Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ILIKUWA NISHEEDAH

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

11 years ago

Habarileo

Mwakyembe- Reli ilikuwa ICU

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema bajeti ya wizara hiyo ya mwaka 2014/15 iliyopitishwa juzi bungeni, itaifanya reli ianze kukimbia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ilikuwa ajali au ndege ilidunguliwa?

Ndege ya Malaysia iliyoanguka Alhamsi ilikuwa imewabeba abiria 298.Inadaiwa kudunguliwa na wapiganaji wa Ukraine

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wassira: Operesheni Tokomeza ilikuwa na madhara

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) na Mbunge wa Bunda, Steven Wassira, amefunguka na kusema kuwa hakuna mtu yeyote serikalini mwenye akili timamu anayeweza kukubali kuwa Operesheni...

 

10 years ago

GPL

DAKTARI: MBONI MASIMBA ILIKUWA AFE

Imelda mtema
Mtangazaji mahiri wa Kipindi cha The Mboni Show kinachorushwa kupitia Televisheni ya Taifa ya TBC1, Mboni Masimba, amejikuta akiangua kilio kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar, alipotembelea wodi ya wazazi na kusimulia jinsi ambavyo daktari alimweleza kuwa ilikuwa kiduchu tu afe wakati wa kujifungua hivi karibuni. Mtangazaji mahiri wa Kipindi cha The Mboni Show,  Mboni Masimba akihojiwa katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Air France: 'Bomu' ilikuwa bandia

Mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege la Air France amefutilia mbali tahadhari ya bomu iliyosababisha ndege ya kutua Kenya kuwa ni ya uongo

 

10 years ago

Mwananchi

Mwandosya: Kumkejeli Warioba ilikuwa mbinu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais asiye na Wizara Maalumu, Profesa Mark Mwandosya amesema kutumia lugha ya kejeli dhidi ya mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ilikuwa mbinu ya kupata ushindi katika majadiliano wakati wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

LIVERPOOL, ARSENAL ILIKUWA SHUGHULI PEVU

KOCHA wa Liverpool, Brendan Rodgers, akiteta jambo na nahodha wake Steven Gerrard, katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Arsenal uliochezwa juzi usiku Uwanja wa Anfield. Timu hizo zilitoka sere ya mabao 2-2.
MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Danny Welbeck, akiruka juu kumpongeza, Olivier Giroud, aliyefunga bao na Alex Oxlade-Chamberlain (kulia) katika mchezo dhidi ya Liverpool.
BEKI wa Liverpool, Martin Skrtel, akipata huduma ya kwanza baada ya kugongana na Olivier Giroud wa Arsenal katika mchezo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani