Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TEKNOLOJIA MURUA, IFAHAMU INFINIX S5pro YENYE SELFIE YA JUU

TEKNOLOJIA  inaendelea kukua kwa kasi katika uzalishaji wa simu janja na Infinix Imethibitisha hili kupitia toleo jipya la Infinix S5pro iliingia sokoni mapema mwezi huu. Infinix S5pro ni simu ya kwanza kwa kampuni ya Infinix kuwa na teknlojia ya pop up camera.
 Fahamu mengi zaidi ya Infinix S5pro;Simu hizi zina RAM zenye ukubwa tofauti wa 4GB na 6GB hivyo itakuwezesha kufungua programu au kufanya mambo mbalimbali kwa wakati mmoja bila kukwama kwama, na uwezo wake wa kuhifadhi taarifa (video,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Infinix S5PRO KUTUA NA SIFA MPYA BONGO

Eti Infinix S5pro kuja na sifa tofauti? Kuna madai kwamba Infinix S5pro imechelewa kufika katika soko la Bongo chanzo kikijulikana kama janga la CORONA, na katika kuleta sawa bana ya wateja wa Infinix, Kampuni ya simu ya Infinix imeona si vyema endapo wadau wa Infinix Bongo kupokea Infinix S5pro yenye sifa sawa na zilizopo sokoni kwa sasa nchini India na Pakistani.
Lakini vile vile chanzo chetu kimesema vionjo vilivyofanyiwa kazi kwenye Infinix S5pro vimetokana na comment za wateja kupitia...

 

5 years ago

Michuzi

Infinix KUIPAMBA VALENTINE KWA UZINDUZI DUKA LA PILI LA KISASA-Infinix Smart Hub


KATIKA Kusheherekea sikukuu ya wapendanao, kampuni ya simu, Infinix Mobile Tanzania imezindua rasmi duka Jipya, maarufu kama Infinix Smart Hub, lililopo China Plaza Kariakoo. Hili ni duka la pili la kuzinduliwa na kampuni hiyo huku lengo kuu ni kuwafikia wateja wake kwa urahisi zaidi.Katika uzinduzi huo Afisa wa mahusiano wa kampuni ya simu ya Infinix, Aisha Karupa amevieleza vyombo vya habari kuwa, “Infinix imejipanga vizuri katika kutoa huduma iliyo bora zaidi kwa wateja wetu wa maeneo...

 

5 years ago

Michuzi

INFINIX KUJA NA BIGI MAKINI, INFINIX NOTE 7

KAMPUNI pendwa ya simu Tanzania, Infinix Mobility iko mbioni kuleta simu yenye hadhi ya juu-NOTE 7 na kupewa jina la BIGI MAKINI kutokana na kioo chake kuwa na size kubwa 6.95inch na uwezo mkubwa wa camera 48MP na processor ya G70 kutoka Mediatek.
Processor yenye speed ya G70 inauwezo mkubwa wenye kuwezesha matumizi mbali mbali kwa wakati mmoja bila kuchoka, NOTE 7 inatumia OS mpya kutoka Google, Android 10. Simu hii haitazinduliwa rasmi kama utaratibu wao ulivyozoeleka lakini kupitia...

 

10 years ago

Bongo5

Teknolojia: Ifahamu Smartphone ya kwanza duniani ‘IBM Simon’ inayotimiza miaka 20 (picha)

Naamini ni wengi wanaomiliki simu za kisasa ‘smartphones’ ambazo zinaendana na teknolojia ya sasa iliyozidi kurahisisha maisha ya mwanadamu kupitia simu hiyo ya kiganjani. Lakini yawezekana si wote ambao wanaifahamu ‘smartphone’ ya kwanza kuingia sokoni. Smartphone ni nini? Ni simu ya mkononi ambayo inauwezo wa kufanya mambo mengi yanayofanywa na kompyuta. Smartphone ya kwanza IBM […]

 

11 years ago

Michuzi

Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana

Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wamekutana kwa semina ya siku mbili mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia pamoja na mambo mengine; masuala ya nafasi na wajibu wa kisheria wa vyama vya wafanyakazi katika kuleta tija na ufanisi sehemu za kazi.   Akifungua semina hiyo ya siku mbili kwa wanachama wa RAAWU tawi la HESLB, Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YANUNUA MASHINE MPYA YA CT-SCAN KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI YENYE UWEZO WA HALI YA JUU

Na Magreth Kinabo –MAELEZO.
Serikali imenunua mashine  mpya ya CT-Scan yenye thamani ya  takriban dola  za Marekani milioni 1.7  yenye uwezo wa hali ya juu kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali  katika Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili(MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam.
 Ununuzi wa mashine hiyo, umefanyika kufuatia agizo la Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyoifanya hivi karibuni ambapo aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuboresha...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA 10 YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA VYUO VYA ELIMU YA JUU NCHINI.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuashiria kufungua  rasmi Maonesho ya 10 ya Sayansi ya Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea kwenye Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es Salaam.  Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi leo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa mvumbuzi wa mashine ya kuchujia maji safi, Dkt....

 

5 years ago

Michuzi

AY ALA SHAVU LA INFINIX NOTE 7 (BIGI MAKINI)

MSANII Mkongwe katika industry ya muziki, "AY" anayetamba na kibao cha Danhela ala shavu la Ubalozi wa simu mpya ya Infinix NOTE 7.Kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii, @infinixmobiletz waliweka viashiria vya ubalozi huo wiki iliyopita na siku ya Jumamosi, Mei 9 walithibitisha ubalozi huo kupitia LIVE Session ya Instagram iliyo onyesha wawakilishi wa Infinix wakifanya mazungumzo na AY kuhusiana na simu ya Infinix NOTE 7.Infinix NOTE 7 imepewa jina la Bigi Makini, na ndio sababu kuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani