Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


INSTAGRAM PARTY KESHO ESCAPE 1

Tommorow ndio Kesho,raia wooote wa Instagram kukutana Sehemu moja tu Escape 1 kwenye Sikukuu yetu kubwa kabisa ya Instagram Party ikiwa na theme ya #BongoThrowBack mwendo wa Bongo fleva za miaka hiyo(Zile za kuamsha hisia na kukukumbusha matukio flani flani hivi) Usikose kukutana na uliemfollow,aliekufollow,Crush wako,Celebrities wa kipindi hicho na Sasa na watu kibao unaowakubali. Mtonyo ni 10,000 kawaida na 50,000 VIPz.📷📻🙌🏽
Mkurugenzi Mtendaji  wa Freconic ideaz, Fred Ngimba akifafanua...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Instagram Party kufanyika Jumamosi hii, Escape One Mikocheni, Dar

Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk

KAMPUNI ya Freconic Ideaz, imeandaa tamasha la burudani la ‘Instagram party’ litakalofanyika Jumamosi hii maeneo ya Escape One, Mikocheni jijini Dar es Salaam likiwa na lengo la kuwakumbusha wapenzi wa muziki, mavazi na misemo ya kizamani.

Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk
Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic ideaz, Fred Ngimba akifafanua jambo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari Ijumaa hii katika fukwe za Escape One kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya tamasha kubwa la burudani litakalofanyika jumamosi hii tarehe 28...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tamasha kubwa la burudani la INSTAGRAM PARTY kufanyika Jumamosi viwanja vya Escape One Mikocheni jijini Dar


Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba.

Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha kubwa la burudani la Instagram Party litakalofanyika Jumamosi katika viwanja vya Escape One Mikocheni likiwa na kauli mbiu Bongo Throw Back. Kulia ni Meneja Mawasiliano, Krantz Mwantepele.

Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.

Na Dotto Mwaibale

KAMPUNI ya Freconic...

 

10 years ago

Dewji Blog

Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan

IMG-20150501-WA0003

Na Modewji blog team

Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na  Zari  the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake  mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo  ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club,  akiwa na Mshindi wa Big Brother...

 

10 years ago

Dewji Blog

Instagram Party at Jembe Beach Mwanza!

Freconic Ideaz was pleased to organize Quarterly Party Event, which was held on October 4th, 2014 from 7:00 p.m. until 4:00 a.m. at Jembe ni Jembe aka Jembe Beach Mwanza.

The nights includes Live Musical Performances, dancing, meet and greets your fans and followers, etc.

Featured Live performances by:

Wakazi, Ben Paul, Stereo and Songa

Featured music by

Dj Vasley and Dj Dommy

Hosted by

Raheem Da Prince

Instagram is among the types of social network that allows users to share information...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA ZA INSTAGRAM PARTY JEMBE BEACH MWANZA

Instagram Party iliyofanyika Jembe Beach Mwanza usiku wa Oct 4, 2014 na kuhudhuliwa na mashabiki wa Instagram ambapo Wakazi, Ben Paul, Stereo na Songa walifanya onesho kali huku Madi Vasley na Dommy wakifanya vitu vyao.Mashabiki wa Instagram wakipata picha ya pamoja wakati wakiwa kwenye Instgram Party iliyofanyika Jembe Beach Mwanza.Ni ukodak Moment kwa kwenda mbele ndani ya Jembe Beach Mwanza.Kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

Dewji Blog

Rich Mavoko kunogesha shoo ya Instagram Party Zanzibar

bana2

Na  Andrew Chale

MSANII nyota nchini, Richard Martin maarufu Rich Mavoko anatarajiwa kutumbuiza kwenye shoo kali na ya aina yake ya Instagram Party  Zanzibar itayofanyika ndani ya Zanzibar Beach hotel, Novemba Mosi  mwaka huu.

Kwa mujibu wa wandaaji wa shoo hiyo kampuni ya Bond Entertainment, kupitia kwa msemaji wa kampuni hiyo Mackson Madoro  alieleza kuwa kila kitu kipo sawa kwa ajili ya tukio hilo  ambapo mpaka sasa wadau na wapenzi wa burudani wakiwemo wa ndani na nje ya Visiwa hivyo...

 

10 years ago

Vijimambo

WEMA SEPETU NA PICHA ZA INSTAGRAM PARTY JEMBE BEACH MWANZA

Picha za Instagram party ya Wema Sepetu iliyofanyika Mwanza.Mambo ya Instagram party ya Wema Sepetu MwanzaPicha kwa hisani ya G Sengo Blog

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu Awashukia Waandaaji wa Instagram Party, Kisa Malipo ya Mzee Majuto

Staa wa Bongo Movies  Wema Sepetu ameamaua kuwachana wazi wazi waandaaji wa Instagram Party kwa kitendo chao cha kutomlipa pesa  hadi sasa hivi staa mwenzake Mzee Majuto.

Waandaaji wa Instagram party sijawapenda kiukweli. Mpaka nimefkia hatua ya kuandika basi mjue kuwa mmenikwaza. Mlikuja kwangu na mkaniomba niwatafutie Huyu Mzee wa watu... Kwa moyo mmoja nilifanya hivyo, Iweje leo hii kashamaliza kazi msitake kumlipa hela yake... Baba wa watu katoka Tanga na nauli yake, mpaka hotel...

 

11 years ago

Michuzi

Redd's miss Kinondoni 2014 kujulikana kesho ndani ya Escape One mikocheni jijini Dar


 Mratibu wa shindano la Redd's miss Kinondoni 2014 Innocent Melleck katikati akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar Es Salaam juu ya shindano la kanda ya kinondoni litakalofanyika katika ukumbi wa Escape One ijumaa kwa kiingilio cha 10,000 kwa viti vya kawaida na 30,000 kwa VIP huku burudani za Malaika Bend chini ya Chirstian bella na Young Suma na tayari tiketi zipo mtaani. Baadhi ya warembo wa shoto ni matroni wa kambi hiyo Husna Maulid na kulia ni Mkuu wa itifaki wa kamati ya Miss...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani