MBUZI AVISHWA KANGA, APELEKEWA MBONI MASIMBA
![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3ZeaFhK1DP8dc3SfLA4nJjEDTX-I8fgT6sNmivlf-ZsrHA1kk1AaPKSE*5yxtXS3bxldgDOY5P7FZWvnKm6aYh/4.gif?width=650)
HAMIDA HASSAN KATIKA hali ya kustaajabisha, Mtangazaji wa Kipindi cha The Mboni Show kinachoruka katika Runinga ya TBC1, Mboni Masimba alipigwa na butwaa baada ya kuzawadiwa mbuzi aliyefungwa kanga kwenye sherehe ya Maulid.Tukio hilo la aina yake lilijiri juzikati nyumbani kwa mtangazaji huyo Masaki jijini Dar ambapo Mboni alipokuwa akimfanyia sherehe hiyo mwanaye, Prince Milan aliyekuwa akitimiza siku arobaini tangu kuzaliwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq1*MWpKfqv664o12u9s7rwHyOUIxEdz2E5TkkSpZEkYLL*hSI-mrOI5mZ6rl6PN7K*uQefp27N4pxOEPJNRcoYb-/kangaa.jpg?width=650)
NJEMBA AVISHWA KANGA, ATEMBEZWA MTAANI
11 years ago
TheCitizen23 May
Mboni Masimba: These have been two great years
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTtQjhT*uF-GLXusN-I-nCKsEMEdxUcmKlEPoOeOCoHafRKrHYykV2RAJ6**O*cf4HYV--l9sfarS1zIkCzgHQY/Mboni.jpg)
DAKTARI: MBONI MASIMBA ILIKUWA AFE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci1TT5cFl56dlDk2d5yavsfQKELQ2bTbUtO0svjWyS2zABBo8Z9OYafBF78lR2RW6sWVPckMnMXP859AxoSGHrk0/Mboni.jpg?width=650)
MIMBA YAMPA NEEMA MBONI MASIMBA
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Ngoma ya Profesa Jay ‘inayowaliza’ Lady Jaydee, Mboni Masimba
MOJA ya vibao gumzo katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini kwa sasa ni ‘Kipi Sijasikia’, cha mkali wa Hip Hop Afrika Mashariki na Kati, Joseph Haule ‘Profesa Jay’...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tRsR99W*6iNkVRYp2AhbHUSsAtA1-olZSzmKx4c8nuDiBS3u7qmhmLbWsJvFdBYKlmqrczlm1sTDCLncHiQ0fB8/lulu.jpg)
LULU APELEKEWA BARUA YA UCHUMBA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z5cprvMqfw4/Vaul3p01mgI/AAAAAAAB-6w/_XOM3U0gLGA/s72-c/DSC_0050.jpg)
FILIKUNJOMBE APELEKEWA FOMU YA UBUNGE NYUMBANI KWAKE , MWENYEWE AMPONGEZA JK ASEMA DR MAGUFULI ATEGEMEE KURA ZA KISHINDO LUDEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-z5cprvMqfw4/Vaul3p01mgI/AAAAAAAB-6w/_XOM3U0gLGA/s640/DSC_0050.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sJaYI_pWeJo/Vaul76fG3rI/AAAAAAAB-64/X8JxAq2i570/s640/DSC_0053.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w68zdxxLVGw/Vaul9BnPH1I/AAAAAAAB-7A/c3vO8J0puQ0/s640/DSC_0062%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GUHOBPHcxIQ/VaumKB7c4GI/AAAAAAAB-7Q/vFjt0qOeesI/s640/DSC_0074.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YLaeso7tISAEFhGnA0CF-8ZruaIQHuNgzHxvpLfeAiCs*rD*UEk8NWDhS-lEvaJwjOUCn0*S7iaBIVKMD8MArCe3c1wQlHbH/moko.jpg)
KANGA MOKO KAMA KAWA
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Huddah Monroe avishwa pete ya uchumba
Nairobi, Kenya
MREMBO kutoka nchini Kenya, Huddah Monroe, ameanza kuionesha pete ya uchumba aliyovishwa wiki iliyopita.
Mwanamitindo huyo mwenye umaarufu mkubwa nchini humo, ameamua kuvunja ukimya wake na kuionesha pete hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram.
“Kila kitu kipo wazi, lakini muda ukifika watu watamjua nani aliyenivisha pete hii, lakini kwa sasa watu wanatakiwa wajue nina pete ya uchumba.
“Kwa sasa naweza kusema sihitaji usumbufu kutoka kwa mwanamume yeyote, huu ni muda wangu wa...