MIMBA YAMPA NEEMA MBONI MASIMBA
![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci1TT5cFl56dlDk2d5yavsfQKELQ2bTbUtO0svjWyS2zABBo8Z9OYafBF78lR2RW6sWVPckMnMXP859AxoSGHrk0/Mboni.jpg?width=650)
NA Mwandishi wetu UJAUZITO alionao Mkurugenzi wa The Mboni Show, Mboni Masimba umeonekana kumpa neema kwani amepata bahati ya kupata udhamini mkubwa wa kipindi chake kutoka kwa mfuko wa hifadhi ya jamii (PSPF) pamoja na kuhamishia kipindi chake TBC 1 ambacho kitarushwa rasmi kuanzia tarehe 2 mwaka huu. Mkurugenzi wa The Mboni Show, Mboni Masimba. Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Habari...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen23 May
Mboni Masimba: These have been two great years
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTtQjhT*uF-GLXusN-I-nCKsEMEdxUcmKlEPoOeOCoHafRKrHYykV2RAJ6**O*cf4HYV--l9sfarS1zIkCzgHQY/Mboni.jpg)
DAKTARI: MBONI MASIMBA ILIKUWA AFE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3ZeaFhK1DP8dc3SfLA4nJjEDTX-I8fgT6sNmivlf-ZsrHA1kk1AaPKSE*5yxtXS3bxldgDOY5P7FZWvnKm6aYh/4.gif?width=650)
MBUZI AVISHWA KANGA, APELEKEWA MBONI MASIMBA
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Ngoma ya Profesa Jay ‘inayowaliza’ Lady Jaydee, Mboni Masimba
MOJA ya vibao gumzo katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini kwa sasa ni ‘Kipi Sijasikia’, cha mkali wa Hip Hop Afrika Mashariki na Kati, Joseph Haule ‘Profesa Jay’...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfCSFIsjC-HkN4PnkITv2ZBga2OREaooyR95rXiJaxLD9RNhNk1bDKD3D41H0cX68DxtigQng*0oAlYOCOxlf0SA/ghfhfh.gif?width=650)
MIMBA YA ZARI YAMPA MAMILIONI DIAMOND
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s72-c/wema%2B%284%29.jpg)
NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s640/wema%2B%284%29.jpg)
Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...
10 years ago
GPLTHE MBONI SHOW KUHAMIA TBC 1
10 years ago
MichuziMBONI SHOW YA EATV YAHAMIA TBC
Mkurugenzi wa Mboni Show,Mboni Masimba ameamua kuhamishia kipindi cha Mboni show katika kituo cha utangazaji cha Taifa (TBC) kutoka EATV ili kuvutia watazamaji wengi na wapya kwa wazee pamoja na vijana.
Kipindi cha Mboni Show kitaanza kurushwa TBC kuanzia January 2 mwaka 2015 siku ya Ijumaa saa 3 Usiku-4Usiku na marudio Jumanne saa 9:00 mchana-10:00mchana.
Akizungumza na waandishi wa habari,mapema leo...