Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUNA MUDA WA KUTOSHA KUJADILI MAISHA?

NI  matumaini yangu kuwa wote ni wazima wa afya njema na mnaendelea vizuri na mihangaiko ya kila siku ya maisha. Ni wakati mwingine tena tunakutana kujadili mambo yetu ya mapenzi na maisha. Leo nina jambo moja la msingi ambalo ningependa kujadili kwa pamoja, wakati huu tunapokaribia kumaliza mwaka na kuukaribisha mwingine. Najua wazazi wengi hiki ni kipindi cha maumivu kwa vile tutalazimika kutumia fedha kwa ajili ya kuandaa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

MSD: Tuna dawa za malaria za kutosha

PAMOJA na kuwepo malalamiko ya kukosekana kwa dawa za malaria katika hospitali mbalimbali nchini, Bohari ya Dawa (MSD), imesema ina dawa hizo za kutosha. Akizungumza na Tanzania Daima katika maadhimisho...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bado tuna fursa ya kujadili, kupata Katiba tuliyokusudia’

Ukiwa umebakia muda wa miezi miwili kabla ya Bunge la Katiba kurejea, baadhi ya wananchi wameendelea kutoa maoni yao kuhusu nini kifanyike ili iweze kupatikana katiba bora ya wananchi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanachi walalamikia ugumu wa maisha licha ya kuwa na rasilimali za kutosha

IMG-20150126-WA0033

William Mungai (wa pili kushoto) ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mufindi kaskazini akimpokea Makamu mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Mh. Ole SOSOPI (katikati).

IMG-20150126-WA0034

Makamu mwenyekiti wa BAVICHA Taifa  Mh.Ole SOSOPI akiwahutubia wananchi katika jimbo la Mufindi kaskazini.

IMG-20150126-WA0035

William Mungai ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mufindi kaskazini akiwahutubia wananchi wa jimbo la Mufindi kusini ambako anatarajia kugombea ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA.

Na Fredy Mgunda

Wananchi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge linapoteza muda kujadili ‘ndiyo’

“UKISEMA, ‘Ndiyo’, basi, iwe ‘Ndiyo’; ukisema, ‘Siyo’, basi iwe kweli ‘Siyo’. Chochote kinachozidi hayo  hutoka kwa yule Mwovu.” (Mathayo 5:37). Haya ni maneno ya Yesu Kristu wa Nazareti wakati akiwafundisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Ikulu: Kujadili hotuba ya JK kupoteza muda

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu amesema kuendelea kuijadili hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa kwenye Bunge la Katiba mwishoni mwa wiki ni kupoteza muda.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge laongezwa muda kujadili VAT, ardhi

>Bunge limeongeza muda wa vikao kwa siku tatu zaidi ili kutoa nafasi kwa wabunge kujadili Muswada wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), ambao unalenga kuondoa misamaha ya kodi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini tupoteze muda, fedha kujadili “Ndiyo”

“UKISEMA  ‘Ndiyo’, basi iwe ‘Ndiyo’; ukisema, ‘Siyo’, basi iwe kweli ‘Siyo’. Chochote kinachozidi hayo hutoka kwa yule Mwovu.” (Matayo 5:37). Haya ni maneno ya Yesu Kristu wa Nazareti wakati akiwafundisha...

 

10 years ago

Mwananchi

TFF, klabu wapeana muda kujadili makato

 Suala la makato ya asilimia tano kwa klabu za Ligi Kuu limechukua sura mpya baada ya kamati ya utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na klabu kuomba muda zaidi kulitafakari.

 

11 years ago

CloudsFM

KIKWETE: SINA MUDA KUJADILI UPUUZI KUHUSU RIDHIWANI

Rais Jakaya Kikwete amepuuza madai kwamba, alishiriki kumwokoa mwanawe, ambaye ni Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, aliyetuhumiwa kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi.
Amesema kuwa urais ni taasisi kubwa nchini, hivyo yeye akiwa rais hawezi kujiingiza katika ubishani na watu wa mtaani, kama ambavyo baadhi ya watu wanaomsukuma ashiriki katika maneno hayo aliyoyaita kuwa ni ya “mitaani.”

“This is nonsense ni mkusanyiko wa upuuzi. Sina muda wala siwezi kupoteza nguvu yangu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani