Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanachi walalamikia ugumu wa maisha licha ya kuwa na rasilimali za kutosha

IMG-20150126-WA0033

William Mungai (wa pili kushoto) ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mufindi kaskazini akimpokea Makamu mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Mh. Ole SOSOPI (katikati).

IMG-20150126-WA0034

Makamu mwenyekiti wa BAVICHA Taifa  Mh.Ole SOSOPI akiwahutubia wananchi katika jimbo la Mufindi kaskazini.

IMG-20150126-WA0035

William Mungai ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mufindi kaskazini akiwahutubia wananchi wa jimbo la Mufindi kusini ambako anatarajia kugombea ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA.

Na Fredy Mgunda

Wananchi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Kutotafakari mwanzo wa ugumu wa maisha

WIKI iliyopita niliandika makala nikilalamikia michango mikubwa ya sherehe, wamejitokeza wasomaji wengi kuniunga mkono. Karibu wote waliowasiliana na mimi baada ya kuisoma makala hiyo wameniomba niuendeleze mjadala huo kuzidi kuweka...

 

11 years ago

Mwananchi

Ugumu wa maisha ni kipimo cha akili

“Laiti ningekuwa na moyo wa kukata tamaa, nisingefika hapa nilipo. Siyo hivyo tu, bali pia ingekuwa vigumu watu wengine kufaidika na ujuzi wangu,” anasema Elika Mwamengo (33) alipoongea na Mwananchi kuhusu mafanikio yake kimaisha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Adha ya michango na ugumu wa maisha wa kujitakia

NIPO kazini, mfanyakazi mwenzangu ananiletea kadi ya kuomba mchango wa harusi ya mdogo wake. Papo hapo nakumbuka siku hiyo ndiyo ya mwisho ya kuwasilisha michango kwa ajili ya sherehe ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana waishi vyooni kwa ugumu wa maisha

VIJANA wanne wakazi wa mji wa O’murushaka, Kata ya Bugene, wilayani Karagwe, wanaishi kwenye vyoo vya huduma vya wasafiri vilivyopo katika mji  huo kwa miezi sita sasa kwa madai ya...

 

11 years ago

Habarileo

'Bei mpya ya umeme chanzo cha ugumu wa maisha'

WAKAZI wa Mji wa Sumbawanga wamelalamikia bei mpya ya umeme kwamba imechangia ugumu wa maisha kwao kutokana na vitu vingi kupanda gharama.

 

11 years ago

GPL

TUNA MUDA WA KUTOSHA KUJADILI MAISHA?

NI  matumaini yangu kuwa wote ni wazima wa afya njema na mnaendelea vizuri na mihangaiko ya kila siku ya maisha. Ni wakati mwingine tena tunakutana kujadili mambo yetu ya mapenzi na maisha. Leo nina jambo moja la msingi ambalo ningependa kujadili kwa pamoja, wakati huu tunapokaribia kumaliza mwaka na kuukaribisha mwingine. Najua wazazi wengi hiki ni kipindi cha maumivu kwa vile tutalazimika kutumia fedha kwa ajili ya kuandaa...

 

10 years ago

Michuzi

KIKONGWE WA MIAKA 76 AAMUA KUJITENGENEZEA JENEZA LAKE MWENYEWE KWA SABABU YA UGUMU WA MAISHA

Bi Scholastika Mhagama akiwa katika mlango wa nyumba yake. ---------------------Na Oswald Ngonyani wa demashonews - Peramiho.Wahenga walisema ‘Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni;’ Jamii inazidi kujawa na chuki na ukatili ndani yake, imekuwa kawaida siku hizi kusikia fulani kamuua fulani kwa kisa kisichokuwa na maana.
Maalbino wanakatwa viungo vyao kwa visingizio vya kupata utajiri kwa watu wasiokuwa na huruma, watoto wadogo wananyimwa haki zao na kuwekwa ndani ya maboksi na wengine...

 

10 years ago

Mwananchi

Wadai rasilimali walizonazo haziendani na maisha yao.

Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro mkoani hapa umesema pamoja na hifadhi ya Bonde la Ngorongoro kutajwa kama urithi wa dunia, wakazi wa wilaya hiyo bado wanaishi katika lindi la umaskini.

 

9 years ago

StarTV

Maisha bora uzeeni  Wazee wengi nchini walalamikia kutelekezwa

Licha ya Serikali na wadau mbalimbali kuweka mikakati ya kuwahudumia wazee kwa kuwapatia pensheni, mazingira bora ya makazi na matibabu, wazee wengi nchini wanakabiliwa na matatizo mengi ambayo yanadaiwa kuwakatisha tamaa kutokana na kutelekezwa na kutothamini na jamii licha ya kulitumikia Taifa wakati wa ujana wao.

Kilio kikubwa cha wazee hao ni kutokupata huduma au usaidizi pindi wanapopata matatizo.

Baadhi ya Wazee wengi nchini hasa waishio vijijini bado wanakabiliwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani