Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Infinix KUIPAMBA VALENTINE KWA UZINDUZI DUKA LA PILI LA KISASA-Infinix Smart Hub


KATIKA Kusheherekea sikukuu ya wapendanao, kampuni ya simu, Infinix Mobile Tanzania imezindua rasmi duka Jipya, maarufu kama Infinix Smart Hub, lililopo China Plaza Kariakoo. Hili ni duka la pili la kuzinduliwa na kampuni hiyo huku lengo kuu ni kuwafikia wateja wake kwa urahisi zaidi.Katika uzinduzi huo Afisa wa mahusiano wa kampuni ya simu ya Infinix, Aisha Karupa amevieleza vyombo vya habari kuwa, “Infinix imejipanga vizuri katika kutoa huduma iliyo bora zaidi kwa wateja wetu wa maeneo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

INFINIX KUJA NA BIGI MAKINI, INFINIX NOTE 7

KAMPUNI pendwa ya simu Tanzania, Infinix Mobility iko mbioni kuleta simu yenye hadhi ya juu-NOTE 7 na kupewa jina la BIGI MAKINI kutokana na kioo chake kuwa na size kubwa 6.95inch na uwezo mkubwa wa camera 48MP na processor ya G70 kutoka Mediatek.
Processor yenye speed ya G70 inauwezo mkubwa wenye kuwezesha matumizi mbali mbali kwa wakati mmoja bila kuchoka, NOTE 7 inatumia OS mpya kutoka Google, Android 10. Simu hii haitazinduliwa rasmi kama utaratibu wao ulivyozoeleka lakini kupitia...

 

5 years ago

Michuzi

AY ALA SHAVU LA INFINIX NOTE 7 (BIGI MAKINI)

MSANII Mkongwe katika industry ya muziki, "AY" anayetamba na kibao cha Danhela ala shavu la Ubalozi wa simu mpya ya Infinix NOTE 7.Kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii, @infinixmobiletz waliweka viashiria vya ubalozi huo wiki iliyopita na siku ya Jumamosi, Mei 9 walithibitisha ubalozi huo kupitia LIVE Session ya Instagram iliyo onyesha wawakilishi wa Infinix wakifanya mazungumzo na AY kuhusiana na simu ya Infinix NOTE 7.Infinix NOTE 7 imepewa jina la Bigi Makini, na ndio sababu kuu...

 

5 years ago

Michuzi

Infinix S5PRO KUTUA NA SIFA MPYA BONGO

Eti Infinix S5pro kuja na sifa tofauti? Kuna madai kwamba Infinix S5pro imechelewa kufika katika soko la Bongo chanzo kikijulikana kama janga la CORONA, na katika kuleta sawa bana ya wateja wa Infinix, Kampuni ya simu ya Infinix imeona si vyema endapo wadau wa Infinix Bongo kupokea Infinix S5pro yenye sifa sawa na zilizopo sokoni kwa sasa nchini India na Pakistani.
Lakini vile vile chanzo chetu kimesema vionjo vilivyofanyiwa kazi kwenye Infinix S5pro vimetokana na comment za wateja kupitia...

 

5 years ago

Michuzi

TEKNOLOJIA MURUA, IFAHAMU INFINIX S5pro YENYE SELFIE YA JUU

TEKNOLOJIA  inaendelea kukua kwa kasi katika uzalishaji wa simu janja na Infinix Imethibitisha hili kupitia toleo jipya la Infinix S5pro iliingia sokoni mapema mwezi huu. Infinix S5pro ni simu ya kwanza kwa kampuni ya Infinix kuwa na teknlojia ya pop up camera.
 Fahamu mengi zaidi ya Infinix S5pro;Simu hizi zina RAM zenye ukubwa tofauti wa 4GB na 6GB hivyo itakuwezesha kufungua programu au kufanya mambo mbalimbali kwa wakati mmoja bila kukwama kwama, na uwezo wake wa kuhifadhi taarifa (video,...

 

5 years ago

GSMArena.Com

Infinix S5 Pro goes official: Helio P35 SoC, 48MP triple camera, and notchless display - GSMArena.com news

Infinix S5 Pro goes official: Helio P35 SoC, 48MP triple camera, and notchless display - GSMArena.com news  GSMArena.comInfinix S5 Pro with 16MP pop-up selfie camera launched: price, specifications  91mobilesView Full coverage on Google News

 

5 years ago

GSMArena.Com

Infinix Note 7 and Note 7 Lite bring days of battery life - GSMArena.com news

Infinix Note 7 and Note 7 Lite bring days of battery life - GSMArena.com news  GSMArena.comInfinix Note 7 and Note 7 Lite announced; Specifications, features and price  gizmochinaInfinix S5 Pro: Specs, Features, and Price in Nigeria  DignitedInfinix Note 7, Note 7 Lite With 5,000mAh Battery Launched: Specs, Features and More  News18Infinix Note 7, Infinix Note 7 Lite Listed on Official Site Ahead of Launch: Specifications, Features  Gadgets 360View Full coverage on Google...

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yafungua duka la kisasa Mwanza

 Mrakibu mwandamizi wa polisi  mkoa wa Mwanza SSP  Christopher Cyprian Fuime,  akikata utepe kuzindua duka la Airtel Mwanza mara baada ya matengenezo na kulifanya duka hilo kuwa la kisasa, pembeni yake ni Mkuu wa kitengo cha huduma za wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba akiwa pamoja na wafanyakazi wa Airtel Mwanza. Uzinduzi huu umefanyika mwisho mwa wiki hii
 Mkuu wa kitengo cha huduma za wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba (kulia) akimwonyesha mgeni rasmi Mrakibu mwandamizi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Airtel yazindua Duka la kisasa Dar

Kampuni ya Airtel imekarabati duka lake lililopo Mlimani City na tayari imelizindua likiwa na mwonekano wa kisasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani