INDONESIA YAWAPIGA RISASI WATUHUMIWA 8 WA DAWA ZA KULEVYA
![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS7L67BbawUJaLo*Ja3etoXh5HkRxSJqSqEhTRZ*CZXG1NLNcbMKPJ3hIgynWMDNylU5QeEP4evohWuFaZO5oB3*/1majeneza.jpg)
Majeneza yenye miili ya watuhumiwa nane wa madawa ya kulevya baada ya kuuawa kwa kupigwa risasi. Viongozi wa Kundi la Bali Nine, Andrew Chan na Myuran Sukumaran nao ni miongoni mwa waliopigwa risasi usiku wa manane. Waombolezaji wakimzika Zainal Abidin raia wa Indonesia katika eneo la Cilacap leo.…
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DXmDe47d_XM/XqLa9O-sjKI/AAAAAAALoDQ/oQZzqU6hEk0Z6c89lfER-lrWsC351SHHwCLcBGAsYHQ/s72-c/0f9044bf-f641-4cb0-a698-3d401ff65aea.jpg)
Watuhumiwa watatu akiwemo raia wa Nigeria wa Dawa za kulevya wapadishwa kizimbani kisutu leo
Mbali na Chukwu washtakiwa wengine ni Isso Lupembe 49 mkazi wa Mbezi Luis na Allistair Mbele 38 anayeishi Mbezi Kibanda cha Mkaa.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na mawakili wa serikali waandamizi , Veronika Matikila, na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-SMaREi8F-VE/VTdksjpG7MI/AAAAAAAAbWc/6PPo7mQ8TK4/s72-c/1.jpg)
Wapakistan 12 Wanaokabiliwa na Kesi ya Kusafirisha Dawa za Kulevya Wameomba Wapigwe Risasi Baada ya Kesi yao Kuzungushwa Kisutu ‪
![](http://2.bp.blogspot.com/-SMaREi8F-VE/VTdksjpG7MI/AAAAAAAAbWc/6PPo7mQ8TK4/s640/1.jpg)
Wengine ni Buksh Mohamed,...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj1eDc2qjV2-YAmKqXN80YoyJ9Y*TaMIuejEet07omiwuQBynmpl8zl9AgKn5buNrzws1ULj9pvHDVKaLwFymP0i/BREAKINGNEWS.gif)
MAJAMBAZI YAWAPIGA RISASI WACHINA NA KUWAPORA FEDHA
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Adhabu kali si dawa ya dawa za kulevya
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Idadi ya Watuhumiwa shehena za risasi yaongezeka
10 years ago
GPLWATUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA MWAKA 2010 WATINGA KISUTU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3NbJVMfCSkU2uJKVU0JO5vnGlpoo8UY14H8x7fUoU4CfxiAvEJ93UP9aZnJ-j1IJaZsQVqtWJUMlNLvGbTkbf1T/2.jpg)
VIGOGO SAKATA LA 'BALI NINE' KUPIGWA RISASI KESHO NCHINI INDONESIA