Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man Tuzzo aiachia ‘Usilie’

MSANII wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo Flava’, Muharami Nandule ‘Man Tuzzo, anayefanyia muziki wake visiwani Zanzibar anakotamba na kibao cha ‘Mwambie Atulie’, ameachia singo yake mpya inayokwenda kwa jina...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

USILIE ETI UMRI UNAKWENDA HUOLEWI

NIJumanne tena, mikikimikiki ya siasa ndiyo habari ya nchi kwa sasa. Pole nyingi kwa familia ya Christopher Mtikila kwa kuondokewa na mwanasiasa huyo maarufu nchini.Mada yangu ya leo ni; usilie eti umri unakwenda huolewi’. Kilio cha kutoolewa ni kikubwa kwa wasichana (wanawake) kuliko cha kuoa kwa wavulana (wanaume). Sikumbuki kama nimewahi kukutana na mwanaume akadai anateswa na kutooa. Kama yupo maana yake anateswa kwa sababu...

 

11 years ago

GPL

USILIE, ACHA KUJIUMIZA, MAPENZI HAYATAKIWI KUKUTESA!

NILIPATA kuzungumza na dada mmoja ofisini kwetu wikiendi iliyopita ambaye alinieleza namna anavyoteseka katika mapenzi. Ni hapo mada hii ilipozaliwa. Sitaki kueleza sana juu ya tatizo la msomaji wangu huyu mkazi wa Tabata-Kisukulu, jijini Dar es Salaam lakini kwa juujuu, ni kwamba, yeye ni binti mwenye umri wa miaka 28, ana mtoto mmoja ambaye baba yake alimkana! Anaishi kwa taabu kwa sababu hana kazi, kila siku amekuwa...

 

11 years ago

GPL

USILIE, ACHA KUJIUMIZA, MAPENZI HAYATAKIWI KUKUTESA!-2

WAKATI mwingine maumivu ya mapenzi huwa ni ya kujitakia. Kama mtu ukijua vyema kuhusu mapenzi, kwa hakika mateso yatakaa mbali na wewe. Kikubwa ni kuwa tayari kujifunza na kuchukua yale yanayoonekana yanafaa. Wiki iliyopita nilianza kwa kuelezea kisa cha Ben na Lucy. Naamini ulijifunza kitu kupitia kisa hicho. Sasa hebu tuangalie kisa kingine cha msichana niliyempachika jina la Amina halafu tutajifunza kitu. Amina akiwa darasa...

 

11 years ago

GPL

USILIE, ACHA KUJIUMIZA, MAPENZI HAYATAKIWI KUKUTESA!-3

NINA furaha kukutana nanyi tena hapa katika ukurasa huu ambapo tunajifunza mambo mbalimbali kuhusu maisha ya uhusiano na mapenzi. Bila shaka unapata elimu nzuri inayokusaidia kukuza uhusiano wako. Uwanja huu ni wa marafiki ambao hata lugha inayotumika hapa ni ya kirafiki zaidi ili kufikisha ujumbe kama ilivyokusudiwa. Kama ni mara yako ya kwanza kufungua ukurasa huu, amini kuwa umeingia kwenye chama sahihi. Utajifunza kila siku...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu ‘Usilie’ Desemba 7, 2014

IMG_2621

Mkurugenzi wa kwaya ya ‘Family Singers’ Daniel Misheto (kulia). Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.

Na Mwandishi Wetu.

WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda ametajwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu ‘Usilie’ ambayo itapatikana kwenye DVD Desemba 7, mwaka huu.

Akizungumza Dar es Salaam jana kwenye mkutano na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa kwaya ya ‘Family Singers’ Daniel Misheto, alisema hafla hiyo itafanyika kwenye Ukumbi wa PTA uliopo Uwanja wa Sabasaba, Dar es...

 

5 years ago

Mirror Online

Sir Alex Ferguson cannot hide his delight after Man Utd beat Man City

Sir Alex Ferguson cannot hide his delight after Man Utd beat Man City  Mirror OnlineManchester United's derby win shows the swagger is back  The Peoples PersonOpinion: Three signings who would transform Man United into title contenders next season  CaughtOffsideSky Sports pundit: What I really think of Bruno Fernandes at Man United  The Sport ReviewMan United midfielder Bruno Fernandes shushed Pep Guardiola in 2-0 win vs Man City  GIVEMESPORTView Full coverage on Google...

 

5 years ago

GIVEMESPORT

Rui Pinto: The man who exposed Man City ahead of their Champions League ban

Rui Pinto: The man who exposed Man City ahead of their Champions League ban  GIVEMESPORTOpinion: Juventus to Manchester United – Possible landing spots for Pep Guardiola when he leaves Man City  CaughtOffsideWhat now for Guardiola and Man City stars after Champions League ban?  Goal.comMan City could be forced to play in League Two after Champions League ban  GIVEMESPORTLiverpool legend says Reds won’t be able to go the entire season unbeaten  CaughtOffsideView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani