INSTAGRAM PARTY KESHO ESCAPE 1
![](http://2.bp.blogspot.com/-dSewJs-HuyU/VlggQvd4lAI/AAAAAAAIIlw/Z1fl2YREVb0/s72-c/5aef2210-8bd7-4e31-a9f4-8555303b9a2b.jpg)
Tommorow ndio Kesho,raia wooote wa Instagram kukutana Sehemu moja tu Escape 1 kwenye Sikukuu yetu kubwa kabisa ya Instagram Party ikiwa na theme ya #BongoThrowBack mwendo wa Bongo fleva za miaka hiyo(Zile za kuamsha hisia na kukukumbusha matukio flani flani hivi) Usikose kukutana na uliemfollow,aliekufollow,Crush wako,Celebrities wa kipindi hicho na Sasa na watu kibao unaowakubali. Mtonyo ni 10,000 kawaida na 50,000 VIPz.📷📻🙌🏽
Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic ideaz, Fred Ngimba akifafanua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Nov
Instagram Party kufanyika Jumamosi hii, Escape One Mikocheni, Dar
![Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk-300x194.jpg)
KAMPUNI ya Freconic Ideaz, imeandaa tamasha la burudani la ‘Instagram party’ litakalofanyika Jumamosi hii maeneo ya Escape One, Mikocheni jijini Dar es Salaam likiwa na lengo la kuwakumbusha wapenzi wa muziki, mavazi na misemo ya kizamani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic ideaz, Fred Ngimba akifafanua jambo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari Ijumaa hii katika fukwe za Escape One kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya tamasha kubwa la burudani litakalofanyika jumamosi hii tarehe 28...
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Tamasha kubwa la burudani la INSTAGRAM PARTY kufanyika Jumamosi viwanja vya Escape One Mikocheni jijini Dar
Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba.
Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha kubwa la burudani la Instagram Party litakalofanyika Jumamosi katika viwanja vya Escape One Mikocheni likiwa na kauli mbiu Bongo Throw Back. Kulia ni Meneja Mawasiliano, Krantz Mwantepele.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Freconic...
10 years ago
Dewji Blog02 May
Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan
Na Modewji blog team
Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Zari the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club, akiwa na Mshindi wa Big Brother...
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Instagram Party at Jembe Beach Mwanza!
Freconic Ideaz was pleased to organize Quarterly Party Event, which was held on October 4th, 2014 from 7:00 p.m. until 4:00 a.m. at Jembe ni Jembe aka Jembe Beach Mwanza.
The nights includes Live Musical Performances, dancing, meet and greets your fans and followers, etc.
Featured Live performances by:
Wakazi, Ben Paul, Stereo and Songa
Featured music by
Dj Vasley and Dj Dommy
Hosted by
Raheem Da Prince
Instagram is among the types of social network that allows users to share information...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AYoSw-cz_gY/VDXgyaB2SsI/AAAAAAAC8fc/khMKFl-_ZIc/s72-c/DSC_0012.jpg)
TASWIRA ZA INSTAGRAM PARTY JEMBE BEACH MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AYoSw-cz_gY/VDXgyaB2SsI/AAAAAAAC8fc/khMKFl-_ZIc/s1600/DSC_0012.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hbEtbuPJGj8/VDXg7ziX4PI/AAAAAAAC8fk/q6KZnKP_w2E/s1600/DSC_0022.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IASEA2Nwfg/VDXg8pQIDdI/AAAAAAAC8fo/L6oI-FM0hYQ/s1600/DSC_0031.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7XBkT5JGFBk/VDXg-2tlOfI/AAAAAAAC8f0/Ib1EJUZsdQg/s1600/DSC_0045.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6jtDkR3FGMU/VDXhP8uCzbI/AAAAAAAC8gE/6xsc0YnBxFY/s1600/DSC_0046.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-x9k4VQqagLQ/VDXhSpBsf9I/AAAAAAAC8gM/0tjqFcBteCY/s1600/DSC_0047.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WfZgLVXJguY/VDXhOWLCtQI/AAAAAAAC8f8/UG31J41HoG0/s1600/DSC_0052.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WaYEaSuAcMY/VDXhaUs1shI/AAAAAAAC8gU/_uCgTVXlnx8/s1600/DSC_0056.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DcmDU7YH_jE/VDXhk05DyTI/AAAAAAAC8gc/a93zCmuOfvY/s1600/DSC_0061.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mYPU2rC1F3w/VDXhnBWKt4I/AAAAAAAC8gk/6jzK6LOfvH8/s1600/DSC_0807.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KnL8XiObEck/VDXhqPeG_DI/AAAAAAAC8gs/jpzUdluZUbM/s1600/DSC_0816.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HNERRql-FD8/VDXh11WoEFI/AAAAAAAC8g0/NbGy3zs4tTI/s1600/DSC_0825.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iBCh0b-3Yk0/VDXh5Cd2uNI/AAAAAAAC8g8/UJqJaTBQTls/s1600/DSC_0905.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W0k9tf4wVjs/VDXh9Fj3dmI/AAAAAAAC8hE/2UQW3T5KLbk/s1600/DSC_0948.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--Ir99a-xZr0/VDXiDxOLOMI/AAAAAAAC8hM/0rH7MwlUOco/s1600/DSC_0954.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-F15B_oPHH4U/VDXiG-RwBTI/AAAAAAAC8hU/UycT50-FlWY/s1600/DSC_0961.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ryha2SeeVsE/VDXiM0kDvlI/AAAAAAAC8hc/SqDaf2aQlbc/s1600/DSC_0974.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YcYQ6GxJT0c/VDXiRrhxG1I/AAAAAAAC8hk/deqW0F0gF6E/s1600/DSC_0981.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-i26pcDM5Wfs/VDXiW075MkI/AAAAAAAC8hs/5EBmSMzrR7c/s1600/DSC_0997.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lHqEISVXWX0/VDXiYrfeklI/AAAAAAAC8h0/zElV-tRGuO0/s1600/DSC_1017.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Oct
Rich Mavoko kunogesha shoo ya Instagram Party Zanzibar
Na Andrew Chale
MSANII nyota nchini, Richard Martin maarufu Rich Mavoko anatarajiwa kutumbuiza kwenye shoo kali na ya aina yake ya Instagram Party Zanzibar itayofanyika ndani ya Zanzibar Beach hotel, Novemba Mosi mwaka huu.
Kwa mujibu wa wandaaji wa shoo hiyo kampuni ya Bond Entertainment, kupitia kwa msemaji wa kampuni hiyo Mackson Madoro alieleza kuwa kila kitu kipo sawa kwa ajili ya tukio hilo ambapo mpaka sasa wadau na wapenzi wa burudani wakiwemo wa ndani na nje ya Visiwa hivyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-tNvD2CVrpds/VUeGWGdfJMI/AAAAAAABNgs/njBbpki5ROo/s72-c/0.1JEMBE18.jpg)
WEMA SEPETU NA PICHA ZA INSTAGRAM PARTY JEMBE BEACH MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-tNvD2CVrpds/VUeGWGdfJMI/AAAAAAABNgs/njBbpki5ROo/s640/0.1JEMBE18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-spkNfeGD3NA/VUeGU6_ePVI/AAAAAAABNgo/y9EZYBWx5GE/s640/0.1JEMBE17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pwMbOqLT-Is/VUeGcFsDmnI/AAAAAAABNg4/_O_yxTEjUsE/s640/0.1JEMBE2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kOIQVMWAipo/VUeGchXC6xI/AAAAAAABNg8/dvD4-5MdaPM/s640/0.1JEMBE3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RjoglUD_wIU/VUeGfnDhB1I/AAAAAAABNhI/vehtZagNwTc/s640/0.1JEMBE10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EIWQ_Pdi094/VUeGi_0JEwI/AAAAAAABNhY/WqOaBt_sABw/s640/0.1JEMBE9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KEKAtyJgN4I/VUeGjtGTR1I/AAAAAAABNhc/5-FqsdPdjUM/s640/0.1JEMBE4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PO4F3Ze58kk/VUeGkA3PChI/AAAAAAABNhk/9OHfjRz1qZ4/s640/0.1JEMBE5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-53unzV3nq4U/VUeGk1Gf1_I/AAAAAAABNho/RTWEryQ6t58/s640/0.1JEMBE6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7INJeHmtLBw/VUeIZ67CJmI/AAAAAAABNh8/tpdzzc3beIw/s640/0.1JEMBE11.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-glABXA27XNQ/VUeIcg9KASI/AAAAAAABNiE/sEp2OH2jwpA/s640/0.1JEMBE15.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a6aupD2dRig/VUeIeey1qiI/AAAAAAABNiM/ofpdB5L1N8o/s640/0.1JEMBE8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g-YJJeEXYQ4/VUeIxUiSONI/AAAAAAABNi0/ilfLlTETlOc/s640/0.1JEMBE14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eVdpY-wdQ_k/VUeIjq6BS6I/AAAAAAABNic/GKFILVpYmKw/s640/0.1JEMBE7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ncDCf_MoL6Q/VUeInYrlCUI/AAAAAAABNik/z45nzqc74AQ/s640/0.1JEMBE16.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VXAJH3AQUJo/VUeIg4KcusI/AAAAAAABNiU/IwE6ArlcfQY/s640/0.1JEMBE1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qFrA9_bsz3k/VUeIrmOwW_I/AAAAAAABNis/6X1DQSLNcT8/s640/0.1JEMBE20.jpg)
10 years ago
Bongo Movies03 Jun
Wema Sepetu Awashukia Waandaaji wa Instagram Party, Kisa Malipo ya Mzee Majuto
Staa wa Bongo Movies Wema Sepetu ameamaua kuwachana wazi wazi waandaaji wa Instagram Party kwa kitendo chao cha kutomlipa pesa hadi sasa hivi staa mwenzake Mzee Majuto.
Waandaaji wa Instagram party sijawapenda kiukweli. Mpaka nimefkia hatua ya kuandika basi mjue kuwa mmenikwaza. Mlikuja kwangu na mkaniomba niwatafutie Huyu Mzee wa watu... Kwa moyo mmoja nilifanya hivyo, Iweje leo hii kashamaliza kazi msitake kumlipa hela yake... Baba wa watu katoka Tanga na nauli yake, mpaka hotel...
11 years ago
MichuziRedd's miss Kinondoni 2014 kujulikana kesho ndani ya Escape One mikocheni jijini Dar