USILIE, ACHA KUJIUMIZA, MAPENZI HAYATAKIWI KUKUTESA!-3
![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwKYWLOYnB3-aCtB2j57j2xmdqpnaHUXUsgKS7rG2WyVVUhlhj1h0SYn4QQ3yU6nhVxnqdaPCqvpGJgsMpu7V-W/mapenzi.jpg?width=650)
NINA furaha kukutana nanyi tena hapa katika ukurasa huu ambapo tunajifunza mambo mbalimbali kuhusu maisha ya uhusiano na mapenzi. Bila shaka unapata elimu nzuri inayokusaidia kukuza uhusiano wako. Uwanja huu ni wa marafiki ambao hata lugha inayotumika hapa ni ya kirafiki zaidi ili kufikisha ujumbe kama ilivyokusudiwa. Kama ni mara yako ya kwanza kufungua ukurasa huu, amini kuwa umeingia kwenye chama sahihi. Utajifunza kila siku...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8TPUpPiQqA8t4DZKEL0YeL13XE3Q3AKreb6gqUgSeL2zcYuDVfSD7z2qCUEwP5xbOQI8q6cmEPT1y0IJy*OOA3P/MAHABA.gif?width=650)
USILIE, ACHA KUJIUMIZA, MAPENZI HAYATAKIWI KUKUTESA!-2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oOua5H-QPoq1PGfZ0ziHo2OTrYEnoXARFCxShJA0jweONWrMU*pVB2U0L15duzj98B8lxVo-1hDWZJgYJeM8ZHN/MAHABA.jpg)
USILIE, ACHA KUJIUMIZA, MAPENZI HAYATAKIWI KUKUTESA!
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Q9tIuZ2O174/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Man Tuzzo aiachia ‘Usilie’
MSANII wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo Flava’, Muharami Nandule ‘Man Tuzzo, anayefanyia muziki wake visiwani Zanzibar anakotamba na kibao cha ‘Mwambie Atulie’, ameachia singo yake mpya inayokwenda kwa jina...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/b8YL1Nsfi8mz5TnW-lOC*Ds-aFmwIwOBaFY3WvQKCr0La9sMnXaidl5kcjIAUyv88RsXnuk8PGiT21Gxs8*WJoNxKMU7acZ*/blackwomanstressed.jpg?width=650)
USILIE ETI UMRI UNAKWENDA HUOLEWI
10 years ago
Bongo Movies11 May
Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.
Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni, Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa
“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu ‘Usilie’ Desemba 7, 2014
Mkurugenzi wa kwaya ya ‘Family Singers’ Daniel Misheto (kulia). Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.
Na Mwandishi Wetu.
WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda ametajwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu ‘Usilie’ ambayo itapatikana kwenye DVD Desemba 7, mwaka huu.
Akizungumza Dar es Salaam jana kwenye mkutano na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa kwaya ya ‘Family Singers’ Daniel Misheto, alisema hafla hiyo itafanyika kwenye Ukumbi wa PTA uliopo Uwanja wa Sabasaba, Dar es...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*Wm6yuRZ6x15Qf8WBae0pCp*0urHCnsE0m5RT-Dl6JZOiJXlfjNBxXiAeTqgTdh*8ZW1CyPtg6bBeSqPlUEafRo/mahaba.jpg?width=650)
KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXL*AF1fmCWxUk86LDfmEGsL87oUWr3gJlJboJ6q2cnTzpuD9GK1w6Z-dQYlHlFSpt-pxxZmVytpiaVIzz6PqrOn/passionatecouple.jpg?width=650)
KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?-2