda
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu amesema kuendelea kuijadili hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa kwenye Bunge la Katiba mwishoni mwa wiki ni kupoteza muda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Kanuni za kuongoza #Bunge la #Katiba zawasilishwa, porojo za kupoteza muda sasa marufuku [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Tuache kujadili hotuba za JK, Warioba tuboreshe Rasimu
11 years ago
Habarileo25 Mar
Wabunge sasa kujadili hotuba za Rais, Warioba
HOTUBA iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba zitajadiliwa bungeni baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuridhia ombi hilo lililotolewa na baadhi ya wajumbe.
11 years ago
GPL
TUNA MUDA WA KUTOSHA KUJADILI MAISHA?
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Bunge linapoteza muda kujadili ‘ndiyo’
“UKISEMA, ‘Ndiyo’, basi, iwe ‘Ndiyo’; ukisema, ‘Siyo’, basi iwe kweli ‘Siyo’. Chochote kinachozidi hayo hutoka kwa yule Mwovu.” (Mathayo 5:37). Haya ni maneno ya Yesu Kristu wa Nazareti wakati akiwafundisha...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Kwanini tupoteze muda, fedha kujadili “Ndiyo”
“UKISEMA ‘Ndiyo’, basi iwe ‘Ndiyo’; ukisema, ‘Siyo’, basi iwe kweli ‘Siyo’. Chochote kinachozidi hayo hutoka kwa yule Mwovu.” (Matayo 5:37). Haya ni maneno ya Yesu Kristu wa Nazareti wakati akiwafundisha...
11 years ago
Mwananchi19 Oct
TFF, klabu wapeana muda kujadili makato
11 years ago
Mwananchi02 Jun
Bunge laongezwa muda kujadili VAT, ardhi
11 years ago
CloudsFM05 Aug
KIKWETE: SINA MUDA KUJADILI UPUUZI KUHUSU RIDHIWANI
Rais Jakaya Kikwete amepuuza madai kwamba, alishiriki kumwokoa mwanawe, ambaye ni Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, aliyetuhumiwa kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi.
Amesema kuwa urais ni taasisi kubwa nchini, hivyo yeye akiwa rais hawezi kujiingiza katika ubishani na watu wa mtaani, kama ambavyo baadhi ya watu wanaomsukuma ashiriki katika maneno hayo aliyoyaita kuwa ni ya “mitaani.”
“This is nonsense ni mkusanyiko wa upuuzi. Sina muda wala siwezi kupoteza nguvu yangu...