INTRODUCING NEW VIDEO: USILIE - ABRAH
![](http://img.youtube.com/vi/Q9tIuZ2O174/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi08 Sep
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Man Tuzzo aiachia ‘Usilie’
MSANII wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo Flava’, Muharami Nandule ‘Man Tuzzo, anayefanyia muziki wake visiwani Zanzibar anakotamba na kibao cha ‘Mwambie Atulie’, ameachia singo yake mpya inayokwenda kwa jina...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/b8YL1Nsfi8mz5TnW-lOC*Ds-aFmwIwOBaFY3WvQKCr0La9sMnXaidl5kcjIAUyv88RsXnuk8PGiT21Gxs8*WJoNxKMU7acZ*/blackwomanstressed.jpg?width=650)
USILIE ETI UMRI UNAKWENDA HUOLEWI
NIJumanne tena, mikikimikiki ya siasa ndiyo habari ya nchi kwa sasa. Pole nyingi kwa familia ya Christopher Mtikila kwa kuondokewa na mwanasiasa huyo maarufu nchini.Mada yangu ya leo ni; usilie eti umri unakwenda huolewi’. Kilio cha kutoolewa ni kikubwa kwa wasichana (wanawake) kuliko cha kuoa kwa wavulana (wanaume). Sikumbuki kama nimewahi kukutana na mwanaume akadai anateswa na kutooa. Kama yupo maana yake anateswa kwa sababu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5XQg_7UBJNA/VXDm1Cp6fjI/AAAAAAAAuXI/0pW1rpDB80o/s72-c/vlcsnap-2015-06-04-19h44m37s436.png)
INTRODUCING New Video: Q-Chilla ~ For You
![](http://1.bp.blogspot.com/-5XQg_7UBJNA/VXDm1Cp6fjI/AAAAAAAAuXI/0pW1rpDB80o/s640/vlcsnap-2015-06-04-19h44m37s436.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oOua5H-QPoq1PGfZ0ziHo2OTrYEnoXARFCxShJA0jweONWrMU*pVB2U0L15duzj98B8lxVo-1hDWZJgYJeM8ZHN/MAHABA.jpg)
USILIE, ACHA KUJIUMIZA, MAPENZI HAYATAKIWI KUKUTESA!
NILIPATA kuzungumza na dada mmoja ofisini kwetu wikiendi iliyopita ambaye alinieleza namna anavyoteseka katika mapenzi. Ni hapo mada hii ilipozaliwa. Sitaki kueleza sana juu ya tatizo la msomaji wangu huyu mkazi wa Tabata-Kisukulu, jijini Dar es Salaam lakini kwa juujuu, ni kwamba, yeye ni binti mwenye umri wa miaka 28, ana mtoto mmoja ambaye baba yake alimkana! Anaishi kwa taabu kwa sababu hana kazi, kila siku amekuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwKYWLOYnB3-aCtB2j57j2xmdqpnaHUXUsgKS7rG2WyVVUhlhj1h0SYn4QQ3yU6nhVxnqdaPCqvpGJgsMpu7V-W/mapenzi.jpg?width=650)
USILIE, ACHA KUJIUMIZA, MAPENZI HAYATAKIWI KUKUTESA!-3
NINA furaha kukutana nanyi tena hapa katika ukurasa huu ambapo tunajifunza mambo mbalimbali kuhusu maisha ya uhusiano na mapenzi. Bila shaka unapata elimu nzuri inayokusaidia kukuza uhusiano wako. Uwanja huu ni wa marafiki ambao hata lugha inayotumika hapa ni ya kirafiki zaidi ili kufikisha ujumbe kama ilivyokusudiwa. Kama ni mara yako ya kwanza kufungua ukurasa huu, amini kuwa umeingia kwenye chama sahihi. Utajifunza kila siku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8TPUpPiQqA8t4DZKEL0YeL13XE3Q3AKreb6gqUgSeL2zcYuDVfSD7z2qCUEwP5xbOQI8q6cmEPT1y0IJy*OOA3P/MAHABA.gif?width=650)
USILIE, ACHA KUJIUMIZA, MAPENZI HAYATAKIWI KUKUTESA!-2
WAKATI mwingine maumivu ya mapenzi huwa ni ya kujitakia. Kama mtu ukijua vyema kuhusu mapenzi, kwa hakika mateso yatakaa mbali na wewe. Kikubwa ni kuwa tayari kujifunza na kuchukua yale yanayoonekana yanafaa. Wiki iliyopita nilianza kwa kuelezea kisa cha Ben na Lucy. Naamini ulijifunza kitu kupitia kisa hicho. Sasa hebu tuangalie kisa kingine cha msichana niliyempachika jina la Amina halafu tutajifunza kitu. Amina akiwa darasa...
5 years ago
Michuzi11 years ago
Michuzi21 May
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania