DAKTARI: MBONI MASIMBA ILIKUWA AFE
![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTtQjhT*uF-GLXusN-I-nCKsEMEdxUcmKlEPoOeOCoHafRKrHYykV2RAJ6**O*cf4HYV--l9sfarS1zIkCzgHQY/Mboni.jpg)
Imelda mtema Mtangazaji mahiri wa Kipindi cha The Mboni Show kinachorushwa kupitia Televisheni ya Taifa ya TBC1, Mboni Masimba, amejikuta akiangua kilio kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar, alipotembelea wodi ya wazazi na kusimulia jinsi ambavyo daktari alimweleza kuwa ilikuwa kiduchu tu afe wakati wa kujifungua hivi karibuni. Mtangazaji mahiri wa Kipindi cha The Mboni Show, Mboni Masimba akihojiwa katika...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen23 May
Mboni Masimba: These have been two great years
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci1TT5cFl56dlDk2d5yavsfQKELQ2bTbUtO0svjWyS2zABBo8Z9OYafBF78lR2RW6sWVPckMnMXP859AxoSGHrk0/Mboni.jpg?width=650)
MIMBA YAMPA NEEMA MBONI MASIMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3ZeaFhK1DP8dc3SfLA4nJjEDTX-I8fgT6sNmivlf-ZsrHA1kk1AaPKSE*5yxtXS3bxldgDOY5P7FZWvnKm6aYh/4.gif?width=650)
MBUZI AVISHWA KANGA, APELEKEWA MBONI MASIMBA
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Ngoma ya Profesa Jay ‘inayowaliza’ Lady Jaydee, Mboni Masimba
MOJA ya vibao gumzo katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini kwa sasa ni ‘Kipi Sijasikia’, cha mkali wa Hip Hop Afrika Mashariki na Kati, Joseph Haule ‘Profesa Jay’...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dbtllyoZL6DkY-OR4mfdO3Dc*LKabmYWKyO*vyQqKkkRZpsufESGgjUUo--Fm9RACXjucEYF2ET1rNE0PwsRgFj/TITO.jpg?width=650)
AJALI YA PIKIPIKI, TITO ILIKUWA AFE
9 years ago
Bongo Movies21 Nov
Mafufu: Hata Afe Ray Sitamzika
HATARI! Mkongwe wa Bongo Movies, Jimmy Mafufu ameonesha hisia kali baada ya kutoa kiapo kuwa hatahudhuria msiba wa msanii yeyote, hata afe Vincent Kigosi ‘Ray’ kufuatia wasanii kutompa ushirikiano wakati wa kifo na mazishi ya marehemu baba yake mzazi, Mchungaji Mafufu.
Akizungumza na gazeti hili kwa uchungu, Mafufu alisema hivi karibuni alifiwa na baba yake mzazi lakini aliumizwa sana baada ya kupigiwa simu ya pole na wasanii wawili tu, wakati yeye muda wote alijitoa kwenye misiba ya...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Spika Makinda ulitaka afe nani?
KATIKA Biblia takatifu, kitabu cha Mhubiri 3:1-2 kinasema kila jambo lina majira yake, wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu, wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa. Nimelazimika kulijadili andiko...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo6H5ZG64yCbDkv8OvcGWOIn-HGkw6ZehzCZTbLJPhGwyYdFQF8YTbAnPDEGMX7pJh4-ttz9os1h6eyIi7sFCGlX/fghhhh.gif?width=650)
MAMA LULU ATAMANI MWANAYE AFE TU!