Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUZI AVISHWA KANGA, APELEKEWA MBONI MASIMBA

HAMIDA HASSAN KATIKA hali ya kustaajabisha, Mtangazaji wa Kipindi cha The Mboni Show kinachoruka katika Runinga ya TBC1, Mboni Masimba alipigwa na butwaa baada ya kuzawadiwa mbuzi aliyefungwa kanga kwenye sherehe ya Maulid.Tukio hilo la aina yake lilijiri juzikati nyumbani kwa mtangazaji huyo Masaki jijini Dar ambapo Mboni alipokuwa akimfanyia sherehe hiyo mwanaye, Prince Milan aliyekuwa akitimiza siku arobaini tangu kuzaliwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NJEMBA AVISHWA KANGA, ATEMBEZWA MTAANI

Stori: Mayasa Mariwata na Denis Mtima
OMBA usifumaniwe! Jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Salum Athuman (22), amejikuta akivishwa khanga na kutembezwa mitaani baada ya kwenda nyumbani kwa mwanaume mwenzake, Dastun Mkereti (26) kwa lengo la kujivinjari na mke wa mtu, Stela Ramadhan (20), akafumaniwa. Tukio hilo lililofunga mitaa lilijiri maeneo ya Temeke, Dar, hivi karibuni na kugeuka sinema ya bure.
Kama ilivyo ada, kikosi...

 

11 years ago

TheCitizen

Mboni Masimba: These have been two great years

>It has been two years since ‘The Mboni Show’ first premiered on East Africa TV and since then it has continued to woo more viewers into its fan base.

 

10 years ago

GPL

DAKTARI: MBONI MASIMBA ILIKUWA AFE

Imelda mtema
Mtangazaji mahiri wa Kipindi cha The Mboni Show kinachorushwa kupitia Televisheni ya Taifa ya TBC1, Mboni Masimba, amejikuta akiangua kilio kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar, alipotembelea wodi ya wazazi na kusimulia jinsi ambavyo daktari alimweleza kuwa ilikuwa kiduchu tu afe wakati wa kujifungua hivi karibuni. Mtangazaji mahiri wa Kipindi cha The Mboni Show,  Mboni Masimba akihojiwa katika...

 

10 years ago

GPL

MIMBA YAMPA NEEMA MBONI MASIMBA

NA Mwandishi wetu UJAUZITO alionao Mkurugenzi wa The Mboni  Show, Mboni Masimba umeonekana kumpa neema kwani amepata bahati ya kupata udhamini mkubwa wa kipindi chake kutoka kwa mfuko wa hifadhi ya jamii (PSPF) pamoja na kuhamishia kipindi chake TBC 1 ambacho kitarushwa rasmi kuanzia tarehe 2 mwaka huu. Mkurugenzi wa The Mboni  Show, Mboni Masimba. Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Habari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngoma ya Profesa Jay ‘inayowaliza’ Lady Jaydee, Mboni Masimba

MOJA ya vibao gumzo katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini kwa sasa ni ‘Kipi Sijasikia’, cha mkali wa Hip Hop Afrika Mashariki na Kati, Joseph Haule ‘Profesa Jay’...

 

10 years ago

GPL

LULU APELEKEWA BARUA YA UCHUMBA

Stori: waandishi wetu
STAA ndani ya Tasnia ya Filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amepelekewa barua ya uchumba kutoka kwa mfanyabiashara mmoja jijini Dar na kumfanya mama mzazi wa Lulu, Lucresia Karugila abaki ameshangaa.Tukio hilo lilitendeka Januari 8, mwaka huu, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam ambako ndiko yaliko makazi ya Lulu na mama yake huyo. Mshenga anayefahamika kwa jina moja la Isaya akipeleka posa...

 

10 years ago

Michuzi

FILIKUNJOMBE APELEKEWA FOMU YA UBUNGE NYUMBANI KWAKE , MWENYEWE AMPONGEZA JK ASEMA DR MAGUFULI ATEGEMEE KURA ZA KISHINDO LUDEWA

Msafara  wa  vijana wa Boda  boda  zaidi ya 300  waliowasindikiza  wazee wa Ludewa kumchukulia  fomu  mbunge  Deo FilikunjombeWazee  wakimpoelekea  fomu ya ubunge Deo Filikunjombe nyumbani kwake  kwa maandamanoSafari  ya  kuelekea  nyumbani kwa Filikunjombe kukabidhi fomu ya ubunge.Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa  Deo Filikunjombe  akipokea  fomu  kutoka kwa  wazee  na vijana  waliomchukulia na kwenda  kumkabidhi nyumbani kwake Ibani mjini  Ludewa. Kwa taarifa kamili na picha zaidi BOFYA...

 

10 years ago

GPL

KANGA MOKO KAMA KAWA

Stori:  Erick Evarist na Musa Mateja
MIEZI michache kufuatia tamko la serikali  kuzuia ngoma zinazokesha maarafu kama Kanga Moko kwa kukiuka maadili, imebainika kuwa ngoma hizo zinaendelea kufanya mambo kama kawa kana kwamba hazijakatazwa, Ijumaa limeshuhudia. Baadhi ya wadada wakicheza ngoma ya kibao kata wakiwa ndani ya kanga moja. Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili juzikati umebaini kuwa ngoma hizo ambazo wanawake...

 

9 years ago

Mtanzania

Huddah Monroe avishwa pete ya uchumba

Huddah-Monroe-Image-from-izvipiNairobi, Kenya

MREMBO kutoka nchini Kenya, Huddah Monroe, ameanza kuionesha pete ya uchumba aliyovishwa wiki iliyopita.

Mwanamitindo huyo mwenye umaarufu mkubwa nchini humo, ameamua kuvunja ukimya wake na kuionesha pete hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram.

“Kila kitu kipo wazi, lakini muda ukifika watu watamjua nani aliyenivisha pete hii, lakini kwa sasa watu wanatakiwa wajue nina pete ya uchumba.

“Kwa sasa naweza kusema sihitaji usumbufu kutoka kwa mwanamume yeyote, huu ni muda wangu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani