TUNA MUDA WA KUTOSHA KUJADILI MAISHA?
![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSZ0OyJzYTxdyZQB7Ki6yfFlLMXiwN0wlAnCS6nU9o7jMqrO10hHBx*rCM-gmqBIi6nDMgFIpxU5GaFrc6Vag8Q8/uwazi.gif?width=640)
NIÂ matumaini yangu kuwa wote ni wazima wa afya njema na mnaendelea vizuri na mihangaiko ya kila siku ya maisha. Ni wakati mwingine tena tunakutana kujadili mambo yetu ya mapenzi na maisha. Leo nina jambo moja la msingi ambalo ningependa kujadili kwa pamoja, wakati huu tunapokaribia kumaliza mwaka na kuukaribisha mwingine. Najua wazazi wengi hiki ni kipindi cha maumivu kwa vile tutalazimika kutumia fedha kwa ajili ya kuandaa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
MSD: Tuna dawa za malaria za kutosha
PAMOJA na kuwepo malalamiko ya kukosekana kwa dawa za malaria katika hospitali mbalimbali nchini, Bohari ya Dawa (MSD), imesema ina dawa hizo za kutosha. Akizungumza na Tanzania Daima katika maadhimisho...
11 years ago
Mwananchi01 Jun
‘Bado tuna fursa ya kujadili, kupata Katiba tuliyokusudia’
10 years ago
Dewji Blog27 Jan
Wanachi walalamikia ugumu wa maisha licha ya kuwa na rasilimali za kutosha
William Mungai (wa pili kushoto) ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mufindi kaskazini akimpokea Makamu mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Mh. Ole SOSOPI (katikati).
Makamu mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Mh.Ole SOSOPI akiwahutubia wananchi katika jimbo la Mufindi kaskazini.
William Mungai ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mufindi kaskazini akiwahutubia wananchi wa jimbo la Mufindi kusini ambako anatarajia kugombea ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA.
Na Fredy Mgunda
Wananchi...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Bunge linapoteza muda kujadili ‘ndiyo’
“UKISEMA, ‘Ndiyo’, basi, iwe ‘Ndiyo’; ukisema, ‘Siyo’, basi iwe kweli ‘Siyo’. Chochote kinachozidi hayo hutoka kwa yule Mwovu.” (Mathayo 5:37). Haya ni maneno ya Yesu Kristu wa Nazareti wakati akiwafundisha...
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Ikulu: Kujadili hotuba ya JK kupoteza muda
11 years ago
Mwananchi02 Jun
Bunge laongezwa muda kujadili VAT, ardhi
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Kwanini tupoteze muda, fedha kujadili “Ndiyo”
“UKISEMA ‘Ndiyo’, basi iwe ‘Ndiyo’; ukisema, ‘Siyo’, basi iwe kweli ‘Siyo’. Chochote kinachozidi hayo hutoka kwa yule Mwovu.” (Matayo 5:37). Haya ni maneno ya Yesu Kristu wa Nazareti wakati akiwafundisha...
10 years ago
Mwananchi19 Oct
TFF, klabu wapeana muda kujadili makato
11 years ago
CloudsFM05 Aug
KIKWETE: SINA MUDA KUJADILI UPUUZI KUHUSU RIDHIWANI
Rais Jakaya Kikwete amepuuza madai kwamba, alishiriki kumwokoa mwanawe, ambaye ni Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, aliyetuhumiwa kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi.
Amesema kuwa urais ni taasisi kubwa nchini, hivyo yeye akiwa rais hawezi kujiingiza katika ubishani na watu wa mtaani, kama ambavyo baadhi ya watu wanaomsukuma ashiriki katika maneno hayo aliyoyaita kuwa ni ya “mitaani.”
“This is nonsense ni mkusanyiko wa upuuzi. Sina muda wala siwezi kupoteza nguvu yangu...